Hello JF,
At least mdahalo unawapima Wagombea nafasi hivyo kumsaidia ama kumjulisha mpiga kura yupi anafaa kwa maoni yake.
Sasa hatuelewi hili la kutumia wasanii, lina lengo gani haswaa?
Tunaomba chaguzi zijazo mdahalo uwepo/uongezwe kwenye protokoli za kampeni za Uchaguzi.
Na kutumia...