Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Mke anastahili sifa ambazo unazistahili wewe kama mume. Ukiamua kuvuka mipaka ukaweka sifa zake hadi kwenye mitandao ni kumgeuza mke kuwa bidhaa ya public! Hivyo yakitokea ya kutokea kubaliana na matokeo yake ya kijamii.

Masanja badala ya kujifunza kwenye hili bado anataka kuuaminisha umma kama vile nothing happened! Yeye mwenyewe anazidi kuzidisha kiu ya jamii kufatilia facts.

Akae kimya afanye alichoitiwa, akitaka ku prove wrong watu atavuruga zaidi.
 
Sasa na wewe ndio umefanya nini tofauti na hao wanaosambaza hizo picha? huoni kua kwa wewe kuanzisha hii thd pia umesambaza hizo picha na hiyo habari? mfano Mimi nilikua sijui chochote kuhusu hiyo picha ya huyo mtoto ila nimejua baada ya wewe kuanzisha hii thd.
 
Kiki saiv ni kalyinda,ya masanja yamebaki kuwa suala la kifamilia. Ila mkewe kakonda sana daah maisha haya ni misuko suko anyway matatizo ni daraja.

Masanja ajifunze kuchunga mdomo wake ilikua too much,aige kwa mwenzie AY walishatosana na mkewe zamaaani ila wananzengo wakakosa cha kumsakamia maana hakua na maneno meengi ya kumpamba mkewe
Kalynda ndio nani? Kiki inatrend bibie sijui chochote ebu nipe mkasa maana naona Hili jina linatajwa Sana ila sijui kafanya nini
 
Usitetee ujinga
Wanazengo tunataka kumwepusha masanja na huyo shetani wa kike

Mwanamke anaechepuka na akaamua kuzaa nje huyo hafai kabisa,anatakiwa apewe adhabu ya kifo kabisa,unajua ada zinavyoumiza kichwa sahv afu eti usomeshe mtoto anaefanana na katibu.

Kingine tunamuweka Masanja akili sawa ili aache ushamba wa mapenzi,utazan yeye tu ndo kaoa
 
Huyo masanja wenu ni mpumbavu na asiyejielewa..

Limwanamke lime cheat na limezaa na jamaa afu unaendelea kuishi na hilo limwanamke,hana akili ngoja anyoshwe..

Yeye ndio atakuwa wa kwanza kufukuza mwanamke Malaya?

Alivyomuua yule jamaa ndio imemsaidia nini? Aue basi na huyo mtoto..

Mwisho ustaa na mambo ya ndoa ni vitu viwili tofauti..
Afu kuna uwezekano lenyewe ndio limemdedisha jemedari na baharia katibu.

Sasa asubiri mweka hazina naye ammegee....
 
Hii ni vita ya kutaka kumuumiza Masanja?

Labda imetokana kwa kushiriki kwake katika kampeni za kiasa ?
Nadhani sio hivyo wengi ukifuatilia humu hadi kwenye social media walikuwa wanakerwa na kitendo Cha Masanja kumsifia Sana mke wake ndio maana wanamnanga
 
Back
Top Bottom