Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Kuna mtu kafa lakin Ndio maana yanatokea haya yote na mke wa Katibu kafunguka kdigoo anasema akiwa salama ataongea yote
App la Mange limenizingua kinoma shost....mke wa katibu anasemaje kwani
 
NInashare nanyi ujumbe nilioukuta kwenye Whatsapp Group
View attachment 2385474

Hizi picha zimesambaa sana mitandaoni these few days.

Mtanisamehe kama ninawakwaza kwa kuiweka hiyo. Lakini nina lengo la kuijadili kidogo.

Huyu Mch. Masanja anapitia wakati mgumu sana kipindi hiki kutokana na mtiririko wa matukio yaliyomtokea na hasa kadhia iliyojiri baada ya kifo cha Katibu wa Kanisa lake. Yamesemwa mengi na yeye ameongea mengi pia.
Kuna jambo ambalo naona jamii haijastukia nalo ni kutumika kwenye vita baina ya Masanja na wanaopambana naye.

Kuna jambo linalazimishwa ambapo ikifikia hatua watu kuitaka polisi ichukue hatua ya kumhoji Masanja na Mkewe kuhusu kifo kile. Hata baada ya ufafanuzi wa polisi kuhusiana na uchunguzi wa awali, lakini bado watu hao wenye malengo hasi wamehamia kwenye kuisambaratisha familia.

Inaonekana lengo kubwa ni kuhakikisha familia ya huyu mtumishi isiwe na utulivu hata wa kutafakari na kujirejeleza baada ya matukio haya waliyopitia.

PICHA
Hizi picha zinasambazwa kwa lengo mahsusi kumchafua ama kudhalilisha mwanamke na hata kumshambulia marehemu. Sisi leo tunajipa uhalali wa kuhukumu wakati tunajua kabisa kwa usahihi hatuna wema ama usafi wowote kiroho, kimawazo hata kitabia. Picha za mtoto zinasambazwa kama silaha ya kuhukumu na hata watetezi wa watoto wamekaa kimya.

Je lengo la wasambazaji ni kutaka mtoto adhuriwe? Inawezekana Masanja asifanye lolote kumdhuru mtoto. Je vipi kuhusu ndugu na washabiki wake? Je vipi ikiwa lengo la wanaosambaza hizi picha ni maandalizi ya kisaikolojia kwamba wamdhuru mtoto ili jumba bovu limuangukie Masanja?

Tujifunze kuwa na kiasi. Tuishi kwa kudumisha mila na desturi nzuri kwamba kumsema marehemu ni sasa na kumkaripia mtoto ambaye hajazaliwa bado. Tumsitiri huyu malaika wa Mungu kwani hapo baadaye akijakuwa mtu mzima na kukutana na stories zilizomchafua akiwa bado hajitambui anaweza kugeuka animal au akaathirika kisaikolojia.

Simtetei Masanja kwani hata mimi hapo mwanzo nilipeperushwa na upepo wa hawa wanaomchafua lakini nilipoona amezengumza neno la msamaha nikaanza kujenga picha namna jamii inavyoweza kujiponya kwa eneo la kusamehe na kuachilia. Msimkoseshe amani mke wake kwa sababu ya malengo maovu ya wanaomchafua.

Msimdhuru mtoto kwa kuharibu uwepo wake kupitia keyboards zetu.

Mungu wa Mbinguni awajaze hekima na awape kutafakari kisha kutenda yaliyo sahihi.
Atusamehe makosa yetu na kuponya magonjwa yetu
Atusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea
Ni ushamba wake Masanja kwa kukubali kuweka picha za familia mtandaoni. Kwa ufupi don’t expose your family kwa mitandao
 
Mkuu!....

Je!................

Ulibahatika pia kuiona ile clip ya video iliyokuwa ikimuonyesha huyo mama Mchungaji akifanya ubaradhuli wake?..............

Anachokifanya Masanja ni kulitetea kanisa lake ili lisisambaratike kutokana na kwamba,kama yeye Masanja atakili uzinzi wa mkewe(mama mchungaji wa kanisa) na huyo marehemu (katibu wa kanisa).

Endapo Masanja atamchukulia hatua yoyote ya kinidhamu mkewe huyo......

Itakuwa ni kukubali uchafu mkubwa uliokuwa ukitendeka nyuma ya Pazia la mimbari ya kanisa hilo.

Kitendo ambacho kitaweza kumfanya Masanja kupoteza mojawapo ya miradi yake muhimu inayomuingizia kipato kupitia sadaka za waumini katika ibada kanisani.

Pale waumini hao watakaposusa kwenda katika mimbari ya kanisa ambalo ni najisi.

Pili ni kwamba kati yetu sote hapa,hatujui kama Masanja binafsi kama Binadamu yeyote.
Huenda kuna jambo haliko sawa kimaumbile na hiyo ni siri kati yake na mkewe.
 
NInashare nanyi ujumbe nilioukuta kwenye Whatsapp Group
View attachment 2385474

Hizi picha zimesambaa sana mitandaoni these few days.

Mtanisamehe kama ninawakwaza kwa kuiweka hiyo. Lakini nina lengo la kuijadili kidogo.

Huyu Mch. Masanja anapitia wakati mgumu sana kipindi hiki kutokana na mtiririko wa matukio yaliyomtokea na hasa kadhia iliyojiri baada ya kifo cha Katibu wa Kanisa lake. Yamesemwa mengi na yeye ameongea mengi pia.
Kuna jambo ambalo naona jamii haijastukia nalo ni kutumika kwenye vita baina ya Masanja na wanaopambana naye.

