watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. kimbendengu

    Mbona Watanzania sijawaona Olympics?

    Jamani wanamichezo wenzangu hapa Tanzania michezo ya Olympic inaendelea huko Japan swali langu mbona watanzania sijawaona kwenye hiyo michezo?
  2. peno hasegawa

    Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

    Kuna Kila dalili kuwa kuna mgomo tanesco kuhusiana na kufungiwa umeme maeneo ya mjini Kwa Tsh 27,000. Kila ukienda tanesco popote nchini wanakupatia fomu Bure kazi inaanzia wapi. 1. Hakuna surveyor 2. Ukifanyiwa surveyor hawakupstii control number ya kulipia 3. Ulifanikiwa kulipia unaambiwa...
  3. safuher

    Hoja za baadhi ya Watanzania kuhusu kukataa chanjo bado ni dhaifu sana

    Watanzania hawaishiwi hoja kwa kweli. ETI Katika hoja wanazotumia wanasema eti chanjo gani ambayo serikali imejitoa kabisa kwamba litakalokupata wao hawawajibiki kwa lolote? Watanzania wamesahau kwamba hata ukienda hospitali una haki ya kukataa kutibiwa, una haki ya kukataa sawa, una haki ya...
  4. N

    Corona ni futa ukijifukiza linapasuka, akili za kijinga zilizopandikizwa kwa watanzania

    kama sikosei hii kauli aliizungumza cyprian mulaga musiba, wakati ule taifa linapinga katakata uingizaji wa chanjo kwa amri kutoka juu, watu wengi waliamini katika hili lakini kiuhalisia iyo ilikua ni elimu ya kijinga inayopanddikizwa kwa watanzania na matokeo yake ni haya tunayaona leo...
  5. Chee4

    Watanzania msikilizeni Rais Samia kuhusu chanjo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania kuwa chanjo ni salama na kamwe hawezi kuwaletea chanjo ambayo ina madhara kwa kuwa yeye ni Kiongozi Mkuu wa Nchi anayejali afya za wananchi wake. Rais Samia ameyasema hayo wakati akipata chanjo ya...
  6. N

    Chanjo ya COVID-19: Watanzania hatujawahi kuchomwa chanjo kwa kujaza fomu kuiepusha Serikali na lawama za madhara

    Leo katika uzinduzi wa chanjo. Waziri wa Afya kaongea mambo mengi ili kuhalalisha mchakato huo. Ameenda mbali na kushawishi watu kuwa kujaza fomu ya kuridhia kuchanjwa ambayo inasema ukipata madhara serikali haitawajibika ni jambo la kawaida kitabibu na hata ukifanyiwa operation basi wewe au...
  7. DustBin

    SoC01 Huyu ndiye Kiongozi tunayemtaka Watanzania

    Duniani ni sehemu mzuri sana kuishi kama sisi wenyewe tutaifanya dunia kuwa salama kwa ajili ya maisha yetu wenyewe. Hata hivyo hatuwezi kuishi kiholela, isipokuwa inatulazimu wawepo baadhi yetu watakao simamia mambo yetu na kutuwakilisha katika baadhi ya mambo. Watu hao ni viongozi na watawala...
  8. GENTAMYCINE

    Kuyaona mawazo yetu kama 'Kelele' ni kutudharau Watanzania

    "Tulipoamua kupandisha Tozo za Miamala tulikuwa tuna lengo zuri tu ila tulipoanza kusikia Kelele za Wananchi basi Serikali tukaona kwakuwa tunawajali Wananchi wetu tuingilie kati na sasa nimeunda Kamati ili kuliangalia hili na itakuja na majibu muda si mrefu" Rais Samia. Hasira yangu na Uchungu...
  9. Wakusoma 12

    Kama chanjo ya COVID-19 ni hiyari basi watakaochanjwa watoe hela. Hatuwezi kutumia pesa za Watanzania kufurahisha wachache

    Huu ndiyo ukweli, kwa hii ya Msaada uliotolewa basi watakaopatiwa pia wachangie gharama ambazo zitatumika kuwalipa posho wahudumu maana pesa za wananchi haziwezi kutumiwa na wachache. Tumeambia serikali itakoma pesa takribani 500m USD ili iweze kununua chanjo na pesa hizo zitalipwa na...
  10. Beberu

    Watanzania na kupinga vitu vipya bila elimu yake

    Nawasalimu katika jina la jamhuri ya muungano wa Tz (Hata usipojibu mi naendelea tu) Mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati Tv ndo zinapata umaarufu hapa nchini watu walipinga sana hii issue wakisema itatuharibu macho, maadili na pia ni kazi ya shetani Wakati simu za mkononi zinashika kasi pia watu...
  11. S

    Mapokezi ya chanjo ya Covid-19 yapo hasi sana kwa Watanzania

    Ukiacha Gwajima kuchafua hali ya hewa kuhusiana na chanjo ya Corona lakini tayari watanzania walishaaminishwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati Magufuli kuwa chanjo ya Corona sio salama kabisa na hivi huku hayati akisema kuwa chanjo ya Korona inayopigiwa debe na mabeberu kama alivyokuwa anasema...
  12. Vien

    Ukitaka kujua Watanzania wengi hawapendi kazi, zunguka maofisini muda wa lunch

    Habarini wakuu, Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi. Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote...
  13. silver jerry

    SoC01 Mbinu bora na Maridhawa kwa Kuinua Maisha ya Watanzania kufikia mwaka 2040

    Watanzania wengi wanasumbuliwa Sana na ukombozi wa kifikra, Changamoto nyingi Sana za Maisha zinaielemea Jamii kwa sababu ya Elimu Mbovu na Mijiundo ya kiutawala tuliorithi kwa wakoloni! Hii imekua ni dhana mbovu Sana katika kuikwamua jamii katika lindi la umasikini wa fikra, mitazamo na Maisha...
  14. Pascal Mayalla

    Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

    Wanabodi, Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa". Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake...
  15. Meneja Wa Makampuni

    Serikali fanyeni yafuatayo kupata mapato badala ya kuleta kodi za kuumiza Watanzania

    Mkitaka serikali yetu ipate mapato kama mnavyotaka badala ya kuleta kodi za kuumiza watanzania fanyeni yafuatayo 1. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa kwa wafanya biashara, Bandarini, Kwenye manunuzi ya umeme, maji, usafiri wa reli, kwenye Masoko, n.k 2. Zuieni leakage ya kodi zinazotozwa...
  16. K

    Watanzania wanathamini wafu kuliko walio hai

    Mtanzania yuleyule anayeandika kwenye barua, kwenye mtandao wa kijamii au anayezungumza kutoa pole na kuomba dua anaposikia msiba ndiye huyohuyo anayekuona upo kwenye hatari ya kifo asiseme kitu. Hakuna Mtanzania kiongozi wa kitaifa aliyesimama nakusema kuwaweka mahabusu watu bila sababu za...
  17. U

    Sababu Kuu za Watanzania Kupinga Tozo Mbalimbali

    Hili halina ubishi, Watanzania wengi wanapinga ongezeko la tozo mbalimbali kuanzia kwenye mafuta mpaka kwenye miamala ya simu. Hii tabia ya kupinga haijaja ghafla, bali ni matokeo ya muda mrefu. Sababu kubwa zinazowafanya Watanzania kupinga tozo hizi, ni kukosekana kwa uwazi (Transparency) na...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Mbali na kuikosoa serikali kuhusu Makato; lakini kiukweli Watanzania kwenye kulipa Kodi tuwagumu sana

    Kwema Wakuu! Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi. Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tu. Ila Kama wangeambiwa kwa hiyari yao nakuhakikishia...
  19. M

    Nahisi huyu Mtengeneza Matukio na Msahaulishaji Matukio katika Vichwa vya Watanzania analipwa Mshahara mkubwa sana

    Popote alipo huyu Mtu ajue kuwa Krav Maga namkubali na Mimi pia natamani Siku moja niwe kama Yeye. Huyu Mtu Yeye Kazi yake ni Kusoma Kwanza upepo wa Watanzania hasa Kifikra kisha anaanza Kucheza na Akili zetu. Ana uwezo wa Kutengeneza Jambo au Tukio la Kuibua Hisia Kubwa kisha kwa muda mfupi...
  20. Miss Zomboko

    Serikali yakusudia kuchanja asilimia 60 ya Watanzania Chanjo ya Coronavirus

    Dar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote. Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya chanzo hiyo itatolewa kwa makundi ya mstari wa mbele ambayo yatawekwa wazi siku ya kesho. Amesema kwa...
Back
Top Bottom