watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. Life2

    Kodi na Tozo zinazowaumiza Watanzania: Tumekosea wapi ili tutubu?

    Ndugu zangu Watanzania tumekosea wapi mbona siku hadi siku mambo yanazidi kuwa tight sana mtaani huku. No pesa ukitumia ka hela kako kidogo unakutana na makato ya ajabu,ukiweka Vocha usalimie ndugu & jamaa napo tabu. Day after day wanakuja na mbinu mpya sio kwa ajili ya kumpa ahueni Mtanzania...
  2. M

    Kutoka moyoni bila unafiki, Magufuli bado yupo vichwani mwa Watanzania

    Habari wana jamvi, Kiukweli nimevumilia nimejikaza lakini nimehemewa acha niseme ukweli tu. Mzee baba Magu Watz mpaka sasa wanaumia na nimeliona hili kila Mara katika Moshe zangu na safari za hapa na pale. Afu sasa cha kushangaza mpaka watoto, cha ajabu wakisikia mazungumzo yanayo muhusu...
  3. Samia atosha tukutane2030

    Baadhi ya viongozi wa serikali ni 'vichaa', wakiondolewa ndipo Watanzania watapata ahueni

    Habari za asubuhi! Leo kuna mtu alipost jambo humu akanikumbusha jambo, nikaingia library kupekua nikakutana na picha za matukio kadhaa ya nyuma yaliyofanywa na viongozi wetu. Hebu icheki hii picha chini kisha utagundua kuwa tuna baadhi ya viongozi vichaa katika Taifa hili. Hawa watu wenye...
  4. K

    Tozo za Miamala: Dkt. Mwigulu, una hakika Watanzania wanakusoma?

    Mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan alitoa Homework Juu ya Tozo la Miamala Wewe na Timu yako Mnaohusika mliangalie Upya Suala hili, sio Kufuta bali kupunguza Makali Ya Tozo. Badala yake Kwa Kudemka Kabisa unakuja na mahesabu ya Mabilioni Yaliyokusanywa, Kwamba Yamepelekwa kusaidia hiki na Kile...
  5. World Logistics Company

    Mchango wetu kwa Watanzania katikati ya wimbi la Corona

    Wakati dunia bado inahangaika na janga la corona au UVIKO19, nasi tumeona tutoe mchango wetu kwa wanaotafuta riziki kupitia biashara zao hususan wale wanaofuata bidhaa zao huko China, Uingereza, Uarabuni na mataifa mengine. Siku hizi kusafiri imekuwa shida sana, shida zaidi ni kuagiza na...
  6. K

    SoC01 Watanzania na maumivu ya tozo za miamala

    Tanzania ni taifa lenye watu wa hali mbali mbali, wengi wao wakiwa ni wavuja jasho, walala hoi, kula kwao ni kwa mahangaiko, wanachokipata kwa siku huishia mdomoni mwao huku walio juu hawakumbuki hisani ya wanaowazunguuka na wakiziba masikio yao kunenepesha matumbo yao na familiya zao tu. Watu...
  7. MKILINDI

    Watanzania kwenye matatizo yetu "Serious"

    Watanzania kwenye matatizo yetu serious si tunafanya hiviiiii 1) Huwa hatuwazi matatizo tuliyonayo tunawaza namna ya kuishi nayo. 2) Tunakumbuka maneno ya viongozi wetu nini walituambia. Tunafarijika na maneno yao hata kama kwenye shida ngumu. 3) Tunasubiria maafa ili kila mmoja aokoe nafsi...
  8. MKILINDI

    Serikali bado ina nafasi ya kushawishi Watanzania chanjo ya Corona

    Kwa muelekeo wa ugawaji na uchanjaji wa chanjo ya UVIKO19 Tanzania na malumbano kati ya viongozi wa serikali wenyewe kwa wenyewe kuhusu kuchanja Corona yaonekana wazi kuwa serikali yaweza kushindwa vita hii, kwa kuwa, kwanza ni hiari lakini pia ilishajikwaa mwanzoni kuhusu chanjo hiyo kwa awamu...
  9. T

    Kampuni ya kutengeneza chanjo za COVID-19, Moderna inatarajia kuanza majaribio ya Chanjo za UKIMWI mwezi huu

    Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya UKIMWI Jumatano ijayo. Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo imesaidia kupambana na virusi wa Covid, wanaamini kua chanjo ya Ukimwi kwa kutumia teknolojia hiyo...
  10. dump

