zamani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kibosho1

    Nitajie kampuni kubwa ya elektroniki ya zamani ambayo haitoki Japan

    Kama kichwa kinavyosema, Sijui kampuni ya kimagharibi hata moja, Uchina anajitahidi kuja juu na Hisense lakini bado Japan itadumu na kudumu sana. Kampuni gani ambayo haijaanzia Japan? Na ni kwanini Japan na sio mabeberu? Ina mana hawa jamaa wana akili sana kuliko wazungu?
  2. Infantry Soldier

    Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?

    Habari za wakati huu jamiiforums. Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"? Binafsi ninaona kama wanasiasa wamewasahau sana hawa akina dada wanaotoa huduma kwa wateja kule bar. Neno mama...
  3. J

    TANZIA Fred Jim Mdoe mwandishi wa zamani wa BBC afariki dunia

    Fred Jim Mdoe mwandishi wa habari nguli aliyewahi kufanya kazi BBC amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kiharusi. Fred Mdoe enzi za uhai wake RIP Mdoe
  4. M

    Je, hili ndio tatizo vijana wengi wa siku hizi kuwa na vipara ukilinganisha na wa zamani

    Inakuwaje wanajamvi, Yani ukiangalia picha na video za miaka ya tisini kurudi nyuma vijana wengi hadi wa makamu miaka 45+ walikuwa na afro na nywele nyingi. Ngumu sana kukuta vipara. Ila sasa hivi kwaanzia ma teenegers hadi 27 years wengi wana vipara. Tatizo nadhani msongo wa mawazo, vyakula...
  5. Mung Chris

    IGP kupandishwa vyeo askari kuendane na utaratibu wa zamani wa sasa unakwaza

    Hivi sasa wameonekana askari wenye elimu kama Diploma na degree kwenda kusomea cheo wengine wa zamani walio kaa sana wana miaka zaidi ya 8 hawajawahi pandishwa cheo wakiwa wanakidhi vigezo vyote na ni watiifu wamebaki, vijana walio ingia kabla yao na ambao hawana vigezo vya muda wa kukaa kazini...
  6. Infantry Soldier

    Wadogo zangu, kabla TV hazijaja enzi hizo mgeni alikuwa anapewa album atazame picha za zamani. Yaani umpe Mtanzania album asichomoe picha hata moja?

    Mambo vp JamiiForums. Nyie watoto mliozaliwa mwaka 2003 mnajua nini maana ya album? Achana na hizo album ambazo baba/mama yako anakuonesha katika smartphones na tablets. Mimi siongelei albums za google photos, sujui google drive mara facebook mara sijui nini wenyewe mnaita Instagram. Hivi...
  7. yuda75

    Tunda limekuwa rahisi sana kupata tofauti na zamani

    Wahenga waeshimiwe. Zamani ulikuwa unaweza mlilia mtu miezi mitatu unaishia kuoneshwa chupi na upati kitu, tunda unalisotea miaka na miaka unaambiwa mpaka ndoa. Oooooooh sasa hivi ukisema tu suuu wanasema swaaaaaa ilo apo mmekutana asubui jioni unaitwa mume na tunda unapewa. nawapa salama...
  8. Kipenzi Changu

    CEO Simba SC: Ni kama upo kwenye mahusiano mnaachana halafu bado unamlazimisha mpenzi wako wa zamani arudi

    "Kesi ya Morrison na Yanga bado ipo na kuna baadhi ya wanasheria wanatusaidia kwenye hiyo kesi. Naona Yanga bado wanahangaika. Ni kama upo kwenye mahusiano mnaachana halafu bado unamlazimisha mpenzi wako wa zamani arudi. Mmeachana, hakutaki, ameshaendelea na maisha mengine, bado...
  9. Idugunde

    Kwanini Wanawake walio katika ndoa hukumbuka rafiki zao wa zamani na kutaka kulianzisha?

