Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,693
- 36,081
Daaaahhh kuna vitu ukivikumbuka unaweza kulia. Dunia iko kasi sana.
Enzi zetu mnachati na mpenzi wako kwa sms mpaka unahisi Mungu dunia aliiumba kwaajili yenu tu.
Sasa hivi mkichati kidogo tu mnaombana vikojoleo, mkitumiana chatting inakata kwa siku hiyo mnasubiri siku nyingine.
Mkichati siku 3-5 tu tayari mmoja anaanza kuwa busy.
Ule upendo wa kumpenda mtu mpaka unasahau kula umeshapotea ulimwenguni. Sijui miaka 10 mbele hali itakuwa vipi.
Enzi zetu mnachati na mpenzi wako kwa sms mpaka unahisi Mungu dunia aliiumba kwaajili yenu tu.
Sasa hivi mkichati kidogo tu mnaombana vikojoleo, mkitumiana chatting inakata kwa siku hiyo mnasubiri siku nyingine.
Mkichati siku 3-5 tu tayari mmoja anaanza kuwa busy.
Ule upendo wa kumpenda mtu mpaka unasahau kula umeshapotea ulimwenguni. Sijui miaka 10 mbele hali itakuwa vipi.