Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaha tunataka mukasirike adi muweke miguu mfukoni au mumeze wembe kabisa ...

Enewei ivi kati ya Conte na Arteta Nani anastahili kucheza UEFA? Tuseme tu ukweli mazee

Sasa kama timu yao inaonesha toka waanze kucheza UEFA wanaishia hatua ya 16. Unategemea nini. Wakafanye nini huko mwache Konte aende
 
Mitano tena
 
Niliwaambia nyie mbuzi mtaambulia sio zaidi ya point 6 kwenye mechi 4 zilizobaki mkanishambulia na wengine matusi, mlipomfunga Leeds aliyejifia mkaota pembe, sasa Spurs kawalaza chali, Newcastle pia kawalaza chali, bado mna pts 3 za leeds. Hata mkishinda kitu ambacho haipo mtakuwa na pts 6
Niliwaahidi nitajipiga ban mwezi mzima
Asante Newcastle mmeniondolea ban
 
Hizi ni pongezi au kejeli?

Sijamuelewa kabisa huyo jamaa.

Anyway it is shame to see 300 million has been spent to have this kinda squad. BTW I still trust the process.
Ni kejeli sababu ameikuta timu kwenye Europa competition na last season akashindwa kuqualify kwenye Europe competition na ameirudisha Arsenal kwenye Europa Competition otherwise Sunday Spurs afungwe then Arsenal ashinde
 

Madhara ya Bangi za kuvutia chooni

Ndio maana hii Timu inapendwa sana na walimu kwa sababu ina makinda mengi watoto wa shule



Na madhara ya bangi za kuvutia chooni huwa yanaanza taratibu ila mwisho wake huwa mtu anavua nguo na kujisaidia haja kubwa Barabarani mchana kweupe

Wahi Sober mzee..... Nafasi bado unayo kabla madhara hayajawa makubwa


Na Spurs wanajua umuhimu wa mechi ya leo, akimfunga Arsenal posibility ya kuingia top 4 inaongezeka sana
Akidroo au kufunga ndio bye bye top 4
Itawachukua miaka 3-5 hadi hao watoto wakue ndipo muanze kupambana na wakubwa kama Chelsea
Mkiwauza mnaanza tena upya
 
Tuliwaonya lakini
 
Our 3rd position ni yetu MUNGU MKUBWA

Jidanganye yaan umfunge Newcastle

Tuna Leeds
Leicester city
Watford iliyoshuka daraja tayari
Naomba Mungu tuokote pochi mechi zote hizo

Mna Leeds
Spurs
Everton
Hizi timu mkiokota zaidi ya points 3 nitajipiga ban ya mwezi mzima

Tatizo lilianza pale mlipoanza kuvunja amri ya 10 ya Mwenyezi Mungu aliposema
"USITAMANI CHOCHOTE ALICHO NACHO JIRANI YAKO"
Hii laana haitawaacha bure kizazi cha tatu hadi cha nne
 
Ila kocha wenu ni very very imature
Aliyeizamisha hii timu ni kocha kwa kasoro moja tu, immaturity kwenye ukocha. anawaingizia vijana hasira za kijingajinga badala ya kuwafundisha kuwa professionals. Ukiwaangalia wachezaji wa Arsenal wanacheza kibabebabe uwanjani na rafu nyingi. refa akiwaadhibu wanaona wameonewa na kocha wao naye kujifanya bingwa wa public address kwa kuongea hovyo
Hii attitude ya Arteta ikiendelea msimu ujao hivi hamtaambulia hata Europa
 
Arsenal fans wanachekesha wakishinda mechi mbili tatu basi uchambuzi na tetesi uchwara zinajaa humu pamoja na vingereza vingi uzi unapanda kila wakati fans kibao wapo active lakini wakipigwa wanapoteana kabisa isipokuwa wachache.

Hivi jamaa Aaron Arsenal mbona haungani na fans wenzake wkt wa mojonzi yeye Kazi tetesi na habari za mazoezini timu inapokuwa kwenye form? mbona sisi Nyumbu tuko hapi muda wote uchumbuzi unaendelea wakina Flano , Allypipi na wengine hawapoi ?
 
Hiyo ni kawaida sana, hata wewe ukifungwa morale inashuka, ukishinda inapanda...
Kuhusu kuhusisha wachezaji wapya tena top top ni sawa coz hakuna wachezaji wazuri wanataka kucheza makombe ya mbuzi.

Niambie kama wewe unaenjoy timu yako ikipigwa!
 
Hiyo ni kawaida sana, hata wewe ukifungwa morale inashuka, ukishinda inapanda...
Kuhusu kuhusisha wachezaji wapya tena top top ni sawa coz hakuna wachezaji wazuri wanataka kucheza makombe ya mbuzi.

Niambie kama wewe unaenjoy timu yako ikipigwa!
Hapana ,nimeacha hata kuwa seriaz na soka kama zamani na nimefanikiwa kwa sasa wapigwe au wasipigwe sawa maisha mafupi haya niumizwe na maisha ya bongo na timu nayo inipe stress ?sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…