Wewe wasemaMpuuzi kweli weye!Nyerere na ********? What the heck is that?πππππ
Wewe wasemaMpuuzi kweli weye!Nyerere na ********? What the heck is that?πππππ
Sijasema.Nimeandika.Mind you!ππππWewe wasema
Hayo ni maoni yako ya kipuuziSijasema.Nimeandika.Mind you!ππππ
Hero wa kubumba? Labda zero, nachojua mimi hakuna Rais wa hovyo kama MagufuliAcheni kutafuta umaarufu kwa kudanganya wapuuzi wenzenu. He was a hero and always will be! Hata Nyerere alipotoka madarakani wengi aliowabana kwa ufisadi wao walimnanga pia.
Piga ua Magufuli na Nyerere watakumbukwa daima.
Umenena wewe na ni haki yako - tunaambiwa akili ni nywele kila mtu ana zake. Nadhani hujaelezwa kuhusu hali halisi ya nchi ilivyo. Nilikutahadharisha kuwa ndani ya mwaka huu, Acha siku 100, mbivu na mbichi zitajitokeza. Vuta subra kidogohero wa kubumba?labda zero,nachojua mimi hakuna rais wa hovyo kama magufuli
Kwa nini unafuatilia upuuzi?πππHayo ni maoni yako ya kipuuzi
Hebu jaribu kufuatilia mambo, usiwe na kumbukumbu kama za kuku maana ana kaubongo Kadogo kiasi anasahau haraka. Kumbuka mimi nilitoa maoni yangu wewe ukajibu upuuzi. Au ulitamani nikuache uholohoje tu. Kama ndivyo unapenda, sitakujibu tenaKwa nini unafuatilia upuuzi?πππ
Ukiona mtu ni Mpuuzi unapaswa umuache.Kama unaendelea kumjibu mpuuzi unaonekana unawashwawashwa mapaja.Hakuna raha njema kama mpuuzi kujibu upuuzi.πππππHebu jaribu kufuatilia mambo, usiwe na kumbukumbu kama za kuku maana ana kaubongo Kadogo kiasi anasahau haraka. Kumbuka mimi nilitoa maoni yangu wewe ukajibu upuuzi. Au ulitamani nikuache uholohoje tu. Kama ndivyo unapenda, sitakujibu tena
He was a hero kwa vichaa wenzake kama wewe.Acheni kutafuta umaarufu kwa kudanganya wapuuzi wenzenu. He was a hero and always will be! Hata Nyerere alipotoka madarakani wengi aliowabana kwa ufisadi wao walimnanga pia.
Piga ua Magufuli na Nyerere watakumbukwa daima.
Hivi Diallo alitoka Mirembe mwaka gani?Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, bwana Anthony Diallo amewaomba radhi watanzania kwa kauli zake alizozitoa kuwa viongozi wa Serikali waliopita walikuwa na mafaili mirembe.
View attachment 1849688
========
Diallo: Mimi nadhani ufafanuzi unatosha, nawataka radhi wale ambao walinielewa vibaya, kuna kunielewa nilivyomaanisha lakini kuna kunielewa vibaya mtu mwingine akaona nimeleta ukakasi, hiyo ni nature ya binadamu inaweza kutokea kwamba naweza kuelewa kidogo au tofauti na aliyesema.
Mtu anaetafsiri uelewa ni yule anayesikiliza kulingana na principle ya communications, mara nyingi inatokea mtu anaweza akakuelewa vibaya, katika muktadha wa aina hiyo mimi sina shida ya kusema wanisamehe kwasababu nimewapa uelewa ambao sivyo walivyotarajia
Kuhusu akaunti ya mtandao ni Akaunti feki, hiyo post nimeiona sio mimi.
=======
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi βkiainaβ baada ya kauli yake kuzua mjadala ndani na nje ya chama chake.
