wataalam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Dictator

    Wataalam wa kuku nimsaidieni tatizo hili kwa kuku wangu

    Ni mzoefu katika ufugaji. Lakini kitu kinachonipa wasiwasi ni kwamba nina jogoo wangu mkubwa tu wa miaka kama miwili hivi. Sasa tangu juzi sauti yake inanipa mashaka anapowika. Ni kama vile kaisha chaji. Sauti inatoka kinyonge na hata mda mwingine anaishia katikati hamalizii kuwika mpaka...
  2. Miss Zomboko

    Mbunge: Matamko ya Kisiasa yanaharibu Elimu. Mtu mwenye Madaraka anaamka tu na kutoa tamko bila kusikiliza Wataalam

    Mbunge wa Viti Maalum, Tunza Malapo amesema elimu ya Tanzania inaathiriwa na matamko ya kisiasa. Tunza ameyasema hayo jana Jumatano Mei 5, 2021 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Amesema kubadilisha mtaala...
  3. buyoya419

    Wataalamu wa nguo aina ya kadeti

    Nina shida na kununua kadeti ila naona nyingi zilizojaa dukani ukivaa baada ya muda zinapauka balaa. Nataka kujua aina ya kadeti nzuri na zisizopauka na sehemu yake zinapouzwa na bei yake. Nipo Dar
  4. 2

    Habarini za asubuhi naomba kujua kwa wale wataalam wa magari gari inakosa nguvu kupandisha mlima ,ukiweda d kunasauti inatokea kwa mbele kama kuna

    Habari za asubuhi naomba kujua kwa wale watajuzi wa magari gari yangu aina ya. Carina 7A inakosa nguvu mliman Ukiweka d kuna sauti inatokea kwa mbele kabla ya kutembea na livasi lia hiyo sauti inatokea Na kwenye mlima inaweza kuzima kabisa na kuchemsha naomba msaada plz na ushauri
  5. K

    Wataalam naomba kujuzwa garama ya vitu hivi

    Habari za asubuhi wakuu natumai wote wazima, kama title inavosema naomba kujuzwa gharama za
  6. goodhearted

    Kwa wataalam wa umeme

    Mimehamia nyumba yangu mpya ambayo umeme haujafiaka. Nimeplani ninunue solar ya kawaida tu lakini si hizi za makampuni. Ninachohitaji kujua, tv na sub woofer yangu vyote vina njia mbili ya umeme na ya solar. Je, nahitaji kuwa na inveta kuviendesha hivyo vifaa? Au njia ya solar naweza connect...
  7. mathsjery

    Wanasheria, wataalam wa fedha Kitaifa na kimataifa msaada please

    Naomba kuuliza ikiwa mtu aliuawa na hakutoa taarifa zozote kuhusu warithi wa fedha zake huko uingereza je, pesa hizo nani atapewa? Maana kuna mtu anansumbua yeye ni mkaguzi na msimamizi wa mambo yaa pesa huko, ananiambia eti nimtumie info zangu kama NIN, Address n.k azifoward pesa za mtu huyo...
  8. K

    Kinga ya Corona isiyothibitishwa na wataalam hii hapa

    Kulingana na uzoefu tulioupata kutoka mwaka jana hadi Sasa tunaweza kusema dawa ya Corona amabayo haijathibitishwa na wataalam wa afya ila inasaidia ni hii hapa; 1. Corona inatibika kwa kumwamini Mungu. Binadamu siku zote anaogopa mauti kumkuta akiwa hayupo kwenye mahusiano mazuri na Mungu...
  9. Mathias Byabato

    Wataalam UDSM wagundua na kutangaza dawa ya Corona(Covid 19) inaitwa FUKIZA

    Wanabodi: Nimefurahishwa na Tangazo la wataalam wa chuo chetu kikuu cha Dar Es salaam kutangaza dawa mpya ya Corona inayoitwa Fukiza. dawa hiyo kwa mils 10 inauzwa sh 6,000 tu. kuhusu matumizi na ufafanuzi zaidi tazama video clip hapa chini. DAWA YA CORONA TANZANIA
  10. M

    Wataalam wa umeme wa majumbani na viwandani

    Ndugu wa jamii, Napenda kuwatambulisha kwenu mabingwa wa umeme wa majumbani na viwandani. Ukiwa na mahitaji ya kufungiwa umeme nyumbani au kiwandani kwako, ramani za umeme (kwa ajili ya bima, mkopo wa benki, osha, crb, TANESCO), umeme wa jua, ukaguzi wa mifumo ya umeme, service a generator...
  11. ommytk

    Hivi kwanini matunda au mazao yanakuwa na msimu?

