Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tusijipe matumaini kwa quality ya Rapinha Arsenal kuikosa imetuuma haya mengine ni maneno ya kujifariji sana
Raphinha ni mzuri lakini is he 65M good? Kwa sababu akinunuliwa kwa pesa hiyo na maisha yake yakiwa kama Leeds lazima tutatafutana uchawi.

Chelsea anaenda kumchukua Raphinha lakini ndivyo alivyozoea kusajili kwa bahati nasibu angalia Ziyech, Havertz, Lukaku kama recent examples. Katika hao watatu wawili wanaondoka anabaki mmoja ambaye ni flop na alinunuliwa kwa pesa nyingi akitarajiwa anakuja kua mwiba.

Binafsi naona ndicho kinaenda kutokea kwa Raphinha. Ni Ziyech mwingine huyu
 
Niliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.

Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.

Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.

Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.

Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
 
chelsea anaenda kumalizana na raphinha.. ;ni mchezaji mzuri kweli ila sioni umuhimu wake san kwenye kikosi cha arsenal.. kuna mchezaji yuko ajax ;ni mbrazili n yeye anaitwa antony.. uyu kwngu ndio mchezaji wa muhimu sn kama arsenal inatka kusajili winga.
Unatania wewe Raphinha kumkosa ni maumivu makubwa angekuwa msaada mkubwa kwenda champions league next season hayo mambo ya price ni bahati nasibu unaweza lipa hela na player akaperform au not mbona pepe tumelipa hela nyingi na bado tuna deni?kwa sasa football ni hela hayo mambo ya kuperform au lah unamuachia player mwenyewe
 
Niliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.

Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.

Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.

Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.

Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Kama bei hiyo ya Raphinha ni overpriced vipi kuhusu Pepe mlimsajili kwa bei gani?
 
Raphinha ni mzuri lakini is he 65M good? Kwa sababu akinunuliwa kwa pesa hiyo na maisha yake yakiwa kama Leeds lazima tutatafutana uchawi.

Chelsea anaenda kumchukua Raphinha lakini ndivyo alivyozoea kusajili kwa bahati nasibu angalia Ziyech, Havertz, Lukaku kama recent examples. Katika hao watatu wawili wanaondoka anabaki mmoja ambaye ni flop na alinunuliwa kwa pesa nyingi akitarajiwa anakuja kua mwiba.

Binafsi naona ndicho kinaenda kutokea kwa Raphinha. Ni Ziyech mwingine huyu
Ziyech na harvert wametusave kwenye nyakati muhimu Sana huwezi Moja kwa Moja ukasema wameflop
 
Antony mambo mengi, contribution ndogo sana kwake
sijaona sna icho kitu unach kisema kwa antony kusema ukweli ila siwezi jua maan mpira tunautzama tofauti but nachotak kusem ni kuwa wapo wachezaji wengi sana ambao ni wingers wazuri mno timu ya arsenal ingejarbu kuwatzama..

endapo target A ikifeli unatizama target nyingine na sio focus yote kuwa kwa mchezaji mmja ;mfano kuna winga mwingine yuko PSV anaitwa noni madueke.. ni mchezaji mzuri sna n yeye.
 
Unatania wewe Raphinha kumkosa ni maumivu makubwa angekuwa msaada mkubwa kwenda champions league next season hayo mambo ya price ni bahati nasibu unaweza lipa hela na player akaperform au not mbona pepe tumelipa hela nyingi na bado tuna deni?kwa sasa football ni hela hayo mambo ya kuperform au lah unamuachia player mwenyewe
Mh kwahiyo unaamini wanaokaa na takwimu za kumuangalia mchezaji atafit vipi wanacheza makida makida kwakua kuperform ni swala la player mwenyewe?
 
Niliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.

Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.

Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.

Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.

Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Mmepigwa na kitu kizito hayo maumivu mnayopitia muoneni daktari
 
Hata Torres kuna sehemu aliwasave lakini kwa ujumla wake akiwa chelsea si anaitwa flop? Lukaku?
Kuna wachezaji utasema ameflop ni kama bakayoko huyu hakuna chochote alichofanya pale Chelsea zaidi ya hasara tu
 
Vipi kuhusu lukaku?

Je ziyech?

Raphinha anatakiwa kuiitaji arsenal zaidi kuliko sisi tunavyomuhitaji yeye

£60mil ni over price

Makosa tuliofanya kwa PEPE hatutaki yajirudie tena
Lukaku ni kwasababu haendani na mfumo wa kocha na hakuwa chaguo la kocha Ziyech katusaidia Sana kwenye mechi Muhimu kuwa na statistics chache ni kwasababu sisi tunatatizo kubwa la ufungaji Ziyech ndio mchezaji wa pili nyuma ya Mount aliyetengeneza nafasi nyingi za ufungaji ( chance created) Moja kwa Moja huwezi kusema ameflop na kumbuka hapo kwenye nafasi yake anagombania number na Mount.Sema nini nduguzangu imewauma Sana kumkosa Raphinha ingawa ngumu kukiri hili
 
Niliutaka sana usajili wa Raphinha lakini sio kwa £60/65 mil.. ni overprice.

Ndio maana Barca waling'ang'ania kwenye £35/40 mil, wakiamini ndio top top. Si zaidi ya hapo.

Arsenal ilijitahidi kucheza na huu mnada mpaka kufikia dau la £45 mil (plus add ons inakuwa £50 mil) kwa mujibu wa Fabrizio Romano, lakini baadae kuna wendawazimu wakatokea huko walikotokea na ku-overpay.

Haya mchukueni, sisi tunahamisha majeshi kwa vijana wengine.

Najua kuna watu watatu-criticize kwa kumkosa, lakini hata tungempata wangekuja na sababu nyengine ya ku-overpay.
Ila 35 ilikuwa incase leeds wakishuka daraja
 
Raphinha ni mzuri lakini is he 65M good? Kwa sababu akinunuliwa kwa pesa hiyo na maisha yake yakiwa kama Leeds lazima tutatafutana uchawi.

Chelsea anaenda kumchukua Raphinha lakini ndivyo alivyozoea kusajili kwa bahati nasibu angalia Ziyech, Havertz, Lukaku kama recent examples. Katika hao watatu wawili wanaondoka anabaki mmoja ambaye ni flop na alinunuliwa kwa pesa nyingi akitarajiwa anakuja kua mwiba.

Binafsi naona ndicho kinaenda kutokea kwa Raphinha. Ni Ziyech mwingine huyu
Kitu cha kujua now recruitment ya chelsea imebadilika, sio ile ya kusajil kwa pupa
Now kocha anammlaka kwenye usajil mchezaj yupi anamtaka yupi hamtaki,

Ndio maana leo hii tuko katika mchakato wa kutafuta sporting director
 
Raphina ameshachumbiwa tukomae na hao waliobak maana nao ni tia maji tia maji tusije tukakosa wore tukaanza kushikana uchawi
 
Kitu cha kujua now recruitment ya chelsea imebadilika, sio ile ya kusajil kwa pupa
Now kocha anammlaka kwenye usajil mchezaj yupi anamtaka yupi hamtaki,

Ndio maana leo hii tuko katika mchakato wa kutafuta sporting director
Nyinyi hamkua na sporting director?
 
Back
Top Bottom