goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 944
- 1,109
Mimehamia nyumba yangu mpya ambayo umeme haujafiaka. Nimeplani ninunue solar ya kawaida tu lakini si hizi za makampuni. Ninachohitaji kujua, tv na sub woofer yangu vyote vina njia mbili ya umeme na ya solar.
Je, nahitaji kuwa na inveta kuviendesha hivyo vifaa? Au njia ya solar naweza connect moja kwa moja bila kuwa na inveta?
Na kwa matumizi ya kuwasha tu tv na taa ambazo hazizidi 3 nahitaji wati ngapi za solar na betri ni ngapi.
Natanguliza shukrani.
Je, nahitaji kuwa na inveta kuviendesha hivyo vifaa? Au njia ya solar naweza connect moja kwa moja bila kuwa na inveta?
Na kwa matumizi ya kuwasha tu tv na taa ambazo hazizidi 3 nahitaji wati ngapi za solar na betri ni ngapi.
Natanguliza shukrani.