Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Sawa, tatizo ni kwamba Dr. Slaa mwenyewe alihusika katika kumkaribisha Lowassa na kulingana na watu wake wa karibu alishakubali maamuzi ya kikao. Kumbe huko nyuma first lady in waiting alishachora red line! Lakini tukiyaacha hayo nini hasa lengo la Dr. Slaa katika kutoa matamshi anayoyatoa hivi leo baada ya kuukwaa ubalozi? Kwa nini asichutame tu ale kivulini na kuacha kulikurupusha dude?
Kalikurupushaje Dude? Hiyo video ni rejea ya Sept 2015. Usidhani ni mpya mtu kaamua kufunua makaburi. Na ukweli ambao haupingiki chanzo cha mvurugano upinzani kwa ujumla ni Lowassa kuhamia Chadema na moja kwa moja kupewa nafasi ya kuwa mgombea kukiwa na watu waliokuwa wamejipanga kwa muda mrefu kwa nafasi hizo.
 
Naunga mkono hoja kwa sababu kwa sababu kuna siku nilikutana na Dr. Slaa akiwa na wife tukazungumza kidogo niliuliza kuhusu Eyre kugombea urais 2015, wife ndio alitoa msimamo fulani!. Kwa vile mazungumzo yale yalikuwa sio formal, nayaregard as off the record.
P

Kazi kweli kweli.......
 
Pasco acha udaku,tutakuogopa hata tukikutana tutashindwa kuongea mambo ya kawaida tu,kwa kuogopa usije kuyatumia huku kama reference
Mkuu Kabombe, mbona sijasema alizungumza nini zaidi ya kueleza tuu kuwa tulikutana?.

Na hii sio mara ya kwanza kukutana na mtu na kueleza humu bila disclosure. Hata huyu mtu niliyekutana naye hapa, alinieleza kitu, sikukisema lakini ujumbe nimefikisha hivyo kuna watu walijua Magufuli atakuwa rais toka 2014, wakati huo hata Magufuli mwenyewe hajui!.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
 
Pasco acha udaku,tutakuogopa hata tukikutana tutashindwa kuongea mambo ya kawaida tu,kwa kuogopa usije kuyatumia huku kama reference
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
 
Back
Top Bottom