Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Kina mama kumbe wana nguvu namna hii halafu mnataka 50 50 njia rahisi kuwanyamazisha kina mama hawa turuhusu ushoga watakoma kuingilia mambo ya kiume
 
Lissu alisema tatizo ni mama slaa yeye hakuwa na tatizo ila josephine eeh........ ni shidaaaaaa
 
Kiongozi wa kiroho anazungumzia matatizo ya ndoa za watu kwasababu ya siasa ......Alafu badala ya kuja kukanusha maswali ya Dr Slaa anakuja kusema mambo ya ndani ....haya ndio matatizo ya uaskofu wa kupeana na mkeo .....maadili zero ....

Inasikitisha sana, kama kweli ni mtu wa Mungu angejihoji aana kwa hilo.
 
Katika hali isiyotarajiwa mshenga anaejulikana kwa jina la Gwajima akizungumza na waandishi wa habari leo hii amejikita zaidi ktka kujibu hoja za maskofu zaidi ya 30 kununuliwa na mzee wao. Hata hivo ilitegemewa kwamba angejikita zaidi ktka kujibu hoja zinazomhusu yeye mwenyewe lkn kaamua kuwajibia viongozi wote wa kidini. Waumini wake pamoja na wanainchi wengine wamesikitishwa sana na hali hiyo.

Kweli hawa ndio watu wenye kutoa mafundisho ya mwenyezi ,Mungu kubadilika na kuwa wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

POLENI SANA WAUMINI WA MSHENGA.
 
mkutano wa gwajima waandishi wameonekana kumshangilia Lowasa na kuamua kumzomea muuliza swali ambaye hakupangwa pale alipombana gwajima! Huyu mtu analitakia nini taifa hili?

Waliozomea ni waumini wa gwajima waliotayarishwa kwa ajili hiyo, kama yule mlinzi na mchungaji. Ni aina ya sanaa ya maonesho...
 
[h=2][/h]
Katika hali isiyotarajiwa mshenga anaejulikana kwa jina la Gwajima akizungumza na waandishi wa habari leo hii amejikita zaidi ktka kujibu hoja za maskofu zaidi ya 30 kununuliwa na mzee wao. Hata hivo ilitegemewa kwamba angejikita zaidi ktka kujibu hoja zinazomhusu yeye mwenyewe lkn kaamua kuwajibia viongozi wote wa kidini. Waumini wake pamoja na wanainchi wengine wamesikitishwa sana na hali hiyo.

Kweli hawa ndio watu wenye kutoa mafundisho ya mwenyezi ,Mungu kubadilika na kuwa wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

POLENI SANA WAUMINI WA MSHENGA.​
 
Only in Tanzania mtu mwenye kesi mahakamani anaweza kufanya haya. Nchi ya ajabu sana hii!

innocent till proven guilty........
kitu pekee usichoruhusiwa kuongelea nje ya mahakama ni kama jambo hilo linaweza kuathiri mwenendo wa kesi....
labda utuambie ni kipi hicho ambacho hatukukisikia...
 
Anayo fanya Gwajima siyo yakushabikia hata kidogo kwa mustakabali wa taifa letu. Yeye achunge kondoo wa bwana siasa awaachie wenyewe.
 
Ni Aibu Kwa Dr. Slaa, Wanaomsaidia Ndio Yeye Anawarushia Mawe. Gwajima Asante Baba Umetuweka Wazi Na Uchochezi

wa Dr. Mihogo. With All Vivid Evidences Umekata Mzizi wa Fitina.
 
gwajima ana cheo gani chadema?
kwanini ni maaskofu tu ndo wanajiingiza kwenye siasa, na hatusikii masheikh na maimamu? what wrong kwenye ukristo?

Labda haujui nguvu ya "imani hii ya ukristo".
 
Achaneni na waongo wa uchaguzi. Mpigie kura mgombea ambaye historia yake ya uongozi imetukuka na haina uwalakini.
 
Back
Top Bottom