Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Anachofanyiwa Masanja ni kinyume na utu

Na huu ndio ulipo ubora wa familia za wachagga.
Mtoto ameshaxaliwa mkuzeni, muhudumieni...
Mambo hii mbegu ya huyu na yule yaacheni.

HATA HIVYO WADADA WA MJINI TUNAMSHUKURU MUNGU MASANJA KATUCHEZEA SANA....
Hats wewe?
 
Yule dogo comedian akili yake ndogo sana nashangaa hata hao wanaojaa kwenye kijikanisa chake na wao ni walewale tu, yaani katengeneza sinema kaua mgoni wake anataka kuuaminisha umma kwamba dogo alijinyonga, ni vile tu marehemu naye hana ndugu wenye akili ingekua Kenya ama mahala pengine pangechimbika, hivi mtu anawezaje kusemekana amejinyonga na Tai ikakatika akachukua shuka, mbona mnaleta maigizo ambayo hata watoto wadogo hawafanyi? nchi ngumu sana hii
Hivi alininyongea wapi?
 
When your dead, you can know it, and is the same way if your stupid.

That's life

Oh okay Mr preacher, now you are cursing, worse than Masanja haters, where are your standards that you proclaimed earlier?
 
Ukweli utatuweka huru. Mtoto kafanana na marehemu katibu wa kanisa, acheni watu waseme tu ukweli, tutajua mengi,
Inasemekana kulikuwa na makubaliano na katibu ila katibu aliendelea kung'ang'ania damu yake
 
Kuna jamaa alikuwa na mke nzuri sana alikuwa anatangaza na kumuonesha hadi baa alibahatka kuzaa naye mtoto mmoja kuna lijamaa la mgodini lilimçhukua mazima hakurudi
ndiyo dawa
 
Oh okay Mr preacher, now you are cursing, worse than Masanja haters, where are your standards that you proclaimed earlier?
Basi shetani akamwambia ukila hili tunda hakika hamtokufa..... mtayajua mema na mabaya....

Am not a preacher. Soma Id yangu vizuri kisha think the unthinkable positively
 
Basi shetani akamwambia ukila hili tunda hakika hamtokufa..... mtayajua mema na mabaya....

Am not a preacher. Soma Id yangu vizuri kisha think the unthinkable positively

I can't argue with a stupid
 
I can't argue with a stupid
Being stupid isnt the issue anymore. The exception of stupidity is to attain knowledge.

But being an idiot is a disasterous as you are
 

Attachments

  • IMG-20221017-WA0081.jpg
    IMG-20221017-WA0081.jpg
    133.6 KB · Views: 15
Mtoto hapo anatia huruma, anaingia kwenye mambo masikini ambayo hata hayajui....poor kid.
Lawama kwa Masanja kwa kumuexpose mtoto kupitia ku expose mambo ya ndani ya familia yake in public. Kuna vitu watu hufanya ila vina madhara, hasa kwa familia na watoto wasio jua hiki ni kile, hatuwatendei haki tuwaache wakue wajione wapime then wajipost wao

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom