So wewe ni kama ameoba au ? kinazungumziwa Iran wewe unaleta ya Gaza? ni ngumu kuzungumza na naive people stick to one topic utakuwa mwerevu.. how old are you?
Unadhani Israel nae angelipa kisasi kuua raia wa Iran ingekuwaje? Lazima mjue Israel huwa anapiga wapi hizo ni sera zipo Jeshini waliopita Jeshi la IDF wote wanafuata huo Utaratibu tokea enzi hizo, Israel aki target sehemu kisha akaonekana Mtoto au Mwanamke huwa hawapigi, labda iwe hamna namna but always huwa wanakatisha strike, Always wanachunguza eneo kama kuna mbaya sana na wa muhimu wanapiga eneo husika Muslims wanajua hilo so ndio maana wanatumia Watoto na Wanawake kama kinga muhimu kwa Israel, Magaidi wengi wamepona vifo kwa hizo Kinga ndio Maana huko Gaza Vita imekuwa Ngumu, Sera za Jeshi huwa zinafanyiwa maombi wapo wanaokosea na wana adhibiwa na wao hukubali kwa moyo safi