BAADHI YA NUKUU ZA GWAJIMA KWENYE
PRESS YA LEO.!
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=%22]#" Ni[/URL] kweli mimi ni mshenga kwa sababu Mara
nyingi viongozi sisi Wa kiroho niwapatanishi.
Kama lowasa hakwenda kwa mganga wa kienyeji
akaja kwangu kiongozo wa kiroho ni jambo zuri"
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=%22]#" Baada[/URL] Lowassa kupitishwa kuwa Mgombea
Urais wa CHADEMA, ule usiku Josephine alikataa
kumpokea mumewe nyumbani. Alimwambia
Dr.Slaa rudi Ulipotoka. Dr.Slaa alijitetetea akiwa
ameshika mlango Wa nyumba, lakini Mama
alimfukuza, Dr.Slaa akaenda kulala kwenye gari"
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=%22]#" Ni[/URL] lituma sms nikamwambia Mama naomba
umfugulie baba, Mama akakataa Hadi asubuhi
nilimbembeleza Mama, hatimaye alifungua
Asubuhi"
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=%22]#" Dr.Slaa[/URL] akanitumia sms saa saba na dakika13,
akisema nimeachana na siasa kwa sababu
familia yangu haitaki."
Gwajima anaonesha sms yenyewe kwa waandishi
wa habari, kisha anaendelea,
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=%22]#" Ijaribuni[/URL] hii namba kudhibitisha kama ni ya
Dr.Slaa. (Anawapa waandishi namba ya Slaa).
Mpigieni mdhibitishe kuwa ni yeye kabla
hajabadilisha, maana anaweza kubadilisha kisha
atoke aje akane"
#" [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=%22]#" Ni[/URL] limtafuta tena mke Wa Slaa na kumsihi
amsimbane mumewe, lakini alikataa na akasema
watu wanajua mimi naenda kuwa First Lady, na
nimeshaanza biashara zangu Malysia,
watanionaje"-malisa Godlisten