Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Nimemuelewa yule aliesema, laiti tukitoa hiyo pesa £65mil
Alafu asifanye kile tulichotegemea. Tutakuja kushika uchawi




Nimemuelewa yule aliesema, laiti tukitoa hiyo pesa £65mil
Alafu asifanye kile tulichotegemea. Tutakuja kushika uchawi




Watu Anthony mlikuwa mnamjua kabla hata nyumbu hawajapigwa €100mAntony hana pace, tunahitaji mchezaji kama Saka anayecheza kwenye isolation role, quick enough to beat his man in 1v1, Cutting inside from the RW, anayeweza kucheza kwenye both wings, left footed right winger.
Uliamua kumpa mudaSema Mazee imani yangu kwa Fabio Vieira ni kubwa mno, kwa kuangalia tu clip zake huyu jamaa ni bomu la nuclear.
Uliona mbaliNILIWAHI KUSEMA WIKI ILIYOPITA KWASASA DUNIANI KUNA UHABA MKUBWA WA CF ,
IWAPO CR7 ANAONDOKA MAN U NA KWENDA NJE YA EPL , NI WAZI MAN U NA CHELSEA ZINABAKI BILA CF WA MAANA ,ITAWALAZIMU KUTUMIA FALSE 9 .
Kitu ambacho Ni Risk kwa epl, Ni pep na Klopp ndio walithubutu kufanya hivo ,Lakin nao wamerudi sokon wamenunua typically CF ,Halland na Nunez.
Arsenal katika Scout yao walikuwa na majina ya Gabriel Jesus akiwa top kabisa kwenye list, kulikuwa na Gianluca Scamaca , Victor Osmhen ,
Kwa uhaba wa CF uliopo barani Ulaya iliwalazimu Liverpool waweke mezan karibu €80m kwa Nunez ambaye ana msimu mmoja mzuri ,
Ukienda pale Napoli , ukamuulizia Victor Osmhen a CF wakawaida tu basi Rais wa Napoli Ndugu Aurelio De Laurentiis anakwambia weka mezani €100m .
Ukienda pale Sasuolo ukamuulizia bwana mdogo Gianluca Scamaca ambaye bado haja prove chochote Cha maana utaambiwa weka mezani €50m.
Hii inaonesha kwasasa Kuna uhaba wa CF duniani, hii imepelekea Arsenal wasisite kutoa €50m(£45m) kwa Gabriel JESUS, kwanza ana uzoefu na epl ,pili Ni winner akiwa na mataji manne ya epl .
Mwisho had Jumapili iliyopita bado Kuna klabu zinahaha kusaka CF , zilimfata Gabriel Jesus aachane na Arsenal kabla hajatangazwa.
Fabrizio Romano anasema
Three clubs tried to hijack Gabriel Jesus deal until Sunday, June 26… but he always wanted Arsenal as priority. Now it’s finally official and confirmed.️
#AFC
Signed last week, delivered today. £45m to Man City. Contract until June 2027.
Huu Ni usajiri muhimu Sana kwa Arsenal
Mbona ipo ivyo kitambo tu?Moderator nawezaje kuacha kuona replies ambazo anapata mtu niliyemblock? Maana kitendo cha kufungua reply lazima uanze kuona ule utumbo usiotaka kuuona. Ntafurahi kama mkiliboresha hili, yaani ukimlima mtu block ata kile kinachojibiwa kwenye utumbo wake basi usikione. Replies za utumbo ziwe zinaonyesha "show spoiler" Please over Please work on this.
Mlikuwa na dharau Sasa hivi majukwaa yenu yakiguswa kidogo mnatokwa mapovu![]()
Alizungukwa na KDB, Foden, Gundogan, Silva, Sterling hakufunga mpaka achoke.
Huko anaenda kucheza na Odergaard, Saka, Nketiah, Pepe, Rowe na hiyo skeleton mlotoka kuisajili. Ngoja tuone atakapofunga mpaka achoke
Alikaa nje miezi 3 na bado alifunga goli 11Utakuja kuniambia ikifika mwezi March hata goli 8 atakua hajafikisha.
Wewe Ni mbwa jikeVistatistics uchwara. Akifikisha goli 5 niiteni mbwa.
Huyo Hana akiliWakati mwingine waga mnapenda kujitoa ufahamu hadi ufahamu wenyewe unashangaa...!
Kwahiyo wewe na Akili zako timamu unadhani Jesus hawezi Kufunga goli 5 pale EPL? au kwakuwa nawewe tu ume comment roho yako iridhike
Mbwa weweSi tupo hapa, dogo ni mbovu! Pep alikua anamsitiri sana.
Ndio nakwambia akifikisha goli tano niiteni mbwa.
Huyo jesus mmeliwa hela, hakuna mchezaji hapo. Ni bora mungemchukua lautaro Martinez ni striker mwenye uwezo mkubwa, nguvu, skills, kufunga n.k



Akaenda cheltakoNasikia mmekataliwa na Leeds na Raphinahii ni nuksi wazee.
Uliona mbali SanaKwa kua kocha anapenda wachezaji versatile binafsi sioni shida.
Nilimcheki sana Lisandro tulivyohusishwa naye, anajua kukaba ila ni reckless Zinchenko naona ni mchezaji ambaye kwa City anaweza asishine ila akashine Arsenal.
Kwa 30M nafikiri ni bargain. Tumesababisha Lisandro apande bei kisha tumewaacha United wadeal na over price.
Uliona mbali nduguKwanini tumefaidika kwenye usajili wa Zinchenko tofauti na kama tungemsajili Lisandro Martinez:
1. £35 mil only (Lisandro= £55miloverpaid by nyumbu- wamepigwa)
2. Mshahara kiduchu (Lisandro- mshahara mwingi)
3. Multiple positions. LCB, CM, LM & LWB (Lisandro- CB (🛇mfupi) & LB).
4. Ka prove kwenye EPL (Lisandro- Farmers league)
5. Starter kwa Arsenal (Lisandro- Backup kwa Arsenal, Starter kwa Nyumbu).
Umetokea wap huko mzee ambako hakuna hata 4G mpaka unachelewa kupata comment kwa muda sahihi.?Akaenda cheltako
