watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Shock: Hospitali ya Kairuki yakataa wagonjwa wa ugonjwa wa mifumo ya hewa kijanja, yaweka bei isiyowezekanika kwa Watanzania wengi

    Katika hali inayoonekana ni muendelezo wa maisha magumu kwa wananchi. Hospitali ya Kairuki nchini imekuja na utaratibu wa kushangaza wa kutoza malaki ya hela kwa siku kwa mtu atakayeenda katika hospitali hiyo kutibiwa ugonjwa wa mifumo ya hewa. Katika utaratibu huo mgonjwa yeyote atakayekwenda...
  2. wazanaki

    JamiiForums Tanzania Tuzungumze leo Watanzania na Waafrika kwa ujumla

    Wakuu wakuu wakuu. Aisee mambo yanaenda wakuu. Kuna mengi ya kujadili ila muda mchache. Natumaini kila mtu ana pambana na shughuli zake za kila siku. Leo wakuu nimeamua tu tuongee kuhusu Maisha ya Tanzania na Afrika in general kwa maana ya kwamba Afrika tulikua wapi, tulipitia nn katika kipindi...
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif awashukuru watanzania kwa kumuombea, awaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya Corona

  4. Hisha Sorel

    JamiiForums Tanzania Baada ya Watanzania Kulalamika Msimamo Magufuli juu ya umuhimu tahadhari dhidi ya Magharibi, Emu Tuchunguze Siasa za Mageuzi:Kimkakati vs Mageuzi huru

    Rais wa Tanzania Magufuli: aamuru Waz. ya Afya kuwa tahadhari juu ya chanjo mpya, aamuru kampuni za madini kuunda ushirikiano na kampuni za Tanzania, kazuia uingizaji wa bidhaa fulani kulinda soko la ndani, kaongeza ukusanyaji wa ushuru, kazuia usafirishaji wa mchanga wa madini, na sera zingine...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Watanzania , Afya yako ndio mtaji wako , Usiburuzwe na yeyote kwa sababu zozote zile , fuata mwongozo halali tu.

    Bila kumung'unya maneno naanza moja kwa moja kuwaasa wananchi wa Tanzania kulinda afya zenu wenyewe , hii ni kwa sababu usalama wa maisha yako ni HAKI YA KIKATIBA , mtu mdogo kama Meya wa Manispaa yoyote ile aliyetokana na udiwani wa kata hana mamlaka yoyote ya kisheria ya kuamuru mtu yeyote...
  6. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Nani aliwaambia watanzania kuwa dawa ikiandikwa 2x3 ni kumeza asubuhi, mchana na jioni?

    Kawaida dozi huwa inaandikwa kwa siku na siku ina masaa 24. Kwa hiyo ikiandikwa vidonge 2 mara 3 maana yake masaa 24 uyagawe kwa 3. Hapo unatakiwa kunywa dawa kila baada ya masaa nane na si asubuhi mchana na jioni(kila baada ya masaa 6). Hii ya kumeza asubuhi, mchana na jioni, Ilitoka wapi? Pia...
  7. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watanzania hampo kwenye vyuo bora ukanda huu. Kenya na Uganda zaongoza

    Hizo huwa mnatutajia humu akina UDSM sijui UDOM hawapo hawatambuliki wala kusikika, ndugu zetu hata sayansi naona mnitelekeza kwa kauli za kuponda chanjo ya korona huku mkiendelea kupokea chanjo ya maradhi mengine kutoka kwa hao hao mabeberu. The University of Nairobi has been ranked the top...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Chonde Chonde Chonde Watanzania tukatae kinga kimya kimya

    Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga. Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya...
  9. Mystery

    JamiiForums Tanzania Tunakubalije Watanzania wote maisha yetu yashikiliwe na mtu mmoja?

    Hakika hotuba aliyotoa jana Rais wetu Magufuli imeniacha na huzuni kubwa, kwa kuwa nilichobaini kutokana na hotuba hiyo ni kama maisha yetu watanzania wote, tumeyaweka rehani na kiyakabidhi mikononi mwa mtu mmoja, ambaye ndiye Rais wa nchi. Katika hotuba hiyo tulimsikia Rais akikanusha vikali...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Hongera Watanzania kwa kuamua wenyewe kuchukua tahadhari dhidi ya Corona

    Sasa ni dhahiri Wananchi wa Tanzania wamekomaa kimawazo na kiakili , nimepita maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam , liliwemo eneo korofi la Kariakoo nimeshuhudia hatua kadhaa za kujilinda na maambukizi zikichukuliwa na wananchi wenyewe huku wakihamasishana kujifanyia usafi wa mikono kwa maji...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Kakakuona atabiri neema. DC awataka wakulima wafuate sheria za kilimo

