Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Tuzungumze mpira kidogo tactical terms je Declan Rice ni kiungo wa Aina gani?

kwa Mahojiano yake hivi karibuni amewahi kukiri yeye ni Defensive midfielder (DM) yupo confortable sana kucheza 6

Ila kwa ubora alio nao Declan Rice anaweza kucheza nafasi zaidi moja ( Multiple position ) kwa ufanisi mkubwa mno

Wachezaji kariba hii wanao cheza nafasi zaidi moja uwa ni uti wa mgongo kwenye unyumbulifu wa mfumo kiuchezaji na kimbinu ( Tactical flexibility)

Ukitaja moja kati ya Viungo ambao ni ball carriers wazuri huwezi Kumkosa Rice anatoka na mpira chini adi juu

Kwa misingi hii Rice anaweza kucheza kama DM hapo hapo akacheza kama Box to Box faida yake tuliona game united

Rice kwenye moja ya Basics za Mpira tunahita decision making ( Maamuzi) ya wapi awepo kwa wakati upi wapi afanye block , wapi Acheze tackling inamfanya kuwa moja kati DM bora epl hapo

yote hiyo inamsaidia kusoma mchezo kwa urahisi kuna watu walijenga hofu kama anaweza kucheza lonely pivot

Game United akaonesha ni swala ambalo lipo ndani uwezo wake kiuchezaji ili ushinde eneo la kiungo lazima uwe na kiungo mwenye maamuzi akiwa na mpira ata asipokuwa nao

Rice ana offer ubora mwingi kwenye nafasi tofauti Multiple positions hivyo kupunguza limitations kwenye aina yake uchezaji

hapa Arsenal tulipata Wachezaji watatu ndani mchezaji 1 muda utaongea zaidi

NOTE: Uwepo wa Zinchenko ni sehemu kubwa ya mafanikio kwenye build up asa second phase 3-2-2-3

Amigo adios hermanos
 
Utaongea yoote my brother but in reality KAI ni mzigo mzito kwa Arsenal wote ni Arsenal fans but tusijitoe akili kwenye ukweli usemwe huyo KAI since yupo Chelsea ni player wa kawaida hata wakati tunamnunua my friends,relatives hata Chelsea fans duniani hakuna aliyeshtuka KAI kuja kwetu walichoshangaa ni kitu gani Arsenal Imekiona kwa KAI so usimpambe aonekane ni bora ukitoa goal lake la final vs Manchester City in champions league KAI hajawahi kuwa player tishio abadani

Nenda kwenye pages za Chelsea hata JF jukwaa la Chelsea uone kama kuna wadau wamemmis KAI kwa alivyoondoka mbona wadau hawamsemi Trossard?JIULIZE
Mimi naomba nikupinge Wewe muchezaji gani umewahi mkubali humu hata wakifanikiwa hujawahi kuomba msamaha
Time to just let Kai Havertz get on with his Arsenal Career without all this nonsense talk about whether or not he is a flop or not.
Yes he has missed placed a couple of passes, Yes he should of scored on a couple of occasions, but he hasn't been the only one. Give the guy a break he will come good.
 
Utaongea yoote my brother but in reality KAI ni mzigo mzito kwa Arsenal wote ni Arsenal fans but tusijitoe akili kwenye ukweli usemwe huyo KAI since yupo Chelsea ni player wa kawaida hata wakati tunamnunua my friends,relatives hata Chelsea fans duniani hakuna aliyeshtuka KAI kuja kwetu walichoshangaa ni kitu gani Arsenal Imekiona kwa KAI so usimpambe aonekane ni bora ukitoa goal lake la final vs Manchester City in champions league KAI hajawahi kuwa player tishio abadani

Nenda kwenye pages za Chelsea hata JF jukwaa la Chelsea uone kama kuna wadau wamemmis KAI kwa alivyoondoka mbona wadau hawamsemi Trossard?JIULIZE
Yaan mchezaji mzuri kwako had asifiwe au wahuzunike alikotoka?

