Kwanini wazazi wa siku hizi wako 'obsessed' sana na ufaulu wa Division One kwa watoto wao?

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Ukikutana na kila mzazi leo anataka shule inayofaulisha, wazazi wako busy kuulizia ufaulishaji wa shule.

Juzi matokeo yalitoka kila mzazi ama mlezi anakata kujua shule hiyo division one ngapi, sijui nini.

Swali langu, kwa nini wazazi ama walezi wameshikwa sana na ufaulu wa watoto, division one, two na vitu kama hivyo?

Hii obsession ya ufaulu inafanya hata shule ama waalimu watafte namna ya kuiba mtihani ili waonekane wanafaulisha.

Kinachonisikitisha, wao wanaopata division one mbona hatuoni mchango wao wowote wa maana kwenye maisha yetu ya kila siku?

Kila mwaka nchi hii tuna division one za 7 zaidi ya 500, division one za 3 zaidi ya 200, hizo division zina mchango gani kwenye jamii?

Watoto wanaopata division one hizo mbona ni weupe sana vichwani?

Mimi kama mlezi, natamani kuona watoto wakiwa na uwezo wa kuhoji (questioning mind) kufikiri (reasoning skills), kutafakari na kuchambua (analytical skills), vitu ambavyo ndio Dunia ya sasa inachokitaka na sio huu utaratibu wa kukaririsha watoto ili wapate division one ama two.

Mbaya zaidi sioni kama wazazi ama walezi mnaona kama huu mfumo ni mbovu, mfumo wa kuwakaririsha watoto, mfumo wa kuwafanya wasifikirie, wasihoji.

Kuna mtoto wa kaka yangu hapa ana division one ya point 7 lakini nachokiona kichwani mwake ni mweupe kabisa, hata baba yake anauliza huyu amepataje hii one ya 7.

Natafta hela mtoto wangu asome Cambridge ama IB schools.
 
Kwahiyo ukilaza wa mtoto wa kakaako ndo uje kulialia humu!!
Sio kilaza ana division one point saba, kwa mawazo na akili kama zako sio kilaza kabisa, ni genious kabisa na hakuna mtu kwenye ukoo wenu amewahi kupata hiyo ufaulu lakini kwetu sisi wenye akili kubwa huyu mtoto sio genious.
 
^Asiye na macho haambiwi tazama^ ^Asiye na maana haambiwi maana^ ^Usile na kipofu ukamshika mkono^ ^Wali wa kushiba huonekana kwenye sinia^ ^Kusoma hujui, lipicha nalo ushindwe!????^ Hakimu Mfawidhi wewe unaonekana mzembe sana kuwaza, sijui hata huko mahakamani unaendeshaje mashtaka!???
Umeulizwa imeboreka kwenye nini unaleta ngonjera za kitaahira hapa.
 
We ulitaka akipata hiyo one agundue Nini,umefatilia maisha yake baada ya kumaliza elimu ya chuo?? .Nina sample ya watu wengi waliopasua form 4 na form 6 na kwa sasa Maisha yao ni mazuri kitu ambacho ndio dream ya kila mzazi .kM unataka. Mwanao asome ili agundue kwenda kuishi Pluto sawa
 
Mtoto wa Kaka yangu kapata one kilaza, wengine wakiona fulan kapata one au two wanapenda kuwajaribu wawaone, kukosa kwako na kwetu one tusifanye majungu kwa wenzetu waliopata one, bali tufurahi mafanikio yao ili vizazi vyetu baadaye vipate hivyo.
 
Sio kilaza ana division one point saba, kwa mawazo na akili kama zako sio kilaza kabisa, ni genious kabisa na hakuna mtu kwenye ukoo wenu amewahi kupata hiyo ufaulu lakini kwetu sisi wenye akili kubwa huyu mtoto sio genious.

Kwenye ukoo wenu majiniazi mlipata ngapi?

Hii ni sawa tu na ile kusema wasomi hakuna kitu, ni afadhali sisi la saba B tumefanya blah blah.... tusiosoma tuna hela kuliko wasomi.

Wewe hukufaulu vizuri, ulikuwa average ila ukafikia kiwango chako hicho cha elimu... acha wivu kwa wenzio.

Suala la ufikiri halifundishwi tu, fundisha hao wanao kuanzia nyumbani.

Hao waliosoma Cambridge ni wote wanatoka super na 'kukufanyia' cha maana?
 
Kwenye kulea watoto kila mzazi apambane na mwanae wewe mama unaona division one ni hopeless inamaanisha mtoto mweupe kichwani hayo yako

Duniani Ufaulu ndio kila kitu

Hizo shule za kimataifa huwezi kukuta mtu kaenda kusoma udaktari au engineering huwa wanaishia kusoma masomo ya digrii za arts!!
 
^Asiye na macho haambiwi tazama^ ^Asiye na maana haambiwi maana^ ^Usile na kipofu ukamshika mkono^ ^Wali wa kushiba huonekana kwenye sinia^ ^Kusoma hujui, lipicha nalo ushindwe!????^ Hakimu Mfawidhi wewe unaonekana mzembe sana kuwaza, sijui hata huko mahakamani unaendeshaje mashtaka!???
Akili hana hao vipanga darasani ndio walimu na maprofesa vyuo vikuu

Wenye vidivision vya chini hata vyuo vikuu husoma third class universities ndani na nje ya nchi

Best universities dunia nzima huchukua best performers tu
 
Ukikutana na kila mzazi leo anataka shule inayofaulisha, wazazi wako busy kuulizia ufaulishaji wa shule.

