Miezi 8 bila Hayati Magufuli; Alikuwa alama, utambulisho, kielelezo na mwakilishi wa Watanzania

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
948
2,857
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim, yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote, sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana, tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli, tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
 
Rais JPM pia aliboronga sana tu hadi ndani ya CCM wanalijua hili.

Rais alikuwa mtu muoga sana.
Rais ambaye hakuwahi kutumia akili katika kufanya maamuzi yake issue ya covid 19 alii treat kishamba sana.

Ndani ya miaka sita ametuachia umasikini wa kupindukia.
Alikuwa binadamu wa visasi,mkabila na jiwe.
Rais asiyeamini katika sayansi alivyomtuma Kabudi madagascar.
Kwa miaka 6 tu aliturudisha nyuma miaka 40.

Mradi wa SGR wala hauhitaji sifa za jpm inajukikana mchakato ulianza mapema kabisa kipindi ya Jakaya na mkataba wa mwanzo tenda walipewa China kwa mkopo wa gharama nafuu...JPM akaja kulazimisha wapeww Yapi Merkez ambao nao walikuwa madalali coz subcontractors ni wachina...jpm amekuja kushtuka mwishoni ndo akawapa tenda wachina kuanzia mwanza to Isaka.

JPM alikuta demokrasia imefikia level ya juu kabisa... Yeye akaamua kuiua kishamba kabisa kwa kutumia dola waziwazi kama enzi za chama kimoja...leo kageuza bunge la kusifia sifia tu.

JPM deni la taifa kali skyrocket kuliko rais yeyote katika historia ya taifa hili..

JPM huyuhuyu akaamua kugeuza chato jiji...

JPM huyuhuyu akaharibu diplomacy yetu na nchi rafiki tukapoteza misaada ya muhimu katika miradi ya maendeleo.

JPM apumzike kwa amani licha ya mazuri yake lakini pia alitukosea sana WATANZANIA...

KWA incompetence aliyoionyesha basi tunahitaji katiba mpya ili asijetokea JPM mwingine akatutesa tena
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.

MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Huna akili umeacha no7 utekaji na kunyanyasa wapinzani kwasababu ulishiriki kwenye michongo hiyo
2537165_P6F2RAW0ULeENPMJA9tbbCN4.jpg
 
Tupe ushahidi wapi alitangaza chato kuwa jiji?


Rais JPM pia aliboronga sana tu hadi ndani ya CCM wanalijua hili.

Rais alikuwa mtu muoga sana.
Rais ambaye hakuwahi kutumia akili katika kufanya maamuzi yake issue ya covid 19 alii treat kishamba sana.

Ndani ya miaka sita ametuachia umasikini wa kupindukia.
Alikuwa binadamu wa visasi,mkabila na jiwe.
Rais asiyeamini katika sayansi alivyomtuma Kabudi madagascar.
Kwa miaka 6 tu aliturudisha nyuma miaka 40.

Mradi wa SGR wala hauhitaji sifa za jpm inajukikana mchakato ulianza mapema kabisa kipindi ya Jakaya na mkataba wa mwanzo tenda walipewa China kwa mkopo wa gharama nafuu...JPM akaja kulazimisha wapeww Yapi Merkez ambao nao walikuwa madalali coz subcontractors ni wachina...jpm amekuja kushtuka mwishoni ndo akawapa tenda wachina kuanzia mwanza to Isaka.

JPM alikuta demokrasia imefikia level ya juu kabisa... Yeye akaamua kuiua kishamba kabisa kwa kutumia dola waziwazi kama enzi za chama kimoja...leo kageuza bunge la kusifia sifia tu.

JPM deni la taifa kali skyrocket kuliko rais yeyote katika historia ya taifa hili..

JPM huyuhuyu akaamua kugeuza chato jiji...

JPM huyuhuyu akaharibu diplomacy yetu na nchi rafiki tukapoteza misaada ya muhimu katika miradi ya maendeleo.

JPM apumzike kwa amani licha ya mazuri yake lakini pia alitukosea sana WATANZANIA...

