Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna watu maji wataita mma
Screenshot_20220618-225557_1.jpg
 
Kwa jinsi mambo ninavyoona tutasajili wachezaji watano dirisha hili Marquinhois, Jesus, Vieira, Lisandro Martinez, Winger.
 
Kwa jinsi mambo ninavyoona tutasajili wachezaji watano dirisha hili Marquinhois, Jesus, Vieira, Lisandro Martinez, Winger.

Kama pepe hatauzwa basi hakuna sababu ya kusajili winga wakati tuna option nyingi kwenye nafasi ya winga zote mbili, Saka,Pepe & Smith,Martinel hata Jesus pia anaweza tumika uko,
Pepe akibaki basi tunaitaji mchezaj tofauti wa eneo ilo hapo ndo naona nafasi ya Tielemans ipo wazi
 
Kama pepe hatauzwa basi hakuna sababu ya kusajili winga wakati tuna option nyingi kwenye nafasi ya winga zote mbili, Saka,Pepe & Smith,Martinel hata Jesus pia anaweza tumika uko,
Pepe akibaki basi tunaitaji mchezaj tofauti wa eneo ilo hapo ndo naona nafasi ya Tielemans ipo wazi
Pepe inabidi auzwe, natural wide players wanabaki wawili Saka & Martinelli. Balance is key
 
Kama Man city watamsajili kalvin Phillips & cucurela, the probability of winning the league next season is so high.

Kuna chemistry inahitajika to win the league than the names of players. Philips mwenyewe pancha, I doubt if he will feature in the first XI of man city. Cucurella namkubsli sana, nimesikitika he was available for cheap na timu yangu haijamchukua.
 
Pepe inabidi auzwe, natural wide players wanabaki wawili Saka & Martinelli. Balance is key

I differ from many Arsenal supporters, I have faith in Pepe save that he lacks coach’s faith thus playing time. Lakini he has saved the team in difficult moments
 
Back
Top Bottom