Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Nadhani mwaka jana, Serikali ilipata wakati mgumu sana kupitia balozi zake, kwani balozi hizo zilivamiwa na kesi nyingi za watanzania kunyanyasika nchi za kiarabu na China.
Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.
Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.
Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.
Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.
Kinachoendelea sasa ni ya kutisha kwani wadada wengi sana, wanakimbilia Dubai, Oman na Uturuki kujiuza. Siku ya Ijumaa, nikiwa Dubai, Polisi wa UAE walivamia sehemu moja ambayo ni pub maarufu na Wageningen wa Kizungu na kuwakamata wadada wa Kitanzania zaidi ya 30 waliokuwa wanajiuza eneo lile.
Swala kama hili nimeambiwa na rafiki yangu mmoja mfanya biashara anayeishi Istanbul Kwamba siku chache, alikutana na mdada wa Kitanzania aliyefanyiwa kitu kibaya na Waturuki kwani baada ya kufika, walinyang'anywa paspoti na kuingizwa kwenye Danguro.
Na haya mambo siyo tu Uturuki, Wadada wa Kitanzania wengi wanatumikishwa, Dubai, China (Macau na Gwanzhou) Uturuki na Oman.
Nadhani ni vyema serikali inaingilia kati hili swala la hawa vijana kabla halijawa bomu, maana wanaokimbia nchi ni wengi sana. Hasa sasa hivi, wadada ni wengi sana.