KWA incompetence aliyoionyesha basi tunahitaji katiba mpya ili asijetokea JPM mwingine akatutesa tena
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Labda watanzania wachawi na vichaa kama yeye
 
Ndg.zangu Watanzania na wazalendo wenzangu na wana CCM wenzangu tukiacha unafiki na mambo mengine serikali yetu ya awamu ya 6 naelewa inafanya vizuri lakini bado tunahitaji kutoyabeza yaliyokuwa yakifanywa na awamu ya 5 hasa kule kugusa maisha ya wananchi wa maisha ya hali ya chini zaidi wafanya biashara wadogo kuna kilio kikubwa sana juu ya kuwahamisha linatakiwa liangaliwe kwa makini sana vinginevyo chaguzi zijazo tunaweza kuingia kwenye chaguzi tukiwa vibaya sana kisiasa ukikaa na watu paka wanamkumbuka Mhe.Hayati Magufuli na yeye alifanya vizuri sana kwenye kila nyanja na wananchi wa maisha ya hali ya chini nandowengi zaidi walimuelewa sana ukiacha wana siasa wenye uchu wa madaraka ndohawakumuelewa na watu wenye ubinafsi swala la Machinga limekaa vibaya sana jana nimejionea soko la Nyankumbu jinsi hawa vijana wezetu na wakinamama walivyokuwa wanalia na kulalamikia serikali pamoja na kumkumbuka Mhe.hayati Magufuli kwakweli binafsi nilishikwa na maumivu makali pia ombi langu waheshimiwa Wabunge kwakweli Kama wawakilishi wa sisi wananchi wanatakiwa waishauri serikali yetu na Viongozi wa Chama pia Taifa hili swala walione pia ni vigumu sana serikali na Chama kutenganisha na maswala yote ya maendeleo na siasa yaliyofanywa na serikali awamu ya 5 na ukiangalia paka sasa bado ni hesabu ya awamu ya 5 japo kisheria na mambo ya kikatiba inajulikana ni awamu ya 6 Mimi kwa mawazo yangu nilitamani Mhe.Rais wetu angeendeleza zaidi yale yote waliyokuwa wakitekeleza awamu ya 5 nakumbuka swala la Machinga Hayati Mhe.Magufuli siku moja aliitisha kikao akiwepo Mhe.Makamu wa Rais wakati huo na sasa Mhe.Rais wetu na Mhe.Selemani Jaffo n.k Kuna swala alilitolea ufafanuzi juu ya Machinga kutobuguziwa na kufukuzwa ovyo na maswala kadha wa kadha Viongozi wa Chama Taifa na Mikoa na Wilaya na Kata matawi inatakiwa hili swala tuliangalie kwa mapana yake ili tusije kujilaumu wakati bado tunao muda wakulifanyia marekebisho.
 
Ndg.zangu Watanzania na wazalendo wenzangu na wana CCM wenzangu tukiacha unafiki na mambo mengine serikali yetu ya awamu ya 6 naelewa inafanya vizuri lakini bado tunahitaji kutoyabeza yaliyokuwa yakifanywa na awamu ya 5 hasa kule kugusa maisha ya wananchi wa maisha ya hali ya chini zaidi wafanya biashara wadogo kuna kilio kikubwa sana juu ya kuwahamisha linatakiwa liangaliwe kwa makini sana vinginevyo chaguzi zijazo tunaweza kuingia kwenye chaguzi tukiwa vibaya sana kisiasa ukikaa na watu paka wanamkumbuka Mhe.Hayati Magufuli na yeye alifanya vizuri sana kwenye kila nyanja na wananchi wa maisha ya hali ya chini nandowengi zaidi walimuelewa sana ukiacha wana siasa wenye uchu wa madaraka ndohawakumuelewa na watu wenye ubinafsi swala la Machinga limekaa vibaya sana jana nimejionea soko la Nyankumbu jinsi hawa vijana wezetu na wakinamama walivyokuwa wanalia na kulalamikia serikali pamoja na kumkumbuka Mhe.hayati Magufuli kwakweli binafsi nilishikwa na maumivu makali pia ombi langu waheshimiwa Wabunge kwakweli Kama wawakilishi wa sisi wananchi wanatakiwa waishauri serikali yetu na Viongozi wa Chama pia Taifa hili swala walione pia ni vigumu sana serikali na Chama kutenganisha na maswala yote ya maendeleo na siasa yaliyofanywa na serikali awamu ya 5 na ukiangalia paka sasa bado ni hesabu ya awamu ya 5 japo kisheria na mambo ya kikatiba inajulikana ni awamu ya 6 Mimi kwa mawazo yangu nilitamani Mhe.Rais wetu angeendeleza zaidi yale yote waliyokuwa wakitekeleza awamu ya 5 nakumbuka swala la Machinga Hayati Mhe.Magufuli siku moja aliitisha kikao akiwepo Mhe.Makamu wa Rais wakati huo na sasa Mhe.Rais wetu na Mhe.Selemani Jaffo n.k Kuna swala alilitolea ufafanuzi juu ya Machinga kutobuguziwa na kufukuzwa ovyo na maswala kadha wa kadha Viongozi wa Chama Taifa na Mikoa na Wilaya na Kata matawi inatakiwa hili swala tuliangalie kwa mapana yake ili tusije kujilaumu wakati bado tunao muda wakulifanyia marekebisho.
Do kwahyo leo ni tarehe 17 mwamba.
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Maiti hata uiwekee perfume itanuka tu. Magufuli mtahangaika sana kimpamba kwa threads nyingi lakini atabakia kuwa ni RAIS wa HOVYO tu ambaye Tanzania imewahi kumpata.