    Watanzania tushikamane kuleta mabadiliko

    Watanzania tushikamane tukemee haya mambo,hivi inawezekenaje watu wazima wana kaa wanakubaliana kujenga barabara ya kilometer 1 kwa ghalama ya billion 5. Hivi kweli tutafika kwa hali hii,madawa yatapatikana hospital, na huduma zingine zitawezekana gharama za maisha zimepanda,petrol, mafuta ya...
  11. mkulima gwakikolo

    Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

    Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia! ====== Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or...
  12. Erythrocyte

    Mzee Kikwete umeshidwa kupatanisha Watanzania wenzako, umewezaje kwa Wazambia?

    Kuna mambo yanashangaza sana! Rais Mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye alikuwa miongoni mwa wasimamizi wa uchaguzi Mkuu nchini Zambia ameonekana hadharani akiwa na Mahasimu wakuu wa siasa za Zambia baada ya kikao cha upatanishi, Tunamshukuru kwa jambo hilo. Lakini swali letu linabaki kuwa...
  13. Informer

    Wizara ya Afya: Watanzania 207,391 wamepatiwa Chanjo ya UVIKO-19 hadi Agosti 14, 2021

  14. Meneja Wa Makampuni

    Watanzania wenye strong profiles kwenye mtandao wa LinkedIn

    Habari za Leo wakuu, Linapokuja swala mitandao, watanzania hawapo nyuma kwenye kutumia mtandao wa professionals wa LinkedIn. Naomba tujuzane watanzania wenye strong profiles kwenye mtandao wa LinkedIn.
  15. M

    Watanzania tuunganeni kukemea uovu bila kujali itikadi zetu za vyama

    Watanzania muda umefika wa kuweka pembeni tofauti zetu za kisiasa na badala yake tuungane kupinga uonevu na dhuluma. Rais anasema watanzania wameridhika na tozo. Hakuna mtanzania aliyeridhika na tozo, tuungane tukatae kwa kauli moja hii dhuluma. Kama vyanzo vingine vya mapato hawavioni...
  16. F

    Kisa cha kuanguka kwa Dkt. Bulugu inaweza kuwa ni "staged event" ya ku-ruin mkakati wa Chanjo ya COVID 19 kwa Watanzania

    Bado naendelea kutathimini tukio lenyewe! Ila niseme tu kuwa kama Taifa tunapita katika kipindi kigumu sana! Kuna distractions na sabotage nyingi sana tangu Rais Samia achukue usukani wa kuongoza Taifa hili kufuatia kifo cha ghafla cha Hayati Rais Magufuli. Hivyo viongozi wetu wanapaswa kuwa si...
  17. J

    Ustaarabu, Makazi, Maendeleo na Maisha ya watanzania na watawala (machifu na watemi)

    England United Kingdom Dresdane German Habari wanajamvi natumai mu wazima wa afya. Binafsi napenda utalii hasa utalii wa kihistoria kujua watu wa zamani na jamii zao waliishi vipi makazi, siasa, shughuli za kiuchumi nk. Tukija sehemu yangu pendwa ya makazi navutiwa sana na architects...
  18. M

    Waziri Jenister Mhagama acha kutudanganya Watanzania, Vifo vya UKIMWI havijawahi kupungua Tanzania

    Vifo vya UKIMWI vyapungua Tanzania. Matumizi ya dawa za kufubaza VVU yameongezeka kutoka 95% mwaka 2016 hadi 98%, 2019, vifo vitokanavyo na UKIMWI vimepungua kutoka 64,000 mwaka 2010 hadi 32,000, 2020 na maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto yameshuka kutoka 18% mwaka 2010 hadi 7% mwaka 2020 -...
  19. J

    Mbwa wa Polisi kutumika dhidi ya CHADEMA limetuvunjia heshima Watanzania

    Nimesikitishwa na kitendo cha Polisi kutumia mbwa dhidi ya Chadema. Kwa sisi wenye umri mkubwa kidogo tunakumbuka picha za Polisi wa makaburu wa Afrika Kusini.
  20. Memento

    Rais Samia, ni Watanzania gani hao waliokubali hizo tozo?

    Nimeshangaa na kufadhaishwa sana naa kauli ya raisi kuwa eti watanzania hawajakataa tozo na wapo tayari kuchangia hizo tozo ila tu zipunguzwe. Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini. Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe...
Back
Top Bottom