computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Anapaniki nini sasa Legend?Nketiah sio forward wa uhakika kwenye EPL inategemea ameamkaje na huo ndio ukweli otherwise anamtetea Nketiah kumlinda sababu yeye ni Legend but ukweli anaujua moyoni mwake anazuga tu hapo mfuatilie kwenye uchambuzi wake sometimes anavyochambua players wetu huyo Fan yupo sahihi kwa mtazamo wake na ninampa support alitakiwa achape lapa na Laca this season tatizo linakuja Arsenal hana ubavu wa kusajili forwards wawili sababu ya ubahili then wameona Nketiah abaki licha fans wengi wa Arsenal wanajua uwezo wa Nketiah sio wa kuchezea Arsenal kama inataka achievements ambazo daily tunazisemaLove you @IanWright0. Some people simply don't deserve to be Arsenal fans