Magufuli miaka 5 kaua Ben Saanane, Azory Gwanda na wakazi wa Mkuranga, Kibiti na Rufiji zaidi ya 300. Mwezi Desemba 2020 kaua Wapemba zaidi ya 10.

Magufuli alikuwa mwizi, mwongo, mbaguzi wa kikabila na kikanda, muumini wa Shetani na mwishowe ni TAKATAKA tu
 
Ndg.zangu Watanzania na wazalendo wenzangu na wana CCM wenzangu tukiacha unafiki na mambo mengine serikali yetu ya awamu ya 6 naelewa inafanya vizuri lakini bado tunahitaji kutoyabeza yaliyokuwa yakifanywa na awamu ya 5 hasa kule kugusa maisha ya wananchi wa maisha ya hali ya chini zaidi wafanya biashara wadogo kuna kilio kikubwa sana juu ya kuwahamisha linatakiwa liangaliwe kwa makini sana vinginevyo chaguzi zijazo tunaweza kuingia kwenye chaguzi tukiwa vibaya sana kisiasa ukikaa na watu paka wanamkumbuka Mhe.Hayati Magufuli na yeye alifanya vizuri sana kwenye kila nyanja na wananchi wa maisha ya hali ya chini nandowengi zaidi walimuelewa sana ukiacha wana siasa wenye uchu wa madaraka ndohawakumuelewa na watu wenye ubinafsi swala la Machinga limekaa vibaya sana jana nimejionea soko la Nyankumbu jinsi hawa vijana wezetu na wakinamama walivyokuwa wanalia na kulalamikia serikali pamoja na kumkumbuka Mhe.hayati Magufuli kwakweli binafsi nilishikwa na maumivu makali pia ombi langu waheshimiwa Wabunge kwakweli Kama wawakilishi wa sisi wananchi wanatakiwa waishauri serikali yetu na Viongozi wa Chama pia Taifa hili swala walione pia ni vigumu sana serikali na Chama kutenganisha na maswala yote ya maendeleo na siasa yaliyofanywa na serikali awamu ya 5 na ukiangalia paka sasa bado ni hesabu ya awamu ya 5 japo kisheria na mambo ya kikatiba inajulikana ni awamu ya 6 Mimi kwa mawazo yangu nilitamani Mhe.Rais wetu angeendeleza zaidi yale yote waliyokuwa wakitekeleza awamu ya 5 nakumbuka swala la Machinga Hayati Mhe.Magufuli siku moja aliitisha kikao akiwepo Mhe.Makamu wa Rais wakati huo na sasa Mhe.Rais wetu na Mhe.Selemani Jaffo n.k Kuna swala alilitolea ufafanuzi juu ya Machinga kutobuguziwa na kufukuzwa ovyo na maswala kadha wa kadha Viongozi wa Chama Taifa na Mikoa na Wilaya na Kata matawi inatakiwa hili swala tuliangalie kwa mapana yake ili tusije kujilaumu wakati bado tunao muda wakulifanyia marekebisho.
We pimbi hakuna mtanzania aliyefurahia ushamba wa kutekanatekana na miili kukutwa kwenye viroba yamkini ulifurahia kwasababu ulikuwa unauhakika wa kwenda chooni huku familia za wengine zikiumia.
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Pole Sana mjane,
Hata Shule ulienda kupoteza muda tu,Nafuu hata ungechunga mbuzi
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Nchi ni mfumo siyo mtu naye alifanya sehemu yake na maisha yanaendelea. Kuhudhuria kwenye msiba no utamaduni TU siyo ishara ya upendo
 
MIEZI NANE BILA JPM;RAIS MAGUFULI, ALAMA,UTAMBULISHO,KIELELEZO NA MWAKILISHI WA WATANZANIA.

