zanzibar

  1. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Zanzibar yatangaza wagonjwa wapya 23 wa COVID-19. Idadi ya maambukizi yafikia 58 na 170 kwa Tanzania ( 19.04.2020 )

    WAGONJWA WA COVID-19 WAFIKIA 58 Z’BAR, VIFO VITATU Idadi ya wagonjwa wa Covid-19 visiwani Zanzibar imeongezeka na kufikia 58 na idadi ya waliofariki kwa ugonjwa huo sasa ni watu watatu. Wizara ya Afya Visiwani humo imetangaza leo kuwa kati ya wagonjwa wapya 23, wagonjwa 21 ni Watanzania na...
  2. aleesha

    JamiiForums Tanzania Kama ningekuwa Rais Zanzibar vipi ningetatua matatizo ya Muungano. Ni mambo Matatu...

    1) Tukumbuke Mwalimu Julias Kambarage Nyerere alisema sitawapiga Mabomu Wazanzibari wakikataa Muungano haki hio tunayo. Kama Rais Naamrisha Wabunge wote Wa Zanzibar ikiwa CCM au CUF ACT. Kutoka Bungeni Kurudi Zanzibar. 2) Nikiwa kama Rais wa Zanzibar Nasitisha Shughuli zote za Kimuungano...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Corona: Zanzibar yapiga marufuku mikutano ya waandishi wa habari

    Waziri wa habari wa Zanzibar amezuia mikutano yote ya waandishi wa habari na mtu yoyote mwenye jambo la kuhabarisha Umma basi alifikishe ofisi ya Maelezo na waandishi watatumiwa taarifa. Source: Clouds tv
  4. Influenza

    JamiiForums Tanzania CoronaVirus: Katika kujikinga na COVID19 mikusanyiko ya Waandishi wa Habari yazuiwa Zanzibar

    Katika kujikinga na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa #COVID19, Serikali imesema kuanzia leo mikutano ya Waandishi wa Habari na shughuli nyingine zitakazowafanya waandishi wa habari kukusanyika zinasitishwa Hivyo, taarifa za Waziri wa Afya kuhusiana na ugonjwa huo zitatolewa kwa njia ya...
  5. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini taarifa ya Corona kwa Tanzania bara na Zanzibar isiwe moja tu?

    Watanzania na dunia tumekuwa tukipewa taarifa mbili tofauti za visa vya Corona kutoka katika taifa la Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) huku wakati mwingine kukiwa na mchanganyo wenye kutupa wasiwasi au marudio ya taarifa zile zile pasipo sababu ya msingi. Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy...
  6. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Wagonjwa wawili wa COVID-19 waongezeka Zanzibar, wanatokea Tanzania Bara na hawana rekodi ya kusafiri nje ya nchi

    Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid atangaza kuongezeka kwa wagonjwa 2 na kufanya idadi ya wagonjwa 9. Wagonjwa hao 2 ni watanganyika na hawajawahi kusafiri kwenda nje ya nchi. Taarifa kamili inafuata. UPDATE. Wagonjwa Tanzania wafikia 32 na vifo 2 zaidi na kufanya idadi ya waliokufa...
  7. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Zanzibar yatangaza maambukizi mawili huku wote wakitokea Tanga na kuingia Zanzibar

    IDADI YA WAGONJWA WA COVID19 WAONGEZEKA Z’BAR Wizara ya Afya Zanzibar imetangaza wagonjwa wapya wawili wa maambukizi ya virusi vya #Corona na hivyo kufanya idadi ya waliopata maambukizi hayo kufikia saba. Wagonjwa hao wapya wote ni Watanzania, wanaume wenye miaka 33 na 27 na waliingia Zanzibar...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona

    Balozi Seif Idd anasema baada ya kutoka Cuba ameamua kujiweka katika karantini ya siku 14 nyumbani kwake. Source ITV habari!
  9. J

    JamiiForums Tanzania Uhakiki: Msajili akuta madudu NCCR Mageuzi na CHAUMA Zanzibar. Kimoja ofisi ziko sebuleni kwa mtu na kingine mali zake ni kiti na meza basi!

