Nimekuwa ni mtu mwema sana kwa mke wangu na matokeo yake ni kama nimekuwa ni kero kwa wasichana /wanawake wengi.
Wengi unawaambia nimeoa wanaheshimu mahusiano yaani hakuna wa kunisumbia ikifika muda wakazi kuisha, lakini niseme tu wanawake wa sasa ni majasiri,just imagine unakutana na jirani...