toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
ukitazama timu zenye financial muscles kama chelsea,man united na hata city namna wanavyoingia chaka kwa usajili wa baadhi ya wachezaji tena waliogharimu pesa nyingi kuna kitu unajifunza kwa klabu yetu yenye hela za manati.And Arsenal made a right call. Yaani sasa hivi Aouar mngesema Edu na Arteta wamekula hela. Angekuwa ni pepe mwengine huyu. Tutulieni watu wafanye kazi zao