Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,839
- 93,626
Ni baba ake na Lengai lile jambazi
Ni miaka 20 sasa imepita tangu uamuzi wa kuchoma kaya 135 uliotolewa na aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Serengeti Thomas Ole Sabaya , kuchomwa moto kwa kaya hizo kulitokea siku nne baada ya amri kutoka kwa mkuu wa wilaya kuwataka kuondoka eneo hilo kwa madai kuwa wananchi hao wanaishi katika eneo la Pori ala akiba la Ikorongo....