    Wadau hili suala sijui ni La kisayansi au sijui niliiteje .napata tabu sana nawaza hivi kwanini matunda yanakuwa na msimu yaani mfano sasa hivi uwezi kupata chungwa wala chenza ni Msimu wa Embe. Mara msimu wa nanasi au hii inatoka nasisi wakulima tunavyopanda au ebu wataalam mtujuze kwanini...
  12. sky soldier

    Hii mitandao kama 'Tinder' na 'Badoo' inaweza kutumika bila malipo? Maana siwezi hata kutuma meseji

    Leo katika kuchezea chezea simu nimekutana na mitandao ya kujuana, kuwa marafiki, kupeana kampani na hata kutafuta wapenzi. Sasa nmeingiza app inaitwa badoo, tagged na tinder zote naona bila malipo ni sawa na kutoweza kuzitumia. Unakuta unataka umtumie mtu meseji inakwambia ulipie elf 30 kwa...
  13. B

    Mwanangu ameangukia kisogo, anatapika nifanyaje

    Samahani wataalam, kuna suala nashindwa kuelewa hapa, mwanangu ameangukia uchogo toka kitandani mpaka chini akaanza kutapika then akalala asubuhi kaanza kutapika tena, shida inaweza kuwa ni nini haswa? (Mtoto anamiezi 9)
  14. K

    Ni kweli nchi haina wataalam wa madini?

    Baraza la mawaziri la Sasa limepata changamoto na ukosoaji mkubwa kwa mambo makuu matano; 1. Halina Waziri full kutoka Zanzibar 2. Halina uwiano wa jinsia 3. Linatuumiwa kuhusu udini na ukanda 4. Wabunge wakuteuliwa kuingia kwenye baraza huku wakiwemo wabunge zaidi ya 300 wamajimbo ambao...
  15. M

    Nasumbuliwa na maradhi ya tumbo na tonsils mara kwa mara

    Ndugu zangu mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nina mke na mtoto mmoja, naombeni msaada wa kutatua haya maradhi yafuatayo kwa historia fupi hpo chini. Mwaka 2017 nilipata maradhi ya tumbo, niliugua sana! Hospitali vipimo majibu yalikuja sina maradhi yte kuanzia kansa, vidonda vya tumbo na...
  16. Infantry Soldier

    Katika neno Credit (Cr) inaleta mantiki, sasa herufi "r" inatokea wapi katika neno Debit (Dr)? Wataalam wa Accountancy levels zote tunaomba ufafanuzi

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Katika neno Credit (Cr) inaleta mantiki, sasa herufi "r" inatokea wapi katika neno Debit (Dr)? Wataalam wa Accountancy Levels zote tunaomba ufafanuzi tafadhali kwa maana tumechoka kukaririshwa sasa...
  17. S

    Wataalam wa marketing. Je, Bidhaa ipi inayouza sana instagram?

    Nataka kufahamu nikitaka kufanya biashara kwa kutumia Instagram. Je ni bidhaa ipi inayouza sana? Wanasema vitu wanavyopenda wanawake ndio vina wateja sana. Wengine wanasema watu wa maofisini (mashefa) ndio wanunuzi wazuri mitandaoni. Ningependa kujua bidhaa moja (niche) nayoweza kuuza kwa...
  18. Infantry Soldier

    Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania eti; Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao? Nilipokuwa ninamsaidia mdogo wangu kuomba mkopo wa elimu ya juu...
  19. ECPENDABLE

    Wataalam waliowahi kutumia home theatre system SONY WATT 300 wanipe ubora wake in performance au miyeyesho nakaribisha majibu

    Wakuu, msaada kwa ambae amewahi kutumia Sony home theater Watt 300 vipi ubora wake wa sound na performance machaguo yangu ni kama mnovoona kwenye picha nikamate sony au hilo subwoofer nakaribisha majibu.
  20. Infantry Soldier

    Wataalam wa Mazingira: Kwanini kuna huduma za kijamii (Shule, Polisi, Hospitali) za kata lakini hakuna hifadhi ya misitu/miti (Mapafu) kwa ngazi hiyo?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania wataalam wa mazingira eti; Kwanini kuna huduma za kijamii (shule, polisi, hospitali) za kata lakini hakuna hifadhi ya misitu (mapafu ya hewa safi) kwa ngazi ya hiyo? Au hiyo hifadhi maalum ya misitu kwa ngazi ya kata...
Back
Top Bottom