There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Wizara ya mambo ya nje inatoa tamko gani juu ya usalama wa watanzania waishio Armenia pamoja na Azerbaijan?
Kuna mapigano makubwa ya kijeshi yanaendelea kwa siku ya 3 mfululizo leo baina ya nchi hizo mbili...
Nakumbuka katika kampeni za 2015 na kurudi nyuma hoja kubwa za upinzani ilikuwa ni ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma, alipoingia Rais John Joseph Magufuli amefanya mengi kuakikisha anayafuta kabisa, ametumia nguvu nyingi kuyaondoa lakini kwa kipindi hicho pesa ilikuwa nyingi sana lakini...
Iwe ameshinda au ameshindwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. John P. Magufuli lazima abadilike. Lazima awe mpya. Hawezi tena na kamwe kubaki alivyo. Anapaswa kujirudi; kujitathmini; kujiangalia na kuwaangalia watanzania wake na kujiuliza bila kujiliza...
Kazi ya Urais ni majukumu mazito. Katiba inaposema sifa ni Mtanzania mwenye afya njema hiki ni kipengele muhimu sana. Uchovu wa kazi unaweza kupelekea kutokuwa na muda wa kuangalia afya yako binafsi na kusababisha madhara makubwa ya afya.
Ningeshauri wagombea wawe wanafanyiwa upimaji wa afya...
Hakuna mtu aliyechukia mgombea wenu, alianza vizuri lakini akajawa na madaraka yakamzidi akasahau kua kuna uchaguzi mbeleni.
Yaani wasamaria wema wachangie pesa kwa ajili ya majanga halafu wewe unajipeleka kwenye miradi ya serikali siyo ukatili na uonevu kitu gani? Magufuli akishindwa urais huu...
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL.
Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa JPM kwa MIAKA 5 na Kufuatili kauli na mwenendo wa TUNDU lissu kwa Wiki kadhaa nimegundua kwamba...
Ninauhakita kwa sasa Sio CCM pekee bali anaechukiwa ni mgombea wao.
- sijui mikakati gani CCM wanayo huko maana kwenye sanduku la kura mchuano utakua mkali sana .
Jionee mwenyewe mapokez ya lisu kwenye strong hold ya maghufuli kanda ya ziwa.
Its like watu wanataka inchi ikombolewe. Ikombolewe...
Nimejaribu kufanya Utafiti mdogo tu mitandaoni nimeona Tanzania inaongoza kwa kulalamikiwa kuua biashara za majirani zetu wote.
Hivi ninyi watanzania mnaosifika wa uvivu na uzembe ni kwanini mnawaua biashara za watu hivi? 🤔
Cheap Tanzanian rice leaves 1,000 Busoga farmers stranded
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii...
Tundu Lissu angeweza kurudi nchini na kuamua kujikalia kimya kama walivyofanya wengine walioumizwa. Yeye siyo tu aliumizwa! Aliumizwa sana!
Sasa isikilizeni sauti yake inayolia nyikani, ndani ya sauti hiyo zipo sauti za mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.
Mnyoosheeni njia pale anapokuja...
Tofauti na vipindi vya Uchaguzi wa vyama vingi nilio ushuhudia, 1995 Hadi 2015, Uchaguzi wa mwaka huu wananchi wengi zaidi wako radhi kusema hadharani ama kukuambia Kura yake atampa Nani.
Kwa Chaguzi zilizopita ilikua ni kwa wale wakereketwa wa vyama husika tu ndio walikua wakitoa misimamo yao...
CCM let's be matured, hii propaganda ya kumuita Tundu Lissu kibaraka wa mabeberu imebumba tutafute neno lingine zuri la kummaliza.
Kutumia hili neno hakujabadili kitu kabisa mtaani kila ninapopita sioni sehemu yeyote akiitwa Bebebru zaidi ya kuitwa Mkombozi, mimi sijui ni mkombozi wa nini...
Mshindi wa Jackpot ya SportPesa, Lilian Ngitoria Laizer, amekabidhiwa kitita chake kiasi cha Sh. 267,800,060 na Kampuni ya Michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania, huku akieleza mipango yake ni kufungua biashara kubwa.
Nipashe
Kuna Mtu aliwahi kuniambia huko zamani kuwa Pesa, Elimu na...
Hii ni sauti inayonisumbua kila kukicha ya Mungu Ikiniambia Huyu Ni Mwanangu Mpendwa Nimpe Kura yangu.
Naamini ni sauti inayokusumbua pia wewe Mtanzania ikijurudirudia na kukusii uitii kua " Huyu alie Hai leo ni Mwanake Mpendwa na Tumpe Kura Zetu"
Tanzania itapona tu kwa Kuitii Sauiti Hii ya...
Huu ni ujumbe toka kwa sauti ya mtu aliyae nyikani. Baada ya kulimia meno for 5 yrs Safari hii mtalimia kucha tabia ya mtu ni ngozi, furaha yake ni kuona machozi ya watu wakilia. Kuna watu Kama wakipewa haki ya kugawa pumzi duniani Wallah hakuna ambae angebaki duniani.
Kama Kimara...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?
(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi...
Kwa ambao washawahi kuishi nje ya Tanzania nina imani watakuwa na ufaham wa hiki nilichokiandika hapa.
Nimewahi kuishi ktk nchi ambayo ina mchanganyiko wa raia kutoka katika nchi mbali mbali duniani nikajiridhisha kwa macho yang kwamba raia wengi wanaotoka Tanzania ni wafupi wafupi mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.