Dkt. Diallo amesema, ametafasiriwa vibaya na baadhi ya watu huku akiwataka wanachama wa chama hicho tawala nchini Tanzania kuwa makini kwani wapo wasiowatakia mema wanatumia mwanya huo kuwachonganisha.
Ni baada ya jana Jumamosi, tarehe 10 Julai 2021, kuzungumza masuala mbalimbali yaliyojitokeza katika utawala wa awamu ya tano akigusia suala la nchi kuongozwa kwa matamko.
Dkt. Diallo aliyewahi kuwa waziri, alizungumza hayo katika kipindi cha Ajenda, kinachorushwa na kituo chake cha televisheni cha Star TV, jijini Mwanza.
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kupata maoni yake juu ya nchi kuongozwa kwa matamko bila kufuata Katiba na sheria, Dk. Diallo alisema, kuna umuhimu wa kuangalia historia ya mtu kabla ya kupewa dhamana ya kuongoza.
Mimi nafikiri tuwe waangalifu tu katika kuchagua tuwe tuna βtrack recordβ kwani huko nyuma tuliwahi kuchagua watu walikwisha kwenda hospitali za vichaa βmilembeβ harafu unamwachia aongoze nchi, kwa hiyo tuwe makini,β alisema.
Kauli hiyo ilizua mjadala na leo Jumapili, tarehe 11 Julai 2021, akizungumza na waandishi wa habari amesema βnilifanya kosa kwa kutolea mfano wa wakati uliopita badala ya wakati ujao kuwa tusipokuwa waangalifu tunaweza kuchagua viongozi wenye matatizo ya akili.β
Na sijasema mtu kuwa aliyekuwa na tatizo ila nilikosea tu kwenye maelezo. Nawataka radhi wale ambao walinielewa vibaya kwani wapo waliotafasiri wanavyojua wao,β amesema Dk. Diallo.
Mwanasiasa huyo mkongwe nchini amsema βmimi nadhani tuwe waangalifu sana hasa wana CCM, tumeanza kuingiliwa sana.β
Dkt. Diallo amekosoa kitendo cha baadhi ya viongozi wa chama hicho kuanza kutoa matamko kabla ya kumsikiliza au kumuuliza alikuwa ana maanisha nini.
βUnakuta ni kiongozi wa chama anatoa tamko na kunituhumu kama vile nimefanya kosa, bila hata kuniuliza. Lazima tuwe waangalifu sana wana CCM,β amesema Dkt. Diallo.
Miongoni mwa viongozi waliomshtumu ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM), Kenani Kihongosi alisema, viongozi walioaminiwa na βchama chetu, na wanakaa katika vikao vya maamuzi, tunawaomba wawe na nidhamu na chama hiki.β
βChama hiki ni kikubwa kuliko mtu, kwa hiyo mwenyekiti na katibu mkuu wetu, niwaombe sisi kama UVCCM, kauli ile imetuudhi sana, mwenyekiti wa CCM anapozungumza hivyo hapaswi kuungwa mkono.β
Kihongosi aliongeza kwa kusema βkama yeye aliona wanapaswa kwenda milembe hapa anafanya nini, kama ni vikao vya maamuzi yeye ni miongoni na kauli zile kama sisi vijana zinatuvunja moyo.β
Mwanahalisi
Zaidi, soma: Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?
Lakini ujumbe umefikaIGP Mahita alikomaliwa na Wabunge aombe radhi akasema;
"Kama mnaona nimekosea, basi naomba radhi".
Muhimu ujumbe umefika hata akifuta.anatakiwa afute kauli
Wanufaika wake uwaambii kitu.Diallo lazima watamvaa sana maana dah!
View attachment 1849822
Bachellor alisoma wapi bosi? ilikuwa ya nini bosi? Au ni zile za akina Mwigulu Nchemba; Unakusanya pesa badala ya chapter unapeleka zawadi kwa mwalimu?Bro huyo hajiiti daktati ni phd holder halali kutoka university ya newcastle
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app