Wachezaji 90%+ waliopo Arsenal wamekuja viwango vyao kawaida na wengi uliwakataa , yaan Kama una mawazo mchezaji anapangwa anacheza tu bila kujua details ndogondogo Basi Kamwe hutaelewa kwann Kai anacheza na ataendelea kucheza ,

Kai angekuwa ovyo Kama unavyodai Basi tungekuwa mechi zote anazocheza tunazidiwa kiungo ,hivi unajua kucheza na Double 10 maana Kai na Øde Ni no.10 4-3-3,Ni timu 2 tu ndio zinacheza hivo DUNIANI kwasasa Arsenal na Mancity ,

Kama Kai ni mbovu kweli kiasi hicho mnachodai tungekuwa exposed Sana eneo la kiungo .

Mashabiki wengi hamtaki kuzingatia vitu Kama movement, distance covered ,positional play, Kuna small details nyingi Sana, mashabiki wanajua kufunga na kutoa assist tu ,

Ni mwaka Jana hapa ulikuwa unapinga Sana usajili wa Jesus, hata Rice Kama sijakosea ulipinga ,n.k

Sikumbuki mchezaji gan alisajiliwa Arsenal ulimkubali au kumpa sapoti ,


Kai kwanza kaanza vzr kuliko wachezaji wengi waliokuja Arsenal labda Kama una matatizo ya kusahau , Ødegaard alitumia miezi 6 alikuwa ovyo ndio maana hata Madrid waliamini Øde Ni flop ndio wakatuuzia kwa £30m , Partey huyu ndio alivurunda Sana ,Kuna mechi tulienda 10 tukashinda moja tu , ,n.k wengi walianza ovyo Sana hapo Arsenal , Kai mechi 4 tu unasema ni mzigo ,

Nikupe taarifa kwa anavyocheza Kai ataendelea Sana kupata nafasi hapo LCM, Nilikuwa naangalia uchambuzi Jana , inaonesha ataendelea kucheza Sana ,

| @PaulMerse Jana anasema kuhusu Kai Havertz:

“I feel for Kai Havertz. He’s playing in a position where it’s not easy. He hasn’t played very well. Mikel Arteta will stick with him. He’s low on confidence but Arsenal have won three and drawn one.”

“You’ve paid that money and put yourself out there to go and get him. The cream rises to the top. I’m a big fan but I did say when he got signed, he has got that look of Mesut Ozil about him.”

“That’s the problem. If it isn’t going well, he doesn’t look too interested. That’s not the case – it just comes across like that.”(sky via tbr)
 
Mimi naomba nikupinge Wewe muchezaji gani umewahi mkubali humu hata wakifanikiwa hujawahi kuomba msamaha
Time to just let Kai Havertz get on with his Arsenal Career without all this nonsense talk about whether or not he is a flop or not.
Yes he has missed placed a couple of passes, Yes he should of scored on a couple of occasions, but he hasn't been the only one. Give the guy a break he will come good.
Kila mchezaji anayesajiliwa atapinga Bei au atasema hafai ,alipinga Sana Jesus kusajiliwa
 
Kai Havertz:



“I think so far in my career I had phases here & there where things were a little bumpy & of course I know that you [media] after four matchdays will just point out the negatives & a lot of bad stuff will be written.”

“It’s not the first time I’ve come to a new club & so I know that it can take a bit longer & so I am relaxed about it. It’s only my second month there, so that’s why I’m relatively relaxed.” #afc
 
Mimi naomba nikupinge Wewe muchezaji gani umewahi mkubali humu hata wakifanikiwa hujawahi kuomba msamaha
Time to just let Kai Havertz get on with his Arsenal Career without all this nonsense talk about whether or not he is a flop or not.
Yes he has missed placed a couple of passes, Yes he should of scored on a couple of occasions, but he hasn't been the only one. Give the guy a break he will come good.
Nitajie nani sikuwahi kumkubali brother?usipende kukurupuka Mkuu ,player ambaye hadi kesho naona ni mbahatishaji ni NKETIAH pekee huyu sijawahi kumkubali anaenda na upepo kuna muda anakuwa juu kuna muda anakuwa chini haeleweki kama this season amekuja juu but kuna muda utashangaa anarudi chini na Defender wetu Gab amerekebisha makosa yake na kuna siku nilisema akiacha kusinzia aka focus kwenye game hata Brazil national team ataitwa na ameitwa na suala ni aanze benchi ausome mchezo akiingia ajue cha kufanya
 
Yaan mchezaji mzuri kwako had asifiwe au wahuzunike alikotoka?

Wachezaji 90%+ waliopo Arsenal wamekuja viwango vyao kawaida na wengi uliwakataa , yaan Kama una mawazo mchezaji anapangwa anacheza tu bila kujua details ndogondogo Basi Kamwe hutaelewa kwann Kai anacheza na ataendelea kucheza ,

Kai angekuwa ovyo Kama unavyodai Basi tungekuwa mechi zote anazocheza tunazidiwa kiungo ,hivi unajua kucheza na Double 10 maana Kai na Øde Ni no.10 4-3-3,Ni timu 2 tu ndio zinacheza hivo DUNIANI kwasasa Arsenal na Mancity ,

Kama Kai ni mbovu kweli kiasi hicho mnachodai tungekuwa exposed Sana eneo la kiungo .

Mashabiki wengi hamtaki kuzingatia vitu Kama movement, distance covered ,positional play, Kuna small details nyingi Sana, mashabiki wanajua kufunga na kutoa assist tu ,

Ni mwaka Jana hapa ulikuwa unapinga Sana usajili wa Jesus, hata Rice Kama sijakosea ulipinga ,n.k

Sikumbuki mchezaji gan alisajiliwa Arsenal ulimkubali au kumpa sapoti ,


Kai kwanza kaanza vzr kuliko wachezaji wengi waliokuja Arsenal labda Kama una matatizo ya kusahau , Ødegaard alitumia miezi 6 alikuwa ovyo ndio maana hata Madrid waliamini Øde Ni flop ndio wakatuuzia kwa £30m , Partey huyu ndio alivurunda Sana ,Kuna mechi tulienda 10 tukashinda moja tu , ,n.k wengi walianza ovyo Sana hapo Arsenal , Kai mechi 4 tu unasema ni mzigo ,

Nikupe taarifa kwa anavyocheza Kai ataendelea Sana kupata nafasi hapo LCM, Nilikuwa naangalia uchambuzi Jana , inaonesha ataendelea kucheza Sana ,

| @PaulMerse Jana anasema kuhusu Kai Havertz:

“I feel for Kai Havertz. He’s playing in a position where it’s not easy. He hasn’t played very well. Mikel Arteta will stick with him. He’s low on confidence but Arsenal have won three and drawn one.”

“You’ve paid that money and put yourself out there to go and get him. The cream rises to the top. I’m a big fan but I did say when he got signed, he has got that look of Mesut Ozil about him.”

“That’s the problem. If it isn’t going well, he doesn’t look too interested. That’s not the case – it just comes across like that.”(sky via tbr)
Kaka Acha porojo na kudanganya members wenye akili humu JF wengine tuna akili na hatuwezi kusema mambo mengi KAI NI MZIGO fanya research ndogo au nikuulize kwa IQ yako timamu why ARTETA anatumia muda kwenye press kumtetea KAI kuliko player yoyote yule?kama una akili jibu utapata kama una akili maana Arsenal ina players wengi why KAI?TAFAKARI

Brother unachekesha sana Odegaard or Partey hawa hakuwahi kucheza EPL na true mchezaji anavyobadili mazingira YES kukutana na mambo mapya sometimes inawezekana akawa flop kwa muda akizoea anakuwa wa moto like Fabio kwa sasa ,mimi namuongelea KAI mwenye season 3 or 4 hapo EPL nipe maajabu yake (statistics)zake kisha tuendelee na mjadala mambo ya formation hayatusaidii sisi fans tunachotaka mchezaji awajibike uwanjani that's it mambo ya 4-3-3 or 3-4-3 hatuna haja nayo au niandike kwa capital letter narudia ODEGAARD OR PARTEY OR FABIO hawakuwahi kucheza EPL but kwa KAI ana season 3 or 4 EPL na ni MZIGO

Sababu ya EGO ya Arteta hatakubali kirahisi kuona kashindwa kwa KAI but naapa ingekuwa kuna kura za wazi zinapigwa kama KAI next game aanze first 11 au akae benchi ungejionea AIBU YAKO
 
Arsenal are moving closer to reaching an agreement with Martin Ødegaard on a new long-term deal.

Arsenal have offered the Norwegian superstar a brand new deal until 2027 + 1 year option.

He will become the highest paid player at the club View attachment 2743220

Hii ni safi sanaaaa…

Huyu ndo anastahiki alipwe zaidi kuliko mchezaji yeyote arsenal….

Odegard my number one favorite player..

Young captain mpambanaji asiyechoka mda wote.
IMG_4818.jpg
 
Kaka Acha porojo na kudanganya members wenye akili humu JF wengine tuna akili na hatuwezi kusema mambo mengi KAI NI MZIGO fanya research ndogo au nikuulize kwa IQ yako timamu why ARTETA anatumia muda kwenye press kumtetea KAI kuliko player yoyote yule?kama una akili jibu utapata kama una akili maana Arsenal ina players wengi why KAI?TAFAKARI

Brother unachekesha sana Odegaard or Partey hawa hakuwahi kucheza EPL na true mchezaji anavyobadili mazingira YES kukutana na mambo mapya sometimes inawezekana akawa flop kwa muda akizoea anakuwa wa moto like Fabio kwa sasa ,mimi namuongelea KAI mwenye season 3 or 4 hapo EPL nipe maajabu yake (statistics)zake kisha tuendelee na mjadala mambo ya formation hayatusaidii sisi fans tunachotaka mchezaji awajibike uwanjani that's it mambo ya 4-3-3 or 3-4-3 hatuna haja nayo au niandike kwa capital letter narudia ODEGAARD OR PARTEY OR FABIO hawakuwahi kucheza EPL but kwa KAI ana season 3 or 4 EPL na ni MZIGO

Sababu ya EGO ya Arteta hatakubali kirahisi kuona kashindwa kwa KAI but naapa ingekuwa kuna kura za wazi zinapigwa kama KAI next game aanze first 11 au akae benchi ungejionea AIBU YAKO
Mbona unakimbilia nimedanganya ,kwann usitetee hoja zako bila kuwahusisha wengine, Kuna mtu au watu nimewashika mashati humu na kuwadanganya?

Sijawahi kuona kwanza hiyo press ambayo Mikel anatumia muda mwingi anamtetea Kai

Labda hujui Press za Arsenal huwa zinaendeshwaje ,

Waandishi ndio huuliza maswali mbalimbali na Kocha huyajibu ,kocha huja kuelezea mechi ijayo na taarifa za majeruhi Basi,

Unataka Kai acheze unavyotaka wewe sababu eti ametoka EPL ,Nan kakudanganya mchezaji akitoka EPL bas anaweza kuwika hapo hapo EPL, Mbona mifano ipo mingi ya wachezaji wanatoka EPL na wanafeli Ligi za wakulima na wapo wanatoka Ligi za wakulima na Wana click EPL faster tu,

Kai anacheza LCM ,majukumu ya LCM mpaka Sasa anayatekeleza vzr kabisa ,labda uje uniambie hapa technically Ni vitu gani hatekelezi ,sio kuleta porojo tu Kai Ni mzigo, how? Ulisema mvivu nitakupa takwimu ndiye mchezaji aliyekimbia kuliko wote hapo Arsenal ,

  • Running
  • Duel winning
  • Reliable passer (89% accuracy)
  • Goals and assists

No research no right to speak
 
Bukayo Saka now has the third highest transfer value in world football, according to @CIES_Football.

The Arsenal winger is only behind Vinicius Junior at Real Madrid and Erling Haaland of Manchester City.

Bukayo’s stocks continue to rise…
20230909_175756.jpg
 
Huo ubavu wa kumfunga Manchester ndio hamna, yaani utd hata iwe mbovu vipi lakini kufungwa na Arsenyani hua ni ngumu same to Liverpuli kwa Man Utd.
Livapunda hata iwe mbovu vipi lakini ikikutana na Utd lazima tuchezee.
 
Kwa ukubwa wa kikosi mechi kama hizi ni muhimu sana katika kumpa mwalimu mwanga wa team selection.tactically midfield ni eneo ambalo litampa changamoto kubwa kocha juu ya nani aanze na abaki
Wewe unajua wengi waeopokaji Sana humu jf
 
Back
Top Bottom