Mbunge Simon Lusengikile: Gari ya Milioni 120 Yauzwa Milioni 8
MBUNGE wa Jimbo la Busega, Simon Lusengikile ameitaka Wizara ya Fedha kuja na mpango utakaoonesha ni namna gani uthaminishaji wa magari ya Serikali unafuata bei ya soko kabla ya kuuza magari hayo.
Akichangia hoja ya Kamati ya...
Meli ya MV Maendeleo yenye uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 697 za mzigo kwa wakati mmoja ilikuwa ikifanyiwa matengenezo Bandari Kavu ya Mombasa, Kenya.
Wizara ya Uchukuzi Zanzibar imechukua uamuzi wa kutoendelea na ukarabati na kuiuza Meli hiyo kwa mnunuzi ambaye hajatajwa ili kupunguza...
Wanamazingira wapinga mti wa mbuyu kungolewa na kuuzwa. Miti hiyo adhimu inayoenziwa na wenyeji wa kaunti ya Kilifi pwani ya Kenya hutumika kwa shughuli nyingi za kijamii.
Mambo hayo ni kama kufanyia matambiko, kubwaga mashetani yabaki ktk mbuyu, mbegu / punje za ubuyu hutumika kama kikolezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.