Mimi sijui details nyingi sana za mpira ila nahisi Kai ni mchezaj mzur sana sema tunavitu vyetu vchache tunatazama sana goal contribution kuliko chochote
Lakin kwa watu wamekan wanauona umuhim wa kai(those important small details) ndo maana hatujawai kusikia KAI amepigwa bench na kocha yeyote aliyepta chel, tim ya taifa bado anaitwa, 90% ya football pundits wanamkubal, bado wakati wa kumsajil tulipambana na Real pamoja na bayern(ukute hata manyumbu deep down walikua wanamtaka🤣🤣). Hiyo yote inaonyesha Kai yupo vizur
Nawasilisha ILa hapo kwa nyumbu ni joke mnisameh
Lakin kwa watu wamekan wanauona umuhim wa kai(those important small details) ndo maana hatujawai kusikia KAI amepigwa bench na kocha yeyote aliyepta chel, tim ya taifa bado anaitwa, 90% ya football pundits wanamkubal, bado wakati wa kumsajil tulipambana na Real pamoja na bayern(ukute hata manyumbu deep down walikua wanamtaka🤣🤣). Hiyo yote inaonyesha Kai yupo vizur
Nawasilisha ILa hapo kwa nyumbu ni joke mnisameh
Bukayo Saka
“Before every game, I ask God to help me play well, help my team and try to score a goal or assist a goal and he answers my prayers, so this is why I point to the sky to thank him”


USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Tuzungumze mpira kidogo tactical terms je Declan Rice ni kiungo wa Aina gani?


1-4 