    Unakuta demu umekua nae mkiwa watoto au kusoma nae mpaka std 7, sometimes mmemaliza nae sekondari. Lakini mmepotezana miaka kibao zaidi ya 20. Akikutana na jamaa zenu anauliza ulipo na kutafuta contacts, akizipata ni usumbufu tupu kutaka game, mbaya zaidi wengi wameolewa na kuzalishwa. Tatizo...
  10. D

    Ladha ya Mpira wa Miguu ilikuwa zamani ; Sheria zimekuja kuharibu ladha!

    Watu wazima mtakumbuka! Mkutadha wa mpira wa miguu uligunduliwa huko China! Walikuwa wanacheza mpira wenye umbo kama la yai! Hakukuwa na magoli wala jezi kipindi hiko, watu walitambuana kwa ukoo! Kipindi hiko mpira ulichezwa kipindi cha mchana baada ya kula chakula cha mchana! Haukukuwa na...
  11. Analogia Malenga

    Waziri wa zamani wa Masuala ya kigeni Ethiopia auawa na Jeshi

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kwamba limemuua waziri wa zamani wa mambo ya nje Seyoum Mesfin, mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama Tigray People’s Liberation Front (TPLF). Bw.Seyum, ambaye alihudumu kama waziri wa mambo ya nje wa kutoka mwaka 1991 hadi 2010, aliuawa pamoja na wanachama...
  12. F

    Burnout wimbo uliobamba na kuuza sana miaka ya 80 vijana wa zamani tukutane hapa

    Miaka inaenda sana jamani. Huu wimbo unarudisha kumbukumbu nyuma. Ni burnout ya Sipho 'Hotstix' Mabuse South Africa. Ulitawala sana miaka ya themanini. Watu walikuwa na furaha sana ulipochezwa maredioni licha ya ukandamizaji wa utawa wa makaburu. Huyo mdada wa katikati anayecheza kwa furaha...
  13. ommytk

    Walevi wa siku hizi wastaarabu kuliko zamani

    Wadau, Aisee naona walevi wa siku hizi wamestaarabika kuliko wa zamani aisee sijui walevi wa zamani walikuwa wanatumia vilevi gani, yaani Siku kama ya leo mtaaani ni vurugu mpaka wazee wanapigana. Wengine wameangusha magari. Siku hizi hakuna kabisa hayo, sijui pombe za zamani zilikuwa kali...
  14. N

    Zamani nilikuwa nikihisi kuwapa vijana nyadhifa za juu kutasukuma maendeleo kwa kasi, kumbe nilijidanganya

    Enzi zile nilikua napenda nione vijana wanawekwa kwenye vyeo vya ukuu wa wilaya/mkoa ana hata uwaziri, nilikua nikiamini vijana watasaidia pakubwa kusukuma maendeleo haraka nikipenda wazee wapishe vijana kwenue hizo nafasi. Lakini mpaka sasaivi nikiangalia mifano ya hawa vijana waliopo naona...
  15. Infantry Soldier

    Ipi ni njia sahihi ya kugawa mali/vitu vyako vya zamani kwa ndugu, jamaa au rafiki?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania; UTANGULIZI ===== Ndugu zangu, umasikini ni kitu kibaya sana. Umasikini unakatisha uhai wa watu wengi wangali wadogo sana kwa sababu tu wameshindwa kumudu gharama za matibabu. Umasikini ndio chanzo cha...
  16. Wakuacha

    Nahisi nina mkosi wapenzi wangu wa zamani wote wameolewa

    Habari zenu wakuu, Kiukweli mi nakosa raha kabisa nashindwa kuelewa yaani wapenzi wangu wote ambao nimeshawahi kuwa nao wote wameolewa. Sina X hata mmoja ambaye yuko single na wanaolewa kwa ndoa na sherehe kubwa, nipo nawaza sijui na mkosi gani mimi. Huu ni mkosi gani au lifanyio langu huwa...
Back
Top Bottom