Leo 10:35hrs 17/11/2021

Nianze kwa Ushauri,na huu ndio ushauri wangu;Pamoja na Uzalendo uliopitiliza aliokuwa nao Rais Magufuli,pamoja na roho ngumu aliyokuwa nayo kuisimamia Tanzania irudi kwenye mstari,pamoja na akili kubwa(Intelligence) aliyokuwa nayo,Uwezo na Utambuzi wa tatizo na kulitolea suluhisho,Kujitoa kwake sadaka kwa ajili ya taifa la Tanzania kurudi kwenye mstari mnyoofu,tuliona akisema najitoa sadaka kwa ajili ya Taifa la Tanzania msifikiri sina damu,alimaanisha msifikiri siogopi kufa na pamoja na ujinga wake na uwendawazimu mwingi aliokuwa nao kama ambavyo watu wanamsema baada ya kufariki kwake,

Uwendawazimu huo ulikuwa ni kufuatilia kila jambo "neck to neck" kusimamia kila jambo bila kulala wala kwenda nje ya nchi,kunyoosha kila palipopinda,kuiangusha ile miungu watu,Mafisadi,Wahuni,Miungu watu iliyokuwa inawaibia Watanzania,na kula keki yao ya Taifa peke yao kamwe hawakumpenda,daima walikesha kumhujumu na kumuundia zengwe,Wakaishia kumuita mjinga na mwendawazimu, lakini ni ujinga wake na huo Uwendawazimu uliifanya IMF na World Bank kuitangaza Tanzania kuwa ni nchi yenye Uchumi wa kati na kuitoa Tanzania kwenye nchi masikini,huu ndio Ujinga na Uwendawazimu wa JPM wenye faida kwa Watanzania,kuna msemo unasema "Ujinga na Uwendawazimu wa Mungu ni hekima na busara kwa binadamu", Rais Magufuli hata sasa ni alama,Utambulisho,kielelezo na mwakilishi wa Watanzania,

Figisu dhidi ya bwawa la Nyerere na miradi mingine haitamuacha mtu yeyote salama,msifikiri kutokamilika kwa SGR kutamuacha mtu salama,Ukimtukana Rais Magufuli unawatukana Watanzania,Rais Magufuli ndiye Rais aliyechaguliwa na Watanzania kwa kura nyingi kuliko Rais yeyote toka Tanzania ipate Uhuru,Rais Magufuli alichaguliwa kwa 84% ya kura zote,bado watu wanamkosea heshima Rais huyu,Naamini dunia inashangaa sana,Msifikiri kumtukana Rais Magufuli akiwa hayupo kutamuacha mtu salama,

My brothers and Sisters "Wenye nchi yao", ambao ni wajumbe "wema" are watching and monitoring,kwa maneno mengine Watanzania wanamchukulia Rais Magufuli kama "Litmus Test",A measuring stick",Fimbo ya kupimia mafuta kwenye gari,Kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wamtakae,Rais Magufuli aliibeba mioyo ya Watanzania na kuongea nayo,Rais Magufuli alikuwa na connection na Watanzania,Rais Magufuli alikuwa na unganiko na Watanzania kwenye mioyo yao,ni vigumu kumtoa Rais Magufuli kwenye mioyo ya Watanzania,lolote baya dhidi ya Rais Magufuli ni kutonesha kovu ambalo halijapona la kifo cha Rais Magufuli,

