😄😄 Arsenal hamuishiwi false hopes kwa kweli. Mnajipaga ukubwa ambao haupo as fans lakini kwa fans wa team nyingine nyinyi Huwa team ya vichekeshoHapa ndo utaelewa why DSTV, Compact package, 68,000 tzs, unawaona Madrid vs Munich
Ila, Arsenal na Sporting, Compact Plus, 118,000 tzsView attachment 3569228View attachment 3569230
Barca nilisha sema hamuwezi atm wa msimu huu, atm akisikia harufu ya kombe ana kaza kishenziTukaze game ijayo tushinde, kuingia nusu ni bora zaidi.. ila kwa mchezo huo barca atatuacha salama kweli, au ndio kwakuwa nae haeleweki eleweki?
Una hangaika sana kama mbuzi wa kafaraArsenal ikatokea though ni ngumu sana ni zaidi ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano mkabeba EPL .
Mchezaji Bora wa msimu kwenu atakua David Raya .
EPL kwa mara ya kwanza player of the season anakua kipa 😄 maana sidhani kama pale arsenal kuna mchezaji amemzidi Raya overall performance mpaka sasa kwa mbali anayemfuatia ni Gabi.
Man city alichukue tu hili kombe haiwezekani EPL player of the season awe kipa, alichukue atuondolee hii aibu
Sawa mwanangu wa quadruple , nipo hapa nawaombea mbebe EPL au hamlitaki na hili kombe kama carabao na FAUna hangaika sana kama mbuzi wa kafara
Kaa na maombi yako uchwara, viva arsenal 🔥Sawa mwanangu wa quadruple , nipo hapa nawaombea mbebe EPL au hamlitaki na hili kombe kama carabao na FA
Kadi nyekundu ile imewaharibj jana, ngoja tuone game ijayo.. mie ni muumini sana wa el cholo, tuseme tu shabiki wa atletico kabisa, hata mtandao wangu wa jamii nimeandika hivyo, lakini msimu huu haeleweki.. game ijayo sijui kama atletico hatopa nyekundu.Barca nilisha sema hamuwezi atm wa msimu huu, atm akisikia harufu ya kombe ana kaza kishenzi