nadhani muda si mrefu chadema watakuja na mume wa kwanza wa josephine kuelezea alivyoibiwa mke muvi bado mbichi kabixaaaa
Mbona mnapenda kupotosha? Unasikia nchi haina DINI ila wananchi wanadini unaelewa nini hapo
Aseme leo, si ameandaa mwenyewe shughuri sasa anakimbia wapi tena? na mie nina swali kwake, tunataka kujua kanisa lake linahusiana vipi na siasa za CDM/Ukawa, na je ni sahihi kama taasisi ya kidini kuhusika akitivuli katika siasa?
Mda mrefu anautumia kutuambia mambo ya familia ya dr slaa wakati ya kwake naye tunayajua na kina mbasha,,, jibu hoja gwajima tupé uthibitisho kwa nini hawa maaskofu 30 hawakuchukua mlungura?? wale viapo na wewe kula kiapo mbele za Mungu kama hukusema hayo maneno ,, dr alikuwa jasiri siku nyingi kuyasema haya kabla hata 2015 leo eti mnakuja kutuambia tatizo urais,, kwani dr slaa ameanza kumuita leo LOWASSA fisadi?? Gwajima hiyo ngoma huiwezi tunakuona kituko au mkurupukaji tu kama lissu,, ndio wale mliitwa vifaranga na ZZK,, sio bure ila kuna shida mahali inawasukuma lakini ni muda ndio utasema,, GWAJIMA leo amekuwa lulu na watanzania mnamsikiliza wakati enzi zile watu wako msituni wanapambana yeye alikuwa bize na kanisa lake,, hana jasho wala damu kwenye harakati hizi za kujikomboa baadala yake tunamuona kama kibaraka tu,, slaa ametoka jasho na damu kwenye hizi harakati na wengine mlikuwa mkila tu keki ya taifa kwa kuchangisha waumini wenu eti leo mko Mbele kuwakebehi mtu kama dr slaa... Jibu hoja gwajima na kutengeneza ushahidi utakaofanya watu wakuamini na si hizi sinema..
Huna simu tv?Naomba Mwenye Audio Ya Aliyoyasema Gwajima Leo Atuwekee Tuiskie Maana Wengine Hatujamskia
Huyu anafanya siasa za kipuuzi sana.!
Kama ambavyo askofu anajitetea kwa kua alishambuliwa hivyo hivyo.
Kaenda Kununua Condom.
Tatizo ni JK. Alipaswa kuwa mkali kidogo. Ameshusha hadhi ya urais na mamlaka zote za serikali. Yaani yeye kila kitu ni kucheka tu na kugawa vyeo kwa marafiki zake. Matokeo yake ndo haya sasa. Huwezi kujua yupi ni yupi na nchi inakwenda tu kama boya. Rais ajaye atakuwa na kazi kubwa kurudisha hadhi ya taasisi ya urais na taasisi nyinginezo za nchi. Hovyo kabisa!Siku nitakayorudi kumjibu Slaa akinisemesha, nitasema Slaa alivyokutana na watu wa usalama wa taifa Afrika kusini. Usalama mtapomuongoza tena huyo mtu wenu wenu atukane maaskofu, nitawalipua na bomu na macho yenu hamtafungua tena.
by the way Dr Slaa, Gwajima, Lowasa, magufuri watapita nchi itabaki lazima tufike mahali tuheshimu mamlaka za nchi.
watanzania ndoa ya dr slaa sie haituhusu, hayo ni mambo binafsi na kujadili mambo binafisi ya mtu kwenye social media ni upumbavu uliokithiri kila mtu anamapungufu yake kwenye ndoa yake. HAPA KAZI TU.
Umahiri gani wa kumwambia mtumishi mwenzie wa Mungu mpumbavu? mbona hakujibu maswali yake akaanza kujibu wale wanaopata bahasha za Lowasa tu?
TanzaniaDaima litaandika :
GWAJIMA AWAACHA WATANZANIA MIDOMO WAZI, AMKAMUA DR SLAA KWEUPE .
Mawio litaandika :
DR SLAA AVULIWA NGUO NA GWAJIMA.
Mwanahalisi:
KICHWA CHA DR SLAA, DEREVA WAKE NI MKEWE - GWAJIMA.