Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Tusijipe matumaini kwa quality ya Rapinha Arsenal kuikosa imetuuma haya mengine ni maneno ya kujifariji sana
Raphinha ni mzuri lakini is he 65M good? Kwa sababu akinunuliwa kwa pesa hiyo na maisha yake yakiwa kama Leeds lazima tutatafutana uchawi.Tusijipe matumaini kwa quality ya Rapinha Arsenal kuikosa imetuuma haya mengine ni maneno ya kujifariji sana
Unatania wewe Raphinha kumkosa ni maumivu makubwa angekuwa msaada mkubwa kwenda champions league next season hayo mambo ya price ni bahati nasibu unaweza lipa hela na player akaperform au not mbona pepe tumelipa hela nyingi na bado tuna deni?kwa sasa football ni hela hayo mambo ya kuperform au lah unamuachia player mwenyewechelsea anaenda kumalizana na raphinha.. ;ni mchezaji mzuri kweli ila sioni umuhimu wake san kwenye kikosi cha arsenal.. kuna mchezaji yuko ajax ;ni mbrazili n yeye anaitwa antony.. uyu kwngu ndio mchezaji wa muhimu sn kama arsenal inatka kusajili winga.
Kama bei hiyo ya Raphinha ni overpriced vipi kuhusu Pepe mlimsajili kwa bei gani?Niliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.
Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.
Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.
Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.
Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Ziyech na harvert wametusave kwenye nyakati muhimu Sana huwezi Moja kwa Moja ukasema wameflopRaphinha ni mzuri lakini is he 65M good? Kwa sababu akinunuliwa kwa pesa hiyo na maisha yake yakiwa kama Leeds lazima tutatafutana uchawi.
Chelsea anaenda kumchukua Raphinha lakini ndivyo alivyozoea kusajili kwa bahati nasibu angalia Ziyech, Havertz, Lukaku kama recent examples. Katika hao watatu wawili wanaondoka anabaki mmoja ambaye ni flop na alinunuliwa kwa pesa nyingi akitarajiwa anakuja kua mwiba.
Binafsi naona ndicho kinaenda kutokea kwa Raphinha. Ni Ziyech mwingine huyu
sijaona sna icho kitu unach kisema kwa antony kusema ukweli ila siwezi jua maan mpira tunautzama tofauti but nachotak kusem ni kuwa wapo wachezaji wengi sana ambao ni wingers wazuri mno timu ya arsenal ingejarbu kuwatzama..Antony mambo mengi, contribution ndogo sana kwake
Hata Torres kuna sehemu aliwasave lakini kwa ujumla wake akiwa chelsea si anaitwa flop? Lukaku?Ziyech na harvert wametusave kwenye nyakati muhimu Sana huwezi Moja kwa Moja ukasema wameflop
Mh kwahiyo unaamini wanaokaa na takwimu za kumuangalia mchezaji atafit vipi wanacheza makida makida kwakua kuperform ni swala la player mwenyewe?Unatania wewe Raphinha kumkosa ni maumivu makubwa angekuwa msaada mkubwa kwenda champions league next season hayo mambo ya price ni bahati nasibu unaweza lipa hela na player akaperform au not mbona pepe tumelipa hela nyingi na bado tuna deni?kwa sasa football ni hela hayo mambo ya kuperform au lah unamuachia player mwenyewe
Mmepigwa na kitu kizito hayo maumivu mnayopitia muoneni daktariNiliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.
Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.
Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.
Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.
Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Kuna wachezaji utasema ameflop ni kama bakayoko huyu hakuna chochote alichofanya pale Chelsea zaidi ya hasara tuHata Torres kuna sehemu aliwasave lakini kwa ujumla wake akiwa chelsea si anaitwa flop? Lukaku?
Vipi kuhusu lukaku?Kuna wachezaji utasema ameflop ni kama bakayoko huyu hakuna chochote alichofanya pale Chelsea zaidi ya hasara tu
Lukaku ni kwasababu haendani na mfumo wa kocha na hakuwa chaguo la kocha Ziyech katusaidia Sana kwenye mechi Muhimu kuwa na statistics chache ni kwasababu sisi tunatatizo kubwa la ufungaji Ziyech ndio mchezaji wa pili nyuma ya Mount aliyetengeneza nafasi nyingi za ufungaji ( chance created) Moja kwa Moja huwezi kusema ameflop na kumbuka hapo kwenye nafasi yake anagombania number na Mount.Sema nini nduguzangu imewauma Sana kumkosa Raphinha ingawa ngumu kukiri hiliVipi kuhusu lukaku?
Je ziyech?
Raphinha anatakiwa kuiitaji arsenal zaidi kuliko sisi tunavyomuhitaji yeye
£60mil ni over price
Makosa tuliofanya kwa PEPE hatutaki yajirudie tena
Ila 35 ilikuwa incase leeds wakishuka darajaNiliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.
Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.
Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.
Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.
Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Kitu cha kujua now recruitment ya chelsea imebadilika, sio ile ya kusajil kwa pupaRaphinha ni mzuri lakini is he 65M good? Kwa sababu akinunuliwa kwa pesa hiyo na maisha yake yakiwa kama Leeds lazima tutatafutana uchawi.
Chelsea anaenda kumchukua Raphinha lakini ndivyo alivyozoea kusajili kwa bahati nasibu angalia Ziyech, Havertz, Lukaku kama recent examples. Katika hao watatu wawili wanaondoka anabaki mmoja ambaye ni flop na alinunuliwa kwa pesa nyingi akitarajiwa anakuja kua mwiba.
Binafsi naona ndicho kinaenda kutokea kwa Raphinha. Ni Ziyech mwingine huyu
NdioMh kwahiyo unaamini wanaokaa na takwimu za kumuangalia mchezaji atafit vipi wanacheza makida makida kwakua kuperform ni swala la player mwenyewe?
Nyinyi hamkua na sporting director?Kitu cha kujua now recruitment ya chelsea imebadilika, sio ile ya kusajil kwa pupa
Now kocha anammlaka kwenye usajil mchezaj yupi anamtaka yupi hamtaki,
Ndio maana leo hii tuko katika mchakato wa kutafuta sporting director
So Torres ni flop ama la?Kuna wachezaji utasema ameflop ni kama bakayoko huyu hakuna chochote alichofanya pale Chelsea zaidi ya hasara tu