Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Xhaka bado yupo Mzee......Lengo ni squad depth

Mildifield
•Granit Xhaka
•Yakubu Partey
•Martin Ordegard
•Fabio Vieira
•Youri Tielemans
•Lucas Torreira-Huyu ndio atatafutiwa Loan team nyingine ili akamalizie mkataba wake,tumeamua kumtoa pale fiorentina kwasababu ya jeuri yao ya kutunyima Vlahovic
•Mo Elneny

Xhaka na Torreira kama sijakosea wamebakiza Mwaka 1 kwenye mikataba yao na watakuwepo msimu huu kwa lengo la kuwaachia mikoba taratibu new signings

Yakubu Partey ni prone Injury........nadhani utakuwa umeshaelewa kwanini tunahitaji sign ya Tielemans.......ili tusije tukapata matatizo kama ya late season

SQUAD DEPTH MZEE
Arsenal tumetoka mbali
 
Tatizo hujanielewa, kwa sajili hizi zikifanikiwa zitatupa 10+ more points nxt season, kumbuka msimu huu tumepata almost point 70. 2023/24 Arsenal itastrength tena kuongeza margin, so bingwa hatofika point 90+ kama sasa, Kama Arsenal atakuwa na uhakika wa point 80+ na ubingwa unahitaji point 80+, so inamzuia vipi Arsenal kuwa kwenye title push?
Watu walikubishia sababu wengi hawajui mpira humu jf
 
chelsea anaenda kumalizana na raphinha.. ;ni mchezaji mzuri kweli ila sioni umuhimu wake san kwenye kikosi cha arsenal.. kuna mchezaji yuko ajax ;ni mbrazili n yeye anaitwa antony.. uyu kwngu ndio mchezaji wa muhimu sn kama arsenal inatka kusajili winga.
watu mlitaka tumsajili Anthony wa kuspin
 
Niliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.

Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.

Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.

Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.

Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Uliona mbali
 
Unatania wewe Raphinha kumkosa ni maumivu makubwa angekuwa msaada mkubwa kwenda champions league next season hayo mambo ya price ni bahati nasibu unaweza lipa hela na player akaperform au not mbona pepe tumelipa hela nyingi na bado tuna deni?kwa sasa football ni hela hayo mambo ya kuperform au lah unamuachia player mwenyewe
 
sijaona sna icho kitu unach kisema kwa antony kusema ukweli ila siwezi jua maan mpira tunautzama tofauti but nachotak kusem ni kuwa wapo wachezaji wengi sana ambao ni wingers wazuri mno timu ya arsenal ingejarbu kuwatzama..

endapo target A ikifeli unatizama target nyingine na sio focus yote kuwa kwa mchezaji mmja ;mfano kuna winga mwingine yuko PSV anaitwa noni madueke.. ni mchezaji mzuri sna n yeye.
 
Antony hana pace, tunahitaji mchezaji kama Saka anayecheza kwenye isolation role, quick enough to beat his man in 1v1, Cutting inside from the RW, anayeweza kucheza kwenye both wings, left footed right winger.
Watu Anthony mlikuwa mnamjua kabla hata nyumbu hawajapigwa €100m
 
Back
Top Bottom