Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Moderator nawezaje kuacha kuona replies ambazo anapata mtu niliyemblock? Maana kitendo cha kufungua reply lazima uanze kuona ule utumbo usiotaka kuuona. Ntafurahi kama mkiliboresha hili, yaani ukimlima mtu block ata kile kinachojibiwa kwenye utumbo wake basi usikione. Replies za utumbo ziwe zinaonyesha "show spoiler" Please over Please work on this.
 
Ni lini mara y mwisho umechukua point6 kwa arsenal kama haijapita miaka5 sijui mtu anaetupa mtihan wa kupata ushindi ni city pekee nyumbu wengn wote either mshangilie ushindi wa favour z marefa au sare....haka ka ushindi utakajutia nakwambia
Uliona mbali Sana ,lile bonanza liliwadanganya Wana timu
 
Naamka muda huu hata penalties pia tumepigwa?ohhhhh kweli nyumbu kapiga kila sehemu ya mshono
Unapenda kupinga pinga tulikwambia na manyumbu wenzio lile lilikuwa bonanza tu umeona mechi hapo Emirates hao nyumbu hata kusogelea goli la Arsenal ilikuwa shida
 
Tumepigwa 2 kwa zero na penalties tumelose what does it mean?yes ni friendly game but pia ndio inatakiwa userious uonekane hapo Ramsdale kwa penalties ni paka na panya kiujumla tumezidiwa na bado team haijakamilika August 6 vs Manchester City kwa squad hii unaona tutatoboa?even kwenye EPL and champions league?OK let's wait and see na problem ya baadhi ya fans ni kujiona wao football ️ wanaijua sisi wengine tunakaa na kushangaa is it true kuwa tupo tayari kucompete na giants?unabaki unacheka tu jana Manchester United ni kipimo sahihi sana kwetu zaidi ya sana licha ilikuwa ni friendly tu
Unapenda kuropoka uwe na akiba ya maneno
 
Mnamuonea tu bure Mmiliki kwenye huu msimu mmiliki wenu katoa kitita kizuri Cha usajili na ndio team yenu imeongoza kwa hela za usajili sema tatizo limekuja aina ya wachezaji mlioenda kuwasajili Thomas partey, Tomiyaso, ben white, lukonga, gabriel,Aaron Ramsdale na Nuno tavares kwa hili lundo la usajili mnamlaumu vipi mmiliki?
watu asee
 
Wamepewa mpunga mkubwa tu na Mmiliki wao wa kusajili wakaenda kusajili matakataka hawa ndio wachezaji waliowasajili msimu huu Lukonga,Nuno tavares, Gabriel, Aaron Ramsdale, Thomas partey, Tomiyaso na ben white wameenda kusajili wachezaji 7 sasa hapa unamtupia vipi lawama mmiliki?

Katika hawa wachezaji ambao uliwaita takataka Ni wawili tu hawakuingia kikosi cha kwanza Hadi Sasa
Chelsea yako iliyosajili wachezaji wazuri inahangaika tu
 
Msimu huu huwezi kumtupia lawama mmiliki walipewa mpunga mrefu wakasajili wachezaji 7 wengine wamewasajili wa kawaida lakini wamewasajili kwa pesa kubwa.Hawa ndio wachezaji waliowasajili msimu huu

Lukonga

Tomiyaso

Nuno tavares

Aaron Ramsdale

Gabriel

Thomas Partey


Ben white

Sasa hapa kwanini umtupie lawama mmiliki Arsenal ndio team imeongoza kwa usajili wa pesa kubwa msimu huu kwa epl
Ogopa Mungu na technologia
 
Unapenda kuropoka uwe na akiba ya maneno
Kumbuka nyumbu Emirates huwa anakufa na Arsenal kushinda na kubeba 3 points haikuwa jambo jipya but jambo kubwa ni kubeba 3 points Old Trafford so tusubiri hyo game brother au wewe ni mgeni kwenye football?hamu kubwa ni Arsenal kupata 3 points this season hapo katika games almost 10 za old Trafford tumeshinda 1 so na shauku sana ya kushinda hapo ni kama nyumbu katika game 7 za Emirates hajashinda hata 1
 
Haya matokeo naona yanafaida kubwa kuliko hasara
Timu haiuzwi
Timu kumbe tayari imekamilika, no ins

Kwenye Epl nyumu asipopigwa doz (3) na arsenal Basi niulizwe Mii, shida ni Nini?
Hii ni comment baada ya nyumbu kupewa Ushindi na arsenal kipindi Cha pre season
IMG-20230909-WA0000.jpg
 
Sasa hapo hao average players Nani kawasajili kumbuka mmiliki wenu msimu huu katoa mpunga mkubwa Sana ndio Arsenal mmeongoza kwa utoaji wa mkubwa wa usajili nyinyi mkaenda kusajili wachezaji 8 Thomas partey, Tomiyasu, Nuno tavares, Gabriel, Aaron Ramsdale Tierney, lukonga na Ben white kwa huu usajili kwanini umtupie lawama Mmiliki wakati yeye kaplay part yake kwa kutoa mpunga wa kusajili? Kwani yeye ndio wamewasajili hawa wachezaji?
Hapa ndio namuheshimu Arteta wachezaji ambao uliwaita takataka 80% wapo first eleven ya Arsenal
 
Mbona unakimbilia nimedanganya ,kwann usitetee hoja zako bila kuwahusisha wengine, Kuna mtu au watu nimewashika mashati humu na kuwadanganya?

Sijawahi kuona kwanza hiyo press ambayo Mikel anatumia muda mwingi anamtetea Kai

Labda hujui Press za Arsenal huwa zinaendeshwaje ,

Waandishi ndio huuliza maswali mbalimbali na Kocha huyajibu ,kocha huja kuelezea mechi ijayo na taarifa za majeruhi Basi,

Unataka Kai acheze unavyotaka wewe sababu eti ametoka EPL ,Nan kakudanganya mchezaji akitoka EPL bas anaweza kuwika hapo hapo EPL, Mbona mifano ipo mingi ya wachezaji wanatoka EPL na wanafeli Ligi za wakulima na wapo wanatoka Ligi za wakulima na Wana click EPL faster tu,

Kai anacheza LCM ,majukumu ya LCM mpaka Sasa anayatekeleza vzr kabisa ,labda uje uniambie hapa technically Ni vitu gani hatekelezi ,sio kuleta porojo tu Kai Ni mzigo, how? Ulisema mvivu nitakupa takwimu ndiye mchezaji aliyekimbia kuliko wote hapo Arsenal ,

  • Running
  • Duel winning
  • Reliable passer (89% accuracy)
  • Goals and assists

No research no right to speak
Brother KAI NI MZIGO ana anachelewesha ushindi wa Arsenal this season na linaonekana kabisa suala hili PERIOD!
 
Mashabiki wa AsaniWali kwa kupenda kumkingia kifua Arteta utafikiri yamelishwa limbwata.
Hziyech22 ameuliza Wakati mnawasajili Thomas partey, Tomiyasu, Nuno tavares, Gabriel, Aaron Ramsdale Tierney, lukonga na Ben white kwa mkupuo kocha wenu alikua nani?
Cheki huyu
 
Tena miongoni mwa makocha waliotumia pesa nyingi kwenye usajili na huyo jamaa yupo, pesa alipewa kubwa tu, hana kisingizio chochote zaidi ya kuprove failure.
Hapa Arteta alikuwa katumia £140m tu cheki hii fanbase ilivyokuwa inaropoka Leo ten hag katumia £400m wanasema shida Ni Grazzer family
 
Back
Top Bottom