Josephine ndiye adui wa Dr. Slaa. Dr. anaishi umatekani. Mke anamfungia Serena Hotel. Nje kuna ulinzi hatakiwi kuonanana watu wasiopangwa na Ccm pamoja na Josephine. Akitoka anakwenda chini ya usalama wa taifa.
Hapa ni dhahiri hata cha ksuema anaambiwa na siku akileta za kuleta Josephine siyo mtu!.
Sasa ninapata picha pana sana inayoungana na kuleta ukweli usio shaka.
Dr. Slaa yuko umatekani.
Josephine Mshumbusi si binadamu!
Iko namna ya kumkomboa Dr. Slaa kutoka kwa anaconda. Mungu anaweza!.
Hapa ni dhahiri hata cha ksuema anaambiwa na siku akileta za kuleta Josephine siyo mtu!.
Sasa ninapata picha pana sana inayoungana na kuleta ukweli usio shaka.
Dr. Slaa yuko umatekani.
Josephine Mshumbusi si binadamu!
Iko namna ya kumkomboa Dr. Slaa kutoka kwa anaconda. Mungu anaweza!.