    Mnyama Kakakuona ameonekana Wami Sokoine, Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro ambapo viongozi wa kimila na kidini walimtumia ili aweze kutabiri hali ya mwaka huu. Walimuwekea zana za kimila, zana za umeme na vifaa vingine ambapo alipita kati ya unga na maziwa hali iliyoonekana kuwa ishara ya...
  12. Risk manager

    JamiiForums Tanzania Uwazi wa kila shilingi ya Watanzania

    Habari zenu wanasiasa. Natamani huu mfumo mpya Wa GePG uwe Wazima kwa Watanzania wote. Yaani hata ukigongewa mhuri mahakamani ukilipa 500 inaonekana kwa website Fulani ama kwa TBC kila muda na maelekezo ya hiyo Hela imekusanywa wapi. Mara traffic akampiga konda buku 5 ionekane ilikopatikana...
  13. Francis12

    JamiiForums Tanzania Kwa heshima naombeni mpigie Kura Malisa GJ amekuwa mchango mkubwa sana kwa Jamii katika kugusa maisha ya Watanzania

    Anaandika Comrade Malisa GJ. Rafiki yangu mmoja kanitumia ujumbe "Malisa mbona huombi kura?" Ikabidi nimpigie kumuuliza kura za nini? Akaniambia za tuzo. Nikamuuliza tuzo zipi? Akaniambia umependekezwa kwenye tuzo ziitwazo Tanzania Inspiration Awards. Nikamwambia sina taarifa. Akanitumia...
  14. Q

    JamiiForums Tanzania Kudhibiti maambukizi ya COVID-19: Wasafiri kutoka Tanzania wapigwa marufuku kuingia Uingereza

    (Reuters) - Britain is banning all arrivals from Tanzania and Democratic Republic of Congo from Friday to stop the spread of the South Africa COVID-19 variant, transport secretary Grant Shapps said in a tweet on Thursday. "All passengers from these countries except British & Irish Nationals and...
  15. BAK

    JamiiForums Tanzania Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula: Wapendwa Watanzania

    Wapendwa Watanzania! Tunapenda kuwahakikishia kuwa Jumuiya ya Kimataifa itafuatilia kwa umakini na ukaribu sana Kampeni yetu kupitia "Matembezi ya Hiyari" kwa nchi nzima ya kuuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na kuandika Katiba Mpya! Orodha ya viongozi wanaokiuka...
  16. donlucchese

    JamiiForums Tanzania Tukutane hapa tunaosubiri United States Presidential Inauguration!

    Yes wakuu, Muda si mrefu POTUS anachukua kiti chake kimya. Maeneo ya Capitol building naona ulinzi umeimalishwa hatari, naona jet fighters za SANDF na SAA zinapita pita flani kuhakikisha ulinzi. Sijui inaugural ball itakua leo Leo ama?
  17. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Watanzania wapenda kusomesha nje ya nchi pelekeni watoto Ufilipino bei rahisi elimu kubwa inatambuliwa Marekani

    Vyuo vikuu vya ufilipino Ada nafuu haizidi dola 2500 kwa mwaka na elimu yao iko juu sana. Marekani na Canada wanaikubali sana
  18. B

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi ni masikini na wamezoea kuishi kimasikini

    Heri ya Mwaka Mpya. Nilikuwa nje kidogo na JF nikijikita katika shughuli zangu za uchumi hasa nje ya nchi katika kipindi hiki cha Corona. Kumekuwa na usumbufu kidogo hasa sisi tunaosafiri sana nje ya nchi. Nimerudi TZ. Nikiwa ofisini leo kaja bwana mdogo mmoja ananambia amenunua gari jipya...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Serikali iingilie kati ukatili dhidi ya Watanzania waishio Uturuki na nchi za Kiarabu

    Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China. Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa...
  20. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Tuzungumze na bodi ya mikopo kuwanusuru Watanzania

    HELLOW BODI YA MIKOPO, HAMUWEZI KWENDA NA HII? Na Elius Ndabila 0768239284 Hivi karibuni kumekuwa na mjadala mzito juu ya hoja ya mnufaika wa Fedha ya bodi ya mkopo kutakiwa kuanza kuirejesha mara baada ya miezi 24 tangu kuhitimu. Hoja hii imezua mjadala mzito kutoka kwa wadau mbalimbali...
Back
Top Bottom