yauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Simon Lusengikile: Gari ya Milioni 120 Yauzwa Milioni 8

    Mbunge Simon Lusengikile: Gari ya Milioni 120 Yauzwa Milioni 8 MBUNGE wa Jimbo la Busega, Simon Lusengikile ameitaka Wizara ya Fedha kuja na mpango utakaoonesha ni namna gani uthaminishaji wa magari ya Serikali unafuata bei ya soko kabla ya kuuza magari hayo. Akichangia hoja ya Kamati ya...
  2. BARD AI

    Zanzibar: Meli ya Serikali iliyokarabatiwa kwa Tsh. Bil 3.6 yauzwa kwa Tsh. Mil 536.8

    Meli ya MV Maendeleo yenye uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 697 za mzigo kwa wakati mmoja ilikuwa ikifanyiwa matengenezo Bandari Kavu ya Mombasa, Kenya. Wizara ya Uchukuzi Zanzibar imechukua uamuzi wa kutoendelea na ukarabati na kuiuza Meli hiyo kwa mnunuzi ambaye hajatajwa ili kupunguza...
  3. B

    Miti ya mibuyu yang'olewa na kusafirishwa kuuzwa kimataifa

    Wanamazingira wapinga mti wa mbuyu kungolewa na kuuzwa. Miti hiyo adhimu inayoenziwa na wenyeji wa kaunti ya Kilifi pwani ya Kenya hutumika kwa shughuli nyingi za kijamii. Mambo hayo ni kama kufanyia matambiko, kubwaga mashetani yabaki ktk mbuyu, mbegu / punje za ubuyu hutumika kama kikolezo...
Back
Top Bottom