Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Wazanzibari msijidanganye kuwa eti mtachagua Rais. Bara tunafahamu kuna baadhi ya Wanzanzibar wanaogombea nafasi hiyo wanataka waje kutumika na Maarabu. Hatutaruhusu hilo.
Hussein Mwinyi ndiye ambaye tutamweka awe Rais wa Zanzibar nanyi mwende kumpigia kura ya kumpitisha. Kuna watu wasitegemee kuja kuwa marais wa Zanzibar mmoja wapo ni Seif Muhamad huyu aachane na habari hizo. labda agombee udiwani tu.
SAFARI HII URAIS ZANZIBAR TUNA WATU WAWILI TUMEWAPANGA. TUNAENDELEA KUWAHOJI VIZURI
Hussein Mwinyi ndiye ambaye tutamweka awe Rais wa Zanzibar nanyi mwende kumpigia kura ya kumpitisha. Kuna watu wasitegemee kuja kuwa marais wa Zanzibar mmoja wapo ni Seif Muhamad huyu aachane na habari hizo. labda agombee udiwani tu.
SAFARI HII URAIS ZANZIBAR TUNA WATU WAWILI TUMEWAPANGA. TUNAENDELEA KUWAHOJI VIZURI