Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Hiyo ndio ilikuwa bunduki ya mwisho ya ccm aka Rocket Ranger.
 
Sitaki kuowa Wakuu..... Kama Dr. Slaa alifanyiwa haya yote duuuu kweli hatari
 
Yaan huyo anatuletea mambo ya ndoa za watu
Sizani kama ndoa ya DR Slaa watanzania inatuhusu
Ndoa zetu nitosha kabisa tunachotaka nimambo ya msingi yenyekujenga taifa letu la Tanzania, au nayeye kahongwa aseme tu ukweli

Exactly Mkuu,yan Ukawa Wanabaki Kushambulia Familia Ya Dr. Instead Ya Kujibu Hoja..Huyu Gwajima Atueleze Watz Kwanin Wewe Kiongoz Wadin Ujihusishe Na Siasa Tena Direct Kabisa?Hata Amiri Jesh Mkuu Anaweza Kuendeshwa Na Mkewe Sembuse Slaa,familia Ngap Kanisan Kwake Zinamatatizo Nazo Hzo Anazitangazaga Hadharan?
 
Usalama ni usalama wa nchi siyo usalama wa CCM.Gwaa anawaonya Maafisa Usalama.
 
Gwaa hatari.Anawabomoa kuhusu kumrundikia kesi ikiwemo kesi ya Umeme.
 
Hapa ndipo Gwajima anapojidhihirishia kuwa yeye ni Mshenga

Unakumbuka ile thread yako ya Mgombea urais UKAWA atapatwa sijui na nini kuanzia jumatatu, baada ya wewe kupenyezewa........issue sasa kwa kihaya watu husema hivi "Omuhigo gwainduka akami kabingembwa" Yaani mawindo yamebadilika, sungura anamfukuza mbwa..........

Tulia hivohivo.............
 
Back
Top Bottom