hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Yaan mchezaji mzuri kwako had asifiwe au wahuzunike alikotoka?Utaongea yoote my brother but in reality KAI ni mzigo mzito kwa Arsenal wote ni Arsenal fans but tusijitoe akili kwenye ukweli usemwe huyo KAI since yupo Chelsea ni player wa kawaida hata wakati tunamnunua my friends,relatives hata Chelsea fans duniani hakuna aliyeshtuka KAI kuja kwetu walichoshangaa ni kitu gani Arsenal Imekiona kwa KAI so usimpambe aonekane ni bora ukitoa goal lake la final vs Manchester City in champions league KAI hajawahi kuwa player tishio abadani
Nenda kwenye pages za Chelsea hata JF jukwaa la Chelsea uone kama kuna wadau wamemmis KAI kwa alivyoondoka mbona wadau hawamsemi Trossard?JIULIZE
Wachezaji 90%+ waliopo Arsenal wamekuja viwango vyao kawaida na wengi uliwakataa , yaan Kama una mawazo mchezaji anapangwa anacheza tu bila kujua details ndogondogo Basi Kamwe hutaelewa kwann Kai anacheza na ataendelea kucheza ,
Kai angekuwa ovyo Kama unavyodai Basi tungekuwa mechi zote anazocheza tunazidiwa kiungo ,hivi unajua kucheza na Double 10 maana Kai na Øde Ni no.10 4-3-3,Ni timu 2 tu ndio zinacheza hivo DUNIANI kwasasa Arsenal na Mancity ,
Kama Kai ni mbovu kweli kiasi hicho mnachodai tungekuwa exposed Sana eneo la kiungo .
Mashabiki wengi hamtaki kuzingatia vitu Kama movement, distance covered ,positional play, Kuna small details nyingi Sana, mashabiki wanajua kufunga na kutoa assist tu ,
Ni mwaka Jana hapa ulikuwa unapinga Sana usajili wa Jesus, hata Rice Kama sijakosea ulipinga ,n.k
Sikumbuki mchezaji gan alisajiliwa Arsenal ulimkubali au kumpa sapoti ,
Kai kwanza kaanza vzr kuliko wachezaji wengi waliokuja Arsenal labda Kama una matatizo ya kusahau , Ødegaard alitumia miezi 6 alikuwa ovyo ndio maana hata Madrid waliamini Øde Ni flop ndio wakatuuzia kwa £30m , Partey huyu ndio alivurunda Sana ,Kuna mechi tulienda 10 tukashinda moja tu , ,n.k wengi walianza ovyo Sana hapo Arsenal , Kai mechi 4 tu unasema ni mzigo ,
Nikupe taarifa kwa anavyocheza Kai ataendelea Sana kupata nafasi hapo LCM, Nilikuwa naangalia uchambuzi Jana , inaonesha ataendelea kucheza Sana ,
| @PaulMerse Jana anasema kuhusu Kai Havertz:
“I feel for Kai Havertz. He’s playing in a position where it’s not easy. He hasn’t played very well. Mikel Arteta will stick with him. He’s low on confidence but Arsenal have won three and drawn one.”
“You’ve paid that money and put yourself out there to go and get him. The cream rises to the top. I’m a big fan but I did say when he got signed, he has got that look of Mesut Ozil about him.”
“That’s the problem. If it isn’t going well, he doesn’t look too interested. That’s not the case – it just comes across like that.”(sky via tbr)
Arsenal are moving closer to reaching an agreement with Martin Ødegaard on a new long-term deal.
️