Ushahidi tuliona wa Mama watu wazima wakiruka fensi ya Uwanja wa Taifa kwenda kuaga mwili wa Rais Magufuli,Niliona Mzee mmoja akiwa pembeni ya Uwanja kashika nguzo akilia kwa uchungu,mwandishi alipomfuata kumpa pole akasema "Magufuli ameondoka ila Magufuli ni Chuo,yupo Samia,yupo Kassim,yupo Kabudi,yupo Mwinyi,yupo Jaffo,yupo Mpango wote hawa wamesoma Chuo Cha Magufuli" tuliona Umati mkubwa wa watu uliojitokeza kusindikiza mwili wa Rais Magufuli kila mahali ulipopita,je Mungu alituma malaika wake,na wale hawakuwa Watanzania!!? wako wapi watu wale waliokimbia kilomita tisa kuusindikiza mwili wa Rais Magufuli,hili ndilo swali wanalopaswa kujiuliza wale wote wanaomkosea heshima Rais Magufuli,

Kama waliosindikiza mwili wa Rais Magufuli walikuwa ni watu na kukimbia zaidi ya kilomita tisa basi sidhani kama umati ule wa Watanzania utajitokeza tena kwa mtu mwingine yeyote,sababu Watanzania watasema tulifanya hivi kwa moyo wa dhati kwa mtu tuliyempenda matokeo yake baada ya maziko wakaanza kumtukana,tuliona tunatukanwa sisi maana yeye hayupo tena,tumevunja utamaduni wa Mtanzania,Rais Magufuli aliongea na mioyo ya Watanzania kwa lugha yao na kila Mtanzania alipoisikia sauti ya Rais Magufuli,moyo wake uliambatana na Moyo wa Rais Magufuli na kusikia ile sauti ikitoka ndani yake yeye Mtanzania,hasa mnyonge,Kindly thank me later kwa Ushauri wangu.

Nimalizie kwa maono ya wajumbe ambayo hayakuvunjika hadi yakatimia,"Wenye nchi yao" "Wajumbe"baada ya kuona taifa linalegalega,waliamua kumtafuta mwendawazimu mmoja ili alirudishe Taifa kwenye reli,tafsiri yangu ya Uwendawazimu kama nilivyoeleza,hata "Uwendawazimu na Ujinga wa Mungu kwa mwanadamu ni hekima na busara" Kwa ustadi mkubwa sana Wazalendo "Wenye nchi yao" walifanikiwa kumchanganya JK kiasi kwamba amekuja kushtuka tayari JPM ni candidate na ana ulinzi mkali sana,Hatimaye, JPM akawa President.

Rais Magufuli aliwekwa pale kwa ajili ya kusimamia kwa dhati,nguvu, na kwa kutumia kila aina ya njia,utekelezaji wa mipango mingi ya kwenye makabati,Hii ni mifano ya miradi ya nchi ambayo ilikuwa kwenye makabati, siyo ya JPM ni ya Watanzania na Taifa la Tanzania na yenye faida maana imefungamana na national interests including national security.

1. Serikali kuhamia Dodoma,huu mpango ulikuwa kwenye kabati kwa miaka 50 kila Awamu ilikosa budget ya kutekeleza mradi huu lakini Rais Magufuli alipoingia alielekeza budget kuelekea Dodoma,liwalo na liwe,mpango ulioshindikana kwa miaka 50 ukatekelezeka,na Serikali ikahamia rasmi Dodoma,Mwaka 2017.

2.Jeshi na taasisi za kiusalama kuhamia Dodoma plus serikali kuwa Dodoma.

3.Utekelezwaji wa mradi wa reli ya SGR.

4.Utekelezwaji wa mradi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere.

5. Ndege, meli, bandari, na miundombinu mingine mingi mikubwa.

6. Mapambano ya kisayansi ya ufisadi na masuala ya usalama wa taifa.

Hii miradi ilianzishwa na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na imetekelezwa na Hayati Rais John Pombe Magufuli,Mungu wangu akubariki,Mbingu na Ardhi zikukumbuke,Pumzika kwa Amani Rais John Pombe Magufuli.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effects of micro-financing on Poverty Reduction.
Sasa we ndo mwendawazimu. Unajiganga nchi yauchumi wa Kati halafu watu wanakufa kwa njaa! Hakuna ajira vijana wanamaliza mavyuo hawajuiwaende wapi kwa sababu hataki kuajiri kabisa kisa anataka uchumi wa Kati hata mkifa POA tu mradi sofa zimeshakuja. Watu wanauawa Kama nzige na watu wasiojulikana. Nchi Haina Uhuru kabisa wa habari Kila mtu anaongelea chooni tu. Lijitu lilipenda masifa at the expense of sufferings.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom