mfano
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 670
- 1,132
Nyau kweli huyo, apewe martinelEddie Nketiah kasaini mkataba mpya wa kuendelea kukipiga gunners mpaka mwaka 2027.
Moja ya kipengele kwenye mkataba wake ni kuwa apewe jezi namba 14.
Je anastahili hiyo jezi ?
Eddie Nketiah kasaini mkataba mpya wa kuendelea kukipiga gunners mpaka mwaka 2027.

