MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hivi kama tu Wachezaji wa Kikongo ambao Kutwa tunawaimba, tunawasifu na Kuwakuza mno akina Yanick Bangala, Fiston Mayele, Ducapel Moloko, Tuisila Kisinda, Tonombe Mukoko, Herritier Makambo na Shaaban Djuma hawapati namba, hawaitwi, hawajulikani na hata wakiitwa wanachoma tu Mahindi Benchini Jeuri ile ( hii ) ya Kujitapa Kuwafunga Congo DR leo mliitoa wapi?
Hawa ndiyo Wakongomani. Poleni mno.
Hawa ndiyo Wakongomani. Poleni mno.