MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Futa Povu basi kwenye engo za mdomo..Avae kwanza yeye maana alishavuliwa kitambo na Dr. Bishop uchwara tu huyo. Analeta ushenga kwenye siasa. Ameone viti anavyowauzia waumini TZS 1,000.00 kila ibada hazitoshi. Bishop wa wapi huyu! aliulizwa swali moja tu na Kova, akazimia wiki nzima. Apeleke mahaba yake na Lowassa kanisani kwake lakini sio kwenye siasa za nchi yetu. Mabishop kama hawa hawana tofauti na Kibwetele. waumini wake mwangalieni sana huyu, wenzenu Uganda walichomwa moto.