Watanzania international Exposure ni Changamoto

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,534
32,141
Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
 
Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Mange Kimambi naye yupo kwenye kundi la diaspora? Nimeuliza tu.
 
Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Unaposikia uchumi wa blue unaelewa nini?
 
Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Uchumi wa bluu wakati wanavua Kaa na Mijusi tu.
 
Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Language barrier!! Mwalimu nyerere alituachia urithi wa lugha ya kiswahili , bahati mbaya kiswahili hakiendi international ndo maana tu mabubu internationaly
 
Tujitahid tuache kumlaumu Nyerere kila kitu. Alitupa elimu bure toka Uhuru. Tupewe nn Zaid?
 

MLOLONGO WA KUPATA PASSPORT YA KUSAFIRIA KIUHALALI TU NI JANGA,
WADHANI TWAWEZAJE KUPATA INTERNATIONAL EXPOSURE HAPO MKUU?
Sijui kwanini waliamua kuweka vipengele kibao kwenye upatikanaji ya passport ambayo wala haina maajabu, nchi zenyewe ambazo mtu anaweza kwenda bila visa ni zile ambazo hazina issue tu
 
Sijui kwanini waliamua kuweka vipengele kibao kwenye upatikanaji ya passport ambayo wala haina maajabu, nchi zenyewe ambazo mtu anaweza kwenda bila visa ni zile ambazo hazina issue tu
Malaysia, Qatar, South Africa hamna ishu? Negativity at its peak
 
Back
Top Bottom