zanzibar

  1. The Assassin

    Wagonjwa wawili wa COVID-19 waongezeka Zanzibar, wanatokea Tanzania Bara na hawana rekodi ya kusafiri nje ya nchi

    Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid atangaza kuongezeka kwa wagonjwa 2 na kufanya idadi ya wagonjwa 9. Wagonjwa hao 2 ni watanganyika na hawajawahi kusafiri kwenda nje ya nchi. Taarifa kamili inafuata. UPDATE. Wagonjwa Tanzania wafikia 32 na vifo 2 zaidi na kufanya idadi ya waliokufa...
  2. Return Of Undertaker

    Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar

    IDADI YA WAGONJWA WA COVID19 WAONGEZEKA Z’BAR Wizara ya Afya Zanzibar imetangaza wagonjwa wapya wawili wa maambukizi ya virusi vya #Corona na hivyo kufanya idadi ya waliopata maambukizi hayo kufikia saba. Wagonjwa hao wapya wote ni Watanzania, wanaume wenye miaka 33 na 27 na waliingia Zanzibar...
  3. J

    Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona

    Balozi Seif Idd anasema baada ya kutoka Cuba ameamua kujiweka katika karantini ya siku 14 nyumbani kwake. Source ITV habari!
  4. J

    Uhakiki: Msajili akuta madudu NCCR Mageuzi na CHAUMA Zanzibar. Kimoja ofisi ziko sebuleni kwa mtu na kingine mali zake ni kiti na meza basi!

    Msajili wa vyama vya siasa ambaye kwa sasa anafanya uhakiki wa vyama vyote vya siasa nchini amekuta mapungufu kwa baadhi ya vyama vya siasa Zanzibar. Msajili amesema baadhi ya vyama hali zao zinatisha na kimojawapo ofisi yake ipo sebuleni kwa mtu ambapo familia ya mtu huyo inatumia pia sebule...
  5. J

    Corona: Idadi ya wagonjwa wa Corona yaongezeka Zanzibar sasa yafikia Watatu

    Waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amesema idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Zanzibar imeongezeka na kufikia Watatu. Mgonjwa mpya ni mzanzibari aliyetoka nchini Uingereza. Source ITV habari
  6. J

    Kwanini Zanzibar inakuwa mbele kutoa taarifa za Corona kuliko Tanzania bara?

    Ukiwa mfuatiliaji wa habari utagundua mara zote waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amekuwa akimtangulia Ummy Mwalimu kwenye kutoa taarifa za Corona. Mfano kuwaweka abiria wanaoingia nchini katika karantini alianza Hamad then Ummy akafuatia. Jana Hamad Rashid katangaza ongezeko la mgonjwa...
  7. Gwappo Mwakatobe

    Suluhisho la kudumu la Muungano bora baina ya Tanganyika na Zanzibar

    Watu wa Tanganyika wenye makazi ya kudumu Zanzibar na Wazanzibar wenye makazi ya kudumu Tanganyika, wapewe uhiari, haki na uraia wa kuendelea kuishi Zanzibar au Tanganyika mtawalia. Endapo Tanganyika na Zanzibar zitaendelea kuwa na uraia wa nchi moja, basi nchi hizi mbili ziwe na makubaliano...
  8. J

    Corona: Zanzibar yaonyesha ukomavu waweka itikadi pembeni Waziri wa afya kutoka chama cha upinzani aongoza mapambano!

    Zanzibar ni nchi ndogo lakini ina mikakati imara kila linapotokea swala au janga la kitaifa. Waziri wa afya mh Hamad Rashid ni mpinzani kutoka chama cha ADC lakini ndiye aliyepewa majukumu muhimu katika vita hii. Nadhani Tanzania bara tuna jambo la kujifunza kutoka Zanzibar na ni jambo jema...
  9. Informer

    Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

    Wakuu, Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa. Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa. Tutarajie nini? Stay tuned... ======= LIVE: VIDEO: Rais Magufuli anasema; => Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
  10. J

