Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Yaani hii £140m aliyopewa Arteta iliwatoa roho SanaNdugu yangu ni kwamba hujui au tu unataka ubishi?
Umesahau 'Summer' transfer ya Arteta ambapo alifanya sajili sita kwa kutumia mamilioni ya Euros? Timu gani ilifikia kiwango hiki cha usajili uliofanywa na Arteta?
✓Ben White: £50m - from Brighton.
✓Martin Odegaard: £31.5m - from Real Madrid.
✓Aaron Ramsdale: £25m - from Sheffield United.
✓Takehiro Tomiyasu: £17m - from Bologna.
✓Albert Sambi Lokonga: £16m - from Anderlecht.
✓Nuno Tavares: £7m - from Benfica.
Sasa Arteta apewe pesa kiasi gani? Hizo pesa alizomwagiwa zimetoka wapi kama sio kwa kina Kroenke? Sasa hapa shida nani? Pesa kapewa, na timu kaikutia Europa na kairudisha tena hukuohuko Europa.View attachment 2236643
Leo ETH kapewa £400m madirisha mawili mnasema Grazzer wabaya

