Swali La kijinga kuwahi kutokea,Nahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Wasanii wote ni makada wa CCM kama ilivyo Sugu na Prof J ni makamanda hapo Ufipa!Nahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Mh, johnthebaptist , akili zinaanza kuhama, kwa Sugu anaimbia Ufipa? Rudisha akili yako , unaheshimika sanaWasanii wote ni makada wa CCM kama ilivyo Sugu na Prof J ni makamanda hapo Ufipa!
Nilichomaanisha hao akina Diamond hawalipwi chochote ni wanachama wa CCM waliofanikiwa kupitia CCM!Mh, johnthebaptist , akili zinaanza kuhama, kwa Sugu anaimbia Ufipa? Rudisha akili yako , unaheshimika sana
Nilichomaanisha hao akina Diamond hawalipwi chochote ni wanachama wa CCM waliofanikiwa kupitia CCM!
Bado johnthebaptist , nani kasema wanalipwa? rudia kusoma.... jua kuwa wewe hapa unaheshimika kwa watu tunaofikiri !Nilichomaanisha hao akina Diamond hawalipwi chochote ni wanachama wa CCM waliofanikiwa kupitia CCM!
Kwa kifupi bwashee hao wasanii wanajigharamia wenyewe kwa kila kitu, chama kinawapa jukwaa tu!Bado johnthebaptist , nani kasema wanalipwa? rudia kusoma.... jua kuwa wewe hapa unaheshimika kwa watu tunaofikiri !
Kuna saa, siku, mwezi na mwaka akaunti zenu zitakaguliwa na independent verifier!Kwa kifupi bwashee hao wasanii wanajigharamia wenyewe kwa kila kitu, chama kinawapa jukwaa tu!
...inaeleweka hiyo mkuu unagombea uraisi huku bado ni raisingNahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Mbona CAG anakagua kila mwaka bwashee!Kuna saa, siku, mwezi na mwaka akaunti zenu zitakaguliwa na independent verifier!
Tunajua ndio huna chama Ila wewe ni 'mlamba miguu' ya kina Polepole hapo korido za Lumumba.Mimi sina chama ila ila nadhani wasanii wanaipenda Ccm wanajitolea