Kalyinda ni mtoa marindaKalynda ndio nani? Kiki inatrend bibie sijui chochote ebu nipe mkasa maana naona Hili jina linatajwa Sana ila sijui kafanya nini
Kalyinda ni mtoa marindaKalynda ndio nani? Kiki inatrend bibie sijui chochote ebu nipe mkasa maana naona Hili jina linatajwa Sana ila sijui kafanya nini
mm natoka lindo nipo kwa mwendokasi narudi homeHivi huku wote ma-boss hamna vibarua ngoja niingie kibaruani.
Ni mwanaume au wa kike?Kalyinda ni mtoa marinda
mkuu kwenye bajeti ni pagumu kuna TRAB na TRAT yaan yanaumiza kichwa bora tujadili hayaWATANZANIA wengi hatuna Akili.
Yani tungekuwa tunaweza kujadili bajeti kwa NGUVU Hivi tungefika mbali sana.
ENDELEENI KUTESEKA NA KUJADILI MAMBO YASIYO NA MAANA WALA FAIDA KWENYE MAISHA YENU.
Akichepuka Ila asizae nje ni ruksa tu eti?Usitetee ujinga
Wanazengo tunataka kumwepusha masanja na huyo shetani wa kike
Mwanamke anaechepuka na akaamua kuzaa nje huyo hafai kabisa,anatakiwa apewe adhabu ya kifo kabisa,unajua ada zinavyoumiza kichwa sahv afu eti usomeshe mtoto anaefanana na katibu.
Kingine tunamuweka Masanja akili sawa ili aache ushamba wa mapenzi,utazan yeye tu ndo kaoa
Sisi polisi hatuwezi kuhangaika na mpumbavu anayeshoboka na wake za watu, yaani ni sawa na kibaka akaibe kwenye kibanda cha wauza petrol, wakimpiga kiberiti sie hatuwezi kubugudhi wauza petrol!Kwahiyo aliyekufa huna haja naye sasa unampigania Masanja?
Ni heri ungeomba polisi wafuatilie kwa upya kifo cha kijana wa watu.
Wala hata sio tatzo kama hujamkuta na bikira,ina maana ulikubali kuoa mwanamke wa watuAkichepuka Ila asizae nje ni ruksa tu eti?
Ndiyo...amejifungulia mlango wa nuksi yeye mwenyewe kwa ulimbukeni wake wa kishamba. Mbona wenzake akina joti wako kimya, kwani hawana mafanikio ya kuringishia watu?Kwa hiyo anaadhibiwa kwa sababu kidomodomo chake?
Nimejua kua kuna picha ya mtoto inatembea,hapo hata mtoto mdogo ataelewa kua huyo mtoto amefananishwa na Katibu wala haihitaji mjadala.Umejua nini kwenye hiyo picha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Unakua mchekeshaji, mke anachepuka na mtu mkimya
Unakua mkimya, mke anachepuka na mchekeshaji
Yani TAFLANI
Huyo mkewe mwenyewe namuona wa kawaida tu tofauti na anavyosifiwa.mshauri masanja aache kumwanika mkewe kila mahali. Mke ni utupu wa mume, si sahihi kuuanika kila mahali, petrol stations, car wash, garage, ukiwa shopping, ukitibua/akitibua hata kidogo tu maneno lazima yawepo
Hee dunia inakwenda kasi sna ay nae kapigwa Chini kimy kimya
Yule mtutsi wameachana? Na mbwembwe zote za harusi? Hakuwa anampelekea moto vizuri nini?
Kalynda ndio nani? Kiki inatrend bibie sijui chochote ebu nipe mkasa maana naona Hili jina linatajwa Sana ila sijui kafanya nini