    Zanzibar yasimamisha safari za ndege za Kimataifa

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesimamisha safari zote za ndege kutoka nje ya nchi zikiwemo zinazoleta watalii. Serikali imechukua uamuzi wa kuzuia ndege za watalii ili kulinda maisha ya watu wake japokuwa uamuzi huo una athari kubwa kiuchumi. Waziri wa utalii mh Kombo amesema wageni...
  11. J

    Zanzibar: Watu wawili washukiwa kuwa na Virusi vya Corona huko Zanzibar, sampuli zatumwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi

    Waziri wa afya Zanzibar Mh Hamad Rashid amesema Zanzibar kuna washukiwa wawili wanaodhaniwa kuwa na virusi vya Corona na kwamba sampuli za damu zao zimetumwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi. Chanzo: ITV habari! =====
  12. R

    Shirika la umeme Zanzibar lagoma kuilipa TANESCO

    Shirika la umeme la Zanzibar limekiri kudaiwa na shirika la umeme TANESCO deni la shilingi bilioni kumi lakini limesema halitalipa bali deni hilo litalipwa na Serikali ya muungano. Limesema Serikali ya muungano inadaiwa na Serikali ya Zanzibar kwa hiyo watakatana hukohuko. Kwanza haijulikani...
  13. RAJABU MBELWA

    Nahitaji manukato kutoka Zanzibar na maduka wanayouza

    Habari wana JF Naomba kupata maelekezo jinsi ya kuanza kufanya biashara ya kununua perfume na manukato kutoka Zanzibar na kuuza Dar. mwenye kujua au uzoefu anielekeze maduka ya manukato na perfume yanapatikana wapi hapo Zanzibar na wanauza kwa kiasi gani, nauli ya Zanzibar mpaka Dar ni sh...
  14. simplemind

    Zanzibar yatazamwa kwa umakini kuelekea Uchaguzi Mkuu

    As Tanzania prepares for a general election this year, Zanzibar, a hotbed of opposition politics, seems to be receiving attention from both development partners and the government in Dar es Salaam. Last week, President John Magufuli held a closed-door meeting with three Zanzibari opposition...
  15. J

    Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje. Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani. Source Star tv!
  16. J

    Kwanini CCM Zanzibar haipati wahamiaji kutoka upinzani? Je, haipendwi au wanasiasa wa visiwani wamekomaa kuliko wa bara?

    Naomba anayejua sababu ya kutowasikia wanasiasa wa upinzani kule Zanzibar wakihamia chama tawala anijuze tafadhali. Au sisi Watanganyika tunajua kucheza na kete za kisiasa kuliko Wazanzibari? Majibu tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
  17. J

    GE2020 Sheikh Ponda: Zanzibar itakuwa ni mlango wa kuvunjika amani uchaguzi mkuu 2020

    Katibu Mkuu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania sheikh Issa Ponda amedai kuwa kuna wazanzibar wengi hawajaandikishwa kwenye daftari la wapiga kura kinyume cha utaratibu. Ponda amesema kwa Siasa zinazoendelea Zanzibar kwa sasa ni wazi kabisa kama amani itavunjika wakati wa uchaguzi basi mlango wake...
  18. J

    Swali fikirishi: Hivi CCM Zanzibar haina Mgombea wa kumshinda Maalim Seif 2020?

    Ningali najiuliza Maalim Seif ni nani huko Zanzibar hadi atungiwe sheria eti asigombee Uchaguzi Mkuu? Nijuavyo Zanzibar ina wanasiasa mahiri wanaofaa kwa nafasi ya urais kupitia CCM ambao watamgalagaza Maalim Seif mapema asubuhi. Labda kama CCM mnataka agombee balozi wajina wa Maalim, hapo kwa...
  19. assadsyria3

    CCM wajipamga kumzuia Maalim seif kugombea Zanzibar

    CCM Ni hatari Sana Sasa kupeleka mswada Baraza la wawakilishi kumzuia Maalim seif kugombea URAIS Zanzibar. Hi ni hatari tunawaomba CCM asilia wajitokeze kukemea Tweet Zitto MwamiRuyagwa Kabwe @zittokabwe Tuliposema kuwa CCM wana mpango wa kuzuia mamia ya wanachama wa @ACTwazalendo kugombea...
Back
Top Bottom