Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Mmmmh!mke wa katibu nae kaibuka?,embu tudokeze kidogo alichosema kabla ya kufunguka
Kasema ni kweli katibu na monica walikuwa na mahusiano na alishwah kukuta ujumbe wa karatasi kaandikiwa katibu,na siku wameenda honeymoon Dubai monica alimpigia simu mke wa katibu analia kwanin wameenda hawjaampa taarifa,na anasema mmewe alikuwa muoga sana haamin kama kajinyonga na kwa sababu gani ajiue?mengine ni anahofia usalama wake kuna watu wanatumwa kujua alipo na hawajui anaogopa sana ana mpango wa kusafiri nje ataongea kila kitu na kuweka wazi
 
Masanja alitakiwa alie hadharani weeee!! Na huku mkewe pia akiitikia....yani wapokezane kulia..

Kisanii zaidi.......lkn Masanja akiwa serious ndo kabisaaa! Watu wanafurahiiiii!!.....wata muua maksudi. Waaaatu! Acha kabisa mie ni maarufu sana lkn hamnijui.....uongo?? Nani ananijua ajitokeze hapa?
 
Kasema ni kweli katibu na monica walikuwa na mahusiano na alishwah kukuta ujumbe wa karatasi kaandikiwa katibu,na siku wameenda honeymoon Dubai monica alimpigia simu mke wa katibu analia kwanin wameenda hawjaampa taarifa,na anasema mmewe alikuwa muoga sana haamin kama kajinyonga na kwa sababu gani ajiue?mengine ni anahofia usalama wake kuna watu wanatumwa kujua alipo na hawajui anaogopa sana ana mpango wa kusafiri nje ataongea kila kitu na kuweka wazi
Duuhhh hatar issue mbona inaenda kuibuka upya
 
Huyo masanja wenu ni mpumbavu na asiyejielewa..

Limwanamke lime cheat na limezaa na jamaa afu unaendelea kuishi na hilo limwanamke,hana akili ngoja anyoshwe..

Yeye ndio atakuwa wa kwanza kufukuza mwanamke Malaya?

Alivyomuua yule jamaa ndio imemsaidia nini? Aue basi na huyo mtoto..

Mwisho ustaa na mambo ya ndoa ni vitu viwili tofauti..
Huyu Masanja hata hii inchu ya kanisa nahisi kuna mambo yake anaficha ila muda utaongea wakati ukifika
 
Kasema ni kweli katibu na monica walikuwa na mahusiano na alishwah kukuta ujumbe wa karatasi kaandikiwa katibu,na siku wameenda honeymoon Dubai monica alimpigia simu mke wa katibu analia kwanin wameenda hawjaampa taarifa,na anasema mmewe alikuwa muoga sana haamin kama kajinyonga na kwa sababu gani ajiue?mengine ni anahofia usalama wake kuna watu wanatumwa kujua alipo na hawajui anaogopa sana ana mpango wa kusafiri nje ataongea kila kitu na kuweka wazi
Kwahiyo kuna uwezekano mkubwa Masanja kausika na kifo cha katibu [emoji848]
 
Kila siku tunaambiwa tuache maisha ya ya facebook na twiter hasa maswala ya kifamilia. Tunapojianika kwa sana ndio tunakaribisha kusemwa sana.

Pili Massanja alitaka kufika kileleni yaani mahali pa juu. Unapozidi kwenda juu ndio watu wengi zaidi wanakuona, wanakujua zaidi na hapo ndio kaisha yako na familia yako yanawekwa wazi zaidi. Hivyo lazima uwe na ngozi ngumu kupokea mabaya na mazuri kutoka kwa watu. Hivyo hali hii ya kumsema vibaya na kwa uzuri umetokana na yeye mwenyewe kujifunua kwa watu wengi.

Mwisho, massanja anajiita mchungaji na anamiliki kanisa. Sasa wakristu asilia kuna principles ambazo lazima kiongozi yeyote wa dini ya kikristu lazima aziishi, na waamini wa kikristu wanazitizama kwa makini. Inapotokea hukuishi hizo taratibu nyakati kama hizi ndio huweka hadharani ili ikiwezekana utubu na kurudi kwenye kundi. Hivyo vita vya huyu bwana ni vipana sana
 
Back
Top Bottom