funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,121
- 31,640
Kamwe hakuna chama kinachoweza kukamata dola ya Tanzania bila kuwekeza vyema kwa wafuasi wengi wa Tanzania bara na Tanzania visiwani.
Dr Wilbrod Slaa na Marehemu Edward lowassa walitambua hili na waliwekeza katika hili.
Siasa za sasa za Chadema zimeegemea bara na zimejipeleka katika kupoteza ushawishi ndani ya visiwa vya Zanzibar....hivyo hakuna namna wanaweza kuikamamata dola kwa kosa hili la kimkakati.
Ni CCM pekee imeweza kubalance ushawishi huu muhimu kwa muda wote
Dr Wilbrod Slaa na Marehemu Edward lowassa walitambua hili na waliwekeza katika hili.
Siasa za sasa za Chadema zimeegemea bara na zimejipeleka katika kupoteza ushawishi ndani ya visiwa vya Zanzibar....hivyo hakuna namna wanaweza kuikamamata dola kwa kosa hili la kimkakati.
Ni CCM pekee imeweza kubalance ushawishi huu muhimu kwa muda wote