    Msajili wa vyama vya siasa ambaye kwa sasa anafanya uhakiki wa vyama vyote vya siasa nchini amekuta mapungufu kwa baadhi ya vyama vya siasa Zanzibar. Msajili amesema baadhi ya vyama hali zao zinatisha na kimojawapo ofisi yake ipo sebuleni kwa mtu ambapo familia ya mtu huyo inatumia pia sebule...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Corona: Idadi ya wagonjwa wa Corona yaongezeka Zanzibar sasa yafikia Watatu

    Waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amesema idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Zanzibar imeongezeka na kufikia Watatu. Mgonjwa mpya ni mzanzibari aliyetoka nchini Uingereza. Source ITV habari
  11. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zanzibar inakuwa mbele kutoa taarifa za Corona kuliko Tanzania bara?

    Ukiwa mfuatiliaji wa habari utagundua mara zote waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amekuwa akimtangulia Ummy Mwalimu kwenye kutoa taarifa za Corona. Mfano kuwaweka abiria wanaoingia nchini katika karantini alianza Hamad then Ummy akafuatia. Jana Hamad Rashid katangaza ongezeko la mgonjwa...
  12. Gwappo Mwakatobe

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la kudumu la Muungano bora baina ya Tanganyika na Zanzibar

    Watu wa Tanganyika wenye makazi ya kudumu Zanzibar na Wazanzibar wenye makazi ya kudumu Tanganyika, wapewe uhiari, haki na uraia wa kuendelea kuishi Zanzibar au Tanganyika mtawalia. Endapo Tanganyika na Zanzibar zitaendelea kuwa na uraia wa nchi moja, basi nchi hizi mbili ziwe na makubaliano...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Corona: Zanzibar yaonyesha ukomavu waweka itikadi pembeni Waziri wa afya kutoka chama cha upinzani aongoza mapambano!

    Zanzibar ni nchi ndogo lakini ina mikakati imara kila linapotokea swala au janga la kitaifa. Waziri wa afya mh Hamad Rashid ni mpinzani kutoka chama cha ADC lakini ndiye aliyepewa majukumu muhimu katika vita hii. Nadhani Tanzania bara tuna jambo la kujifunza kutoka Zanzibar na ni jambo jema...
  14. Influenza

    JamiiForums Tanzania Coronavirus: Zanzibar yafunga Baa na Kumbi za Starehe, masoko mwisho saa 12 jioni

  15. Informer

    JamiiForums Tanzania Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

    Wakuu, Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa. Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa. Tutarajie nini? Stay tuned... ======= LIVE: VIDEO: Rais Magufuli anasema; => Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Zanzibar yasimamisha safari za ndege za Kimataifa

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesimamisha safari zote za ndege kutoka nje ya nchi zikiwemo zinazoleta watalii. Serikali imechukua uamuzi wa kuzuia ndege za watalii ili kulinda maisha ya watu wake japokuwa uamuzi huo una athari kubwa kiuchumi. Waziri wa utalii mh Kombo amesema wageni...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Watu wawili washukiwa kuwa na Virusi vya Corona huko Zanzibar, sampuli zatumwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi

    Waziri wa afya Zanzibar Mh Hamad Rashid amesema Zanzibar kuna washukiwa wawili wanaodhaniwa kuwa na virusi vya Corona na kwamba sampuli za damu zao zimetumwa Dar es Salaam kwa uchunguzi zaidi. Chanzo: ITV habari! =====
  18. R

    JamiiForums Tanzania Shirika la umeme Zanzibar lagoma kuilipa TANESCO

    Shirika la umeme la Zanzibar limekiri kudaiwa na shirika la umeme TANESCO deni la shilingi bilioni kumi lakini limesema halitalipa bali deni hilo litalipwa na Serikali ya muungano. Limesema Serikali ya muungano inadaiwa na Serikali ya Zanzibar kwa hiyo watakatana hukohuko. Kwanza haijulikani...
  19. RAJABU MBELWA

    JamiiForums Tanzania Nahitaji manukato kutoka Zanzibar na maduka wanayouza

    Habari wana JF Naomba kupata maelekezo jinsi ya kuanza kufanya biashara ya kununua perfume na manukato kutoka Zanzibar na kuuza Dar. mwenye kujua au uzoefu anielekeze maduka ya manukato na perfume yanapatikana wapi hapo Zanzibar na wanauza kwa kiasi gani, nauli ya Zanzibar mpaka Dar ni sh...
  20. simplemind

    JamiiForums Tanzania Zanzibar yatazamwa kwa umakini kuelekea Uchaguzi Mkuu

    As Tanzania prepares for a general election this year, Zanzibar, a hotbed of opposition politics, seems to be receiving attention from both development partners and the government in Dar es Salaam. Last week, President John Magufuli held a closed-door meeting with three Zanzibari opposition...
Back
Top Bottom