Kuna jambo linalazimishwa ambapo ikifikia hatua watu kuitaka polisi ichukue hatua ya kumhoji Masanja na Mkewe kuhusu kifo kile. Hata baada ya ufafanuzi wa polisi kuhusiana na uchunguzi wa awali, lakini bado watu hao wenye malengo hasi wamehamia kwenye kuisambaratisha familia.

Inaonekana lengo kubwa ni kuhakikisha familia ya huyu mtumishi isiwe na utulivu hata wa kutafakari na kujirejeleza baada ya matukio haya waliyopitia.

PICHA
Hizi picha zinasambazwa kwa lengo mahsusi kumchafua ama kudhalilisha mwanamke na hata kumshambulia marehemu. Sisi leo tunajipa uhalali wa kuhukumu wakati tunajua kabisa kwa usahihi hatuna wema ama usafi wowote kiroho, kimawazo hata kitabia. Picha za mtoto zinasambazwa kama silaha ya kuhukumu na hata watetezi wa watoto wamekaa kimya.

Je lengo la wasambazaji ni kutaka mtoto adhuriwe? Inawezekana Masanja asifanye lolote kumdhuru mtoto. Je vipi kuhusu ndugu na washabiki wake? Je vipi ikiwa lengo la wanaosambaza hizi picha ni maandalizi ya kisaikolojia kwamba wamdhuru mtoto ili jumba bovu limuangukie Masanja?

Tujifunze kuwa na kiasi. Tuishi kwa kudumisha mila na desturi nzuri kwamba kumsema marehemu ni sasa na kumkaripia mtoto ambaye hajazaliwa bado. Tumsitiri huyu malaika wa Mungu kwani hapo baadaye akijakuwa mtu mzima na kukutana na stories zilizomchafua akiwa bado hajitambui anaweza kugeuka animal au akaathirika kisaikolojia.

Simtetei Masanja kwani hata mimi hapo mwanzo nilipeperushwa na upepo wa hawa wanaomchafua lakini nilipoona amezengumza neno la msamaha nikaanza kujenga picha namna jamii inavyoweza kujiponya kwa eneo la kusamehe na kuachilia. Msimkoseshe amani mke wake kwa sababu ya malengo maovu ya wanaomchafua.

Msimdhuru mtoto kwa kuharibu uwepo wake kupitia keyboards zetu.

Mungu wa Mbinguni awajaze hekima na awape kutafakari kisha kutenda yaliyo sahihi.
Atusamehe makosa yetu na kuponya magonjwa yetu
Atusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea

WENGI HUKU MAJUMBANI TUNA WATOTO AMBAO HATA KUTEMBEA NAYE AU KUMTAMBULISHA UNAOGOPA! MAANA UNAKUWA HUNA MFANANO NAE KABISA.
-:Wanawake hata umfanyie nini hawajulikani hawa viumbe!
Wakafanye DNA kuondoa utata.duu
Wengine tunafetua copy and paste hatunaga shida ya ma dna
 
Na huu ndio ulipo ubora wa familia za wachagga.
Mtoto ameshaxaliwa mkuzeni, muhudumieni...
Mambo hii mbegu ya huyu na yule yaacheni.

HATA HIVYO WADADA WA MJINI TUNAMSHUKURU MUNGU MASANJA KATUCHEZEA SANA....
Hivi yule mwanamke alie mzalia mtoto wa kwanza vingunguti kipindi ana hustle alikuja kumjali baada ya kutoboa?..

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kasema ni kweli katibu na monica walikuwa na mahusiano na alishwah kukuta ujumbe wa karatasi kaandikiwa katibu,na siku wameenda honeymoon Dubai monica alimpigia simu mke wa katibu analia kwanin wameenda hawjaampa taarifa,na anasema mmewe alikuwa muoga sana haamin kama kajinyonga na kwa sababu gani ajiue?mengine ni anahofia usalama wake kuna watu wanatumwa kujua alipo na hawajui anaogopa sana ana mpango wa kusafiri nje ataongea kila kitu na kuweka wazi
Mamammae hivi masanja anajikuta nani?? Eti USA fyongo fyongo...ngoja hiyo damu imuibukie[emoji57][emoji57]
 
Masanja na kundi lake wote hawastahili kuonewa huruma hata kidogo.

waliharibu maisha ya watu wengi sana katika kipindi chao cha "the oroginal commedy" segment zao zile kama mnazikumbuka za 'umefulia'....zilizalilisha watu sana. pia walimchora sana Hayati Lyatonga. wacha avune dhambi alizopanda. KARMA.........
 
Katibu alipaswa kufahamu mke wa mtu ni sumu, kuua ni kosa kisheria lkn kwa hili la masanja, familia ya katibu na vyombo vya sheria wanakuwa wazito kumpambania katibu make ni kama kifo alikitafuta kwa kujitakia, pengine wa kushikilia bango kumtia hatiani comedian, wanajaribu kuvaa viatu vya masanja na kupima uzito, automatically nao jibu linakuja hata wao wangepata chance ya kumuua anayetomba mkewe wangefanya hivyo,kwa scenario hiyo that why hakuna anayekipa uzito kifo cha katibu.
Khaaaaa[emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom