Siku zinavyozidi kwenda ndivyo Watanzania wanavyozidi kupoteza ari ya mapambano

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Jan 26, 2020
3,716
11,703
Nini kimetokea? Ni mfumo wa elimu au vyakula?

Kwenye shule za sekondari watoto wamekuwa kama vikundi vya walokole, hakuna migomo, hakuna vurugu, wanasukumwa kama kundi la kondoo!

UDSM hakuna tena 'kunji', sijui hata kama 'revo square' bado ipo. Vijana wanakwenda tu kama kondoo.

Wamachinga nao ndio wamenishangaza, miaka ile bomoa bomoa ya machinga ilikuwa pata shika nguo kuchanika, JWTZ wangelazimika kuongeza nguvu.

Watanzania walikuwa wapambanaji haswaa, roho ya ujasiri na kutetea utu wao ilikuwa inaishi ndani yao.

Kwasasa ni kama kundi la mazombi, waaishia tu kubweka mitandaoni, ni kama mbwa wasio na meno, hawana madhara. Wanaogopa mamlaka.

Je, ni ustaarabu umeongezeka? Au ni kiwango cha elimu? Au shida zimepungua na kuwafa
 
JP aliharibu saana nchi hii
Weka kunji akuue
Andamana akunyooshe
Kila mtu kimyaa

Yule jamaa ni balaa

Yaani democracy ni msamiati ambao haupo kwenye kamusi yake

Apumzike anapostahili asee
 
Nini kimetokea? Ni mfumo wa elimu au vyakula?

Kwenye shule za sekondari watoto wamekuwa kama vikundi vya walokole, hakuna migomo, hakuna vurugu, wanasukumwa kama kundi la kondoo!

UDSM hakuna tena 'kunji', sijui hata kama 'revo square' bado ipo. Vijana wanakwenda tu kama kondoo.

Wamachinga nao ndio wamenishangaza, miaka ile bomoa bomoa ya machinga ilikuwa pata shika nguo kuchanika, JWTZ wangelazimika kuongeza nguvu.

Watanzania walikuwa wapambanaji haswaa, roho ya ujasiri na kutetea utu wao ilikuwa inaishi ndani yao.

Kwasasa ni kama kundi la mazombi, waaishia tu kubweka mitandaoni, ni kama mbwa wasio na meno, hawana madhara. Wanaogopa mamlaka.

Je, ni ustaarabu umeongezeka? Au ni kiwango cha elimu? Au shida zimepungua na kuwafa
Chipsi kuku na soda
 
Nini kimetokea? Ni mfumo wa elimu au vyakula?

Kwenye shule za sekondari watoto wamekuwa kama vikundi vya walokole, hakuna migomo, hakuna vurugu, wanasukumwa kama kundi la kondoo!

UDSM hakuna tena 'kunji', sijui hata kama 'revo square' bado ipo. Vijana wanakwenda tu kama kondoo.

Wamachinga nao ndio wamenishangaza, miaka ile bomoa bomoa ya machinga ilikuwa pata shika nguo kuchanika, JWTZ wangelazimika kuongeza nguvu.

Watanzania walikuwa wapambanaji haswaa, roho ya ujasiri na kutetea utu wao ilikuwa inaishi ndani yao.

Kwasasa ni kama kundi la mazombi, waaishia tu kubweka mitandaoni, ni kama mbwa wasio na meno, hawana madhara. Wanaogopa mamlaka.

Je, ni ustaarabu umeongezeka? Au ni kiwango cha elimu? Au shida zimepungua na kuwafa
Unacheza na chanjo
 
Nini kimetokea? Ni mfumo wa elimu au vyakula?

Kwenye shule za sekondari watoto wamekuwa kama vikundi vya walokole, hakuna migomo, hakuna vurugu, wanasukumwa kama kundi la kondoo!

UDSM hakuna tena 'kunji', sijui hata kama 'revo square' bado ipo. Vijana wanakwenda tu kama kondoo.

Wamachinga nao ndio wamenishangaza, miaka ile bomoa bomoa ya machinga ilikuwa pata shika nguo kuchanika, JWTZ wangelazimika kuongeza nguvu.

Watanzania walikuwa wapambanaji haswaa, roho ya ujasiri na kutetea utu wao ilikuwa inaishi ndani yao.

Kwasasa ni kama kundi la mazombi, waaishia tu kubweka mitandaoni, ni kama mbwa wasio na meno, hawana madhara. Wanaogopa mamlaka.

Je, ni ustaarabu umeongezeka? Au ni kiwango cha elimu? Au shida zimepungua na kuwafa
Kinachosababisha hali hiyo ni uminywaji wa uhuru wa kutoa mawazo ya watu
 
Back
Top Bottom