Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,662
Kumbe muda wote CHADEMA mnaongozwa na katibu jini. Pole Mbowe 😱
kueni makini wakristo kama maaskofu wenu wanawarekodi mkiwa kwenye maongezi ya faragha,mmekwisha....
Sasa experience itatokea wapi na yeye alikua utawani? Ndio ishatokea tena hivyo.Slaa hana uzoefu na ndoa, na hiyo itamcost milele, tunda la mti wa kati sio la kuanza nalo ukubwani, linataka experience!
Kukaa kimya kumewasaidia sana kina Prof Baregu na Prof Safari, kwangu mimi hawa ndio wana siasa wa mfano ndani ya CDM
kweli, maana hata Dr. Josephine kasema amestaafu siasa halafu anaitisha mikutano ya kisiasa! Acha watu waongee huu ni mwaka wa uchaguzi inabidi kila anayetaka uongozi ajadiliwe hadi kwenye ngazi ya familia.Tulia dawa ikuingie leo.
HUU NI WAKATI WA UWAZI NA UKWELI.
Wao walianza na sasa ni zamu yao kumalizia.
Na ni ujinga sana kusema eti Siasa isizungumzwe na viongozi wa dini.. Siasa bila dini inakosa maadili na itakua ni kiama, uwepo wa dini katika siasa unafanya kupunguza chuki na uadui
TanzaniaDaima litaandika :
GWAJIMA AWAACHA WATANZANIA MIDOMO WAZI, AMKAMUA DR SLAA KWEUPE .
Mawio litaandika :
DR SLAA AVULIWA NGUO NA GWAJIMA.
Mwanahalisi:
KICHWA CHA DR SLAA, DEREVA WAKE NI MKEWE - GWAJIMA.
Nimesikia mengi naona hii nchi ni maskofu ndio wamekua wavurugaji na wazia v kama ingelikua mashekhe ndio wanafanya hivi leo vyombo vyote na magazti yangelikua yanandika kuusu waislam kuibgilia maswala ya siasa na . Kuitwa udini
Leo naona tunakua tunapangia urais na viobgozi wanaojiita maskofu maraprotestant mara katolik
Waislam naona borana nyie mzinduke sijawaikuona hali hii kwa mashehe hata siku moja toka nipate ufaham ndani ya nchi yangu
only in tanzania mtu mwenye kesi mahakamani anaweza kufanya haya. Nchi ya ajabu sana hii!
yale anayo yaongea dr slaa juu ya mtu. Hayo ndio sio upumbavu? Mwiba utokea ulipo ingilia ndugu.
Wacheni dr. Apewe vidonge vyake. Yeye sindio anajidai mtakatifu kuliko wote sasa amekutana na mtoto wa mjini. Anapewa za uso.
Slaa hana uzoefu na ndoa, na hiyo itamcost milele, tunda la mti wa kati sio la kuanza nalo ukubwani, linataka experience!
Ndio waliomtuma Dr. Slaa aropoke. Ushahidi ni kada wa CCM Mwakyembe aliekuwepo na Dr. Slaa hotelini chumbani muda mchache kabla ya slaa kuanza kutema pumba!!ccm inahusikani nini hapo sasa
nyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?
Dr.Mihogo ndo kwaher asema Gwajima
Alikuwa ni rafiki wa Lowassa tangu akiwa CCM. Kwenye mkutano wa kutangaza nia wa Lowassa, Gwajima alienda. Mbona hapo hujasema km alikuwa anajihusisha na CCM?