Juzi matokeo yalitoka kila mzazi ama mlezi anakata kujua shule hiyo division one ngapi, sijui nini.

Swali langu, kwa nini wazazi ama walezi wameshikwa sana na ufaulu wa watoto, division one, two na vitu kama hivyo?

Hii obsession ya ufaulu inafanya hata shule ama waalimu watafte namna ya kuiba mtihani ili waonekane wanafaulisha.

Kinachonisikitisha, wao wanaopata division one mbona hatuoni mchango wao wowote wa maana kwenye maisha yetu ya kila siku?

Kila mwaka nchi hii tuna division one za 7 zaidi ya 500, division one za 3 zaidi ya 200, hizo division zina mchango gani kwenye jamii?

Watoto wanaopata division one hizo mbona ni weupe sana vichwani?

Mimi kama mlezi, natamani kuona watoto wakiwa na uwezo wa kuhoji (questioning mind) kufikiri (reasoning skills), kutafakari na kuchambua (analytical skills), vitu ambavyo ndio Dunia ya sasa inachokitaka na sio huu utaratibu wa kukaririsha watoto ili wapate division one ama two.

Mbaya zaidi sioni kama wazazi ama walezi mnaona kama huu mfumo ni mbovu, mfumo wa kuwakaririsha watoto, mfumo wa kuwafanya wasifikirie, wasihoji.

Kuna mtoto wa kaka yangu hapa ana division one ya point 7 lakini nachokiona kichwani mwake ni mweupe kabisa, hata baba yake anauliza huyu amepataje hii one ya 7.

Natafta hela mtoto wangu asome Cambridge ama IB schools.
Nchi inayoendeshwa kwa kukariri mpaka kwenye uongozi wa serikali siwezi kushangaa wazazi na wanafunzi wakiendekeza kukariri.

Kuna mtoto nilimuuliza formula ya kutafuta eneo la duara, akanitajia mara moja.

A = π r²

Nikamuuliza hii pi unayoitumia kutafuta eneo la duara ni nini? Umeipataje? Kwa nini iwe namba hiyo pi na si nyingine yoyote?

Alishindwa kunijibu.

Kwa sababu wengi hawafundishwi kuelewa misingi ya vitu, wanafundishwa kukariri formula kufaulu mitihani.
 
Sio kilaza ana division one point saba, kwa mawazo na akili kama zako sio kilaza kabisa, ni genious kabisa na hakuna mtu kwenye ukoo wenu amewahi kupata hiyo ufaulu lakini kwetu sisi wenye akili kubwa huyu mtoto sio genious.
Lea hiyo anayefeli mitihani ndio genius sir Isaack Newton?
 
Ukikutana na kila mzazi leo anataka shule inayofaulisha, wazazi wako busy kuulizia ufaulishaji wa shule.

Juzi matokeo yalitoka kila mzazi ama mlezi anakata kujua shule hiyo division one ngapi, sijui nini.

Swali langu, kwa nini wazazi ama walezi wameshikwa sana na ufaulu wa watoto, division one, two na vitu kama hivyo?

Hii obsession ya ufaulu inafanya hata shule ama waalimu watafte namna ya kuiba mtihani ili waonekane wanafaulisha.

Kinachonisikitisha, wao wanaopata division one mbona hatuoni mchango wao wowote wa maana kwenye maisha yetu ya kila siku?

Kila mwaka nchi hii tuna division one za 7 zaidi ya 500, division one za 3 zaidi ya 200, hizo division zina mchango gani kwenye jamii?

Watoto wanaopata division one hizo mbona ni weupe sana vichwani?

Mimi kama mlezi, natamani kuona watoto wakiwa na uwezo wa kuhoji (questioning mind) kufikiri (reasoning skills), kutafakari na kuchambua (analytical skills), vitu ambavyo ndio Dunia ya sasa inachokitaka na sio huu utaratibu wa kukaririsha watoto ili wapate division one ama two.

Mbaya zaidi sioni kama wazazi ama walezi mnaona kama huu mfumo ni mbovu, mfumo wa kuwakaririsha watoto, mfumo wa kuwafanya wasifikirie, wasihoji.

Kuna mtoto wa kaka yangu hapa ana division one ya point 7 lakini nachokiona kichwani mwake ni mweupe kabisa, hata baba yake anauliza huyu amepataje hii one ya 7.

Natafta hela mtoto wangu asome Cambridge ama IB schools.
Mkuu unapo andika uzi uwe unajipima kwanza kama upo sawasawa kichwani au la.
 
Nchi inayoendeshwa kwa kukariri mpaka kwenye uongozi wa serikali siwezi kushangaa wazazi na wanafunzi wakiendekeza kukariri
Kwa hiyo madaktari wetu na mainjinia wa Tanesco na Madereva wa mabasi na marubani wetu wamekariri masomo? Hawajui practicals? Mafundi ujenzi je? Wamekariri masomo?
 
Back
Top Bottom