Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Gwajima ameonesha umahiri wa kujibu maswali ya waandishi

Umahiri gani wa kumwambia mtumishi mwenzie wa Mungu mpumbavu? mbona hakujibu maswali yake akaanza kujibu wale wanaopata bahasha za Lowasa tu?
 
Tanzania ndipo ilipofika leo hii. Ukiambiwa umekula mlungula, ni tusi kubwa sana umetukanwa.
 
Huku Gwajima amechemkaaaaa.....amei personalisr hii issue

Wewe ulitaka amjibie nani? Gwajima sio mwanachama wa CDM ila yeye aliwakutanisha rafiki zake Lowassa wa CCM na Slaa wa CDM. Kwakuwa slaa alimuatack personaly nayeye amemjibu vivyo hivyo. Safi sana bishop msemakweli aka mzee wa makavu live.
 
Mimi simuelewi kabisa huyu Gwajima, sasa yy ni mchungaji/au ni kada wa Chadema, anaongea mambo ya kisiasa kabisa na kutetea hija za kisiasa wakati yeye ni mtu wa dini, au ndo ametumwa na CHADEMA katika harakati za kuzima hoja za Slaa, anajimaliza kabisa kiroho, na wala waumini wenye uelewa wasigeweza kumuamini tena....ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu ampe Mungu

Tulia dawa ikuingie leo.
HUU NI WAKATI WA UWAZI NA UKWELI.

Wao walianza na sasa ni zamu yao kumalizia.

Na ni ujinga sana kusema eti Siasa isizungumzwe na viongozi wa dini.. Siasa bila dini inakosa maadili na itakua ni kiama, uwepo wa dini katika siasa unafanya kupunguza chuki na uadui
 
Usalama ni usalama wa nchi siyo usalama wa CCM.Gwaa anawaonya Maafisa Usalama.


Who is Gwajima in this Country? ni askofu wa kanisa? ni kiongozi wa siasa? giza na mwanga haviwezi kukaa pamoja. alianza kumtukana Askofu Pengo, leo anasema wakatoriki wana akiri sana. Harafu anatukana usalama wa taifa na kuwapa onyo kali. Viongozi wa kiroho wachunge kondoo waache kufanya siasa wanaweza kuingiza nchi katika machafuko. kama ni uhuru basi huu unaelekea kupitiliza. please TISS do the needful to protect our country.
 
Namashaka na uwezo wa kitengo cha propaganda CCM hivi hamuoni kwamba hiyo mbinu ya kumchafua Lowassa kwa tuhuma za ufisadi na udini hazifanyi kazi?

nawashauri badilisheni mbinu nyingine kama kweli mnataka kubaki madarakani ,

1}Lowassa ni taasisi sio mtu mmoja kama mnavyodhani.

2}Taasisi Iliyojijenga zaidi ya miaka 30, mitandao kila kona ya nchi, huwezi kuchafua kwa tuhuma nyepesi zisizo na ushahidi .

3} Yawapasa kuchunguza kwanini toka mmeanza kumchafua badala ya wafuasi kupungua ndio wanazidi kuongezeka??


Tafakari kwa makini tafuteni mbinu nyingine , huo ni ushauri wa bure kabisa.

___________________________________________________________________________________________
Mkuu tupe ushauri tutumie mbinu gani,maana naona kila mtu anafanya lake,na tukiendelea hivi Meli yetu inaweza kuzama!
 
watanzania ndoa ya dr slaa sie haituhusu, hayo ni mambo binafsi na kujadili mambo binafisi ya mtu kwenye social media ni upumbavu uliokithiri kila mtu anamapungufu yake kwenye ndoa yake. HAPA KAZI TU.

..ishu ni kwamba yule demu wake aligoma lowassa asitambukishwe kwa press conference, akaambiwa we raia hata ukojolee chup. lowasa lzm atambulishwe! limwanamke ndio likanuna moja kwa moja likaanzisha urafiki na tiss..
hope umeelewa ss sio unakata mauno uku.!
#tchao
NB. Kumbe riz 1 ndio anakaendesha kale kababu kwa remote! kweli yule demu ana mashetani nimeamini...
 
Gwajima ni mnafiki, kaeleza dr ni mzizi na alichukua mke wa mtu, lakini hasemi ya kwake na flora mbasha.
Askofu, tena anajiita kiongozi wa roho anarecord mazungumzo ya mtu ambaye amemfuata kufanya confession

Alishajua anapambana na hatari ambayo mwisho wa siku huenda ikamletea shida
 
wamempa za uso, kwa sasa hawezi kujibu kitu akijibu atakuwa kajibiwa na mwanamke, mwanamke wake aliwahi kumtaka amtoe mbunge wa kawe akae yeye, akika baba wa watu alikutana na shetani mahabu, jini shumbumbu
 
ni kama slaa alivyomshambukia lowasa personally hukuona hilo?

Personally kivipi? aliongea mambo ya ndani ya familia ya lowassa?? alikuja na hoja ya ufisadi na facts!
Hata hivyo Gwajima nae ana uhuru wake ila kwangu kaondoa ile credibility ya kumuamini mchungaji kama mtunza siri wa personal issues za waumini.
